Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Acha fix zako hapo mkoa wa Pwani ndio Nairobi?!!...... Tunakuona ujue!
 
Mtu mmoja anatuover power wote
Ndio raha ya kuwa rais ndio maana watu huwa wanapambana sans
 
Mkuu tulia, JPM hajawafutia hukumu. Ila kawasamehe kwa mamlaka aliyopewa na katiba.
Hukumu iliyoka wakapayikana na hatia na wakakaa jela, wamesamehewa!
Wewe unataka tusome tena makaratasi ya hukumu tena sijui kurasa ngapi, huo muda wa kusoma irrelevants tunautoa wapi??
 

..... Nilitegemea baada ya msamaha wa rais Babu seya na wanawe wafanye mambo matatu, Kwanza wamshukuru Munngu kwa kupata msamaha, Pili wamshukuru rais kwa kuwasamehe, Tatu wawatangazie watanzania kuwa hakukuwa na ukweli kwenye ile kesi hivyo walionewa!
Sinashaka wamemshukuru Mungu, Jana wamekwenda kumshukuru rais, wamefanya vema sasa nawasubiri wakanushe kuwa hawakuwahi kushiriki kwenye lile kosa. Nilichowasikia wakisema ni kuwa, wanashukuru kwa kusamehewa na kuhakikishia umma kuwa watakuwa wananchi wema" Kauli hii inaonyesha kuwa kabla ya hapo hawakuwa wema ndiyo maana walipatikana na hatia. Sio dhambi kama ulionewa ukakiri ili watu wajue dhulma zilizopo
 

Hawa walitenda kosa. Hata kama kulikua na figisu lakini KOSA lililowapeleka jela walilitenda.
 
..nchi hii imekuwa kama nyumba iliyokosa watu wazima.

..inawezekana vipi mbakaji watoto akatumbuiza mbele ya Mawaziri na Wabunge?

..kwenye dunia hii ya utandawazi tunajenga picha gani huko nje kwa viongozi wetu kuenenda namna hii.

..halafu Papii Kocha mbakaji anajitamba kwamba ni mwana-CCM. chama ambacho kinasifika kuwa ni CHAMA CHA UKOMBOZI AFRIKA.

..Je, hii CCM ya Papii Kocha, ndiyo ileile ya Mwalimu Nyerere, Rashidi Kawawa, Moringe Sokoine, Aboud Jumbe,Thabit Kombo Jecha, Hassan Nassoro Moyo, na wengine tunaowaenzi?

..Halafu tukiitwa "shit-hole" country tunakasirika.


 
Tatizo ni kujitangaza kuwa mwana CCM au kuwa mbakaji aliyesamehewa?
 
Tatizo ni kujitangaza kuwa mwana CCM au kuwa mbakaji aliyesamehewa?

..CCM ya Mwalimu Nyerere, Rashidi Kawawa, Moringe Sokoine, Aboud Jumbe, Thabit Kombo Jecha, Hassan Nasoro Moyo?

..unaweza vipi kuruhusu mbakaji watoto ndani ya chama kilichoasisiwa na miamba hao niliowataja hapo juu?
 
Narudia tena swali, tatizo ni kujitangaza kuwa ccm, kutumbuiza mawaziri au kuwa mbakaji aliyesamehewa, wewe mrwanda awamu ya Kikwete uliipenda sana serikali yake sababu hakuwa anapatana na Kagame au labda ulikuwa mnufaikaji.
Sasa huyu ngosha kupatana na paka kagame umekuwa na kihoro sana. Shithole mwenyewe.
 
Shithole musicians (first definition of shithole) from a shithole country (second definition of a shithole) are performing their music in front of ministers.

Zifuatazo ndizo tafsiri za shithole....
1. Kinyeo cha mwanadamu
2. Mambo/Kitu/Mtu/sehemu ya hovyo hovyo
3. Tundu la choo.
 
..CCM ya Mwalimu Nyerere, Rashidi Kawawa, Moringe Sokoine, Aboud Jumbe, Thabit Kombo Jecha, Hassan Nasoro Moyo?

..unaweza vipi kuruhusu mbakaji watoto ndani ya chama kilichoasisiwa na miamba hao niliowataja hapo juu?
Unadhani hao uliowataja hawakuwa na uchafu/ dhambi? Hakuna mkamilifu, tusamehe na kusahau, ili maisha yaendelee.
 
Ccm ya sasa hata hao wenye kusimamia misingi ya chama wamejitenga nayo kutokana na aina ya siasa za kishamba zinazofanywa na Jpm na Chakubanga.

Huo msamaha wa hao wabakaji unaonekana ulikuwa na malengo ya kisiasa nyuma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…