Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Alafu kuna tetesi kilichowamaliza ni watoto kukutwa HIV positive na watuhumiwa hivyo hivyo na ndio maana hata Wakili wao Marando ni mwanaharakati lakini hajawahi kusikika anataja kama kuna mashinikizo, Kuna kipindi Rev Mtikila alitaka kuinunua kesi kuwapigania akapotea ghafla nadhani alivyoona ushahid akabonyea
Inasikitisha sana jinsi baadhi ya watanzania ni wepesi wa kuchukua hadithi za vijiweni na kuziamini kuwa ni za kweli..

Inasikitisha zaidi jinsi wanavyolialia na kujifanya wenye haki na kwamba wameonewa
 
Mm ishu ya watt kuwa HIV + si ya msingi. Manake kama ni planned ni rahisi sana kupata watt ambao ni wahanga na ukawa train and all that.

Mm nkajiuliza mwl singirida na shule akaacha na mpaka Leo hajulikan alipo kweli?

Tukubali tuu kwamba NGuza na papii kocha walikosa mwanasheria wa kucheza logical facts ili awatoe kitanzini.

Too bad. As for me nakubaliana kosa lilitendeka bat sio kwa extent hiyo. I stand to be corrected though
Wale watoto sio wa kuokota kwa wakazi wa ile mitaa wanawafahamu na wengi wanatoka familia za kitanzania hizi uhakika wa kula milo 3 upo, kama walivyo wakazi wengi wa Sinza! Kuna jamaa namfahamu kwenye story ya hii issue aliniambia mtoto wa binamu yake alikuwemo ila hakutaka maswali zaidi! Nakubaliana na argument ya kwamba haiwezekani wale wote walifanya na ndio maana CoA ikawaachia wa 2. Mwalimu ulishawahi kumtafuta hadi umehitimisha haonekani au kuhama shule ndio kutoonekana
 
Najiuliza tuchukulie kweli walitenda kosa kama mahakama ilivyoona, je kwa miaka hiyo waliokaa gerezani(nadhani ni zaidi ya kumi) jamii haijawasamehe kiasi wakiachiwa kwa msamaha wa Rais kuna ataelalamika? Kuna watu bado watakua hawana huruma kwa jamaa hawa? Muda wote waliokaa gerezani haujatosha kuwapa fundisho?

Inawezekana kwa wale watoto walio athirika wakaishi na msongo wa mawazo ya ukatili huo kwa muda mrefu kiasi lakini miaka zaidi ya kumi kwa kumuadhibu mtu kifungo jela sio inatosha na mtu anaweza kubadilika na kua raia mwema?
Binafsi naiona adhabu ya kifungo cha maisha ni ya ukatili na isiyofundisha kuliko hata adhabu ya kifo ambayo kwa duniani maumivu yake ni maramoja tu. Hivi ukimfunga mtu maisha utakua umemsaidia kubadilika? Hata hizi taasisi za kutetea haki za binadamu hawajawahi kutafakari jambo hili? Ni bora wangekatiwa kifungo hata cha miaka ishirini ambapo wanakua na matumaini siku moja watakuja kujumuika na binadamu wenzao uraiani wakiwa wametubu na kujifunza kuliko kujua na kuishi na uhalisia kwamba Dunia yako imeshafungwa na maisha yako hutaliona tena jua la matumaini ukiwa mtu huru, ni adhabu yenye kuogofya sana na haisaidii mtu kubadilika
Mwanao akilawitiwa na aliyefanya hivyo akakaa jela miaka 15 akatoka utakua umesahau? Vaa hivyo viatu
 
Watu mnasikitisha sana kuwaonea huruma wapuuzi hao kwasababu ya stori za kwenye kahawa.

Mkuu, hebu vaa viatu vya wazazi wa watoto waliofanyiwa huo unyama na ushetani uangalie kama unaweza kuandika ulichoandika hapa!
Nakubaliana na wewe kwa asilimi mia kwamba kosa walilofanya ni kubwa na kwa nature ya kosa lenyewe muathirika aweza kuishi na athari zake maisha yake yote
Argument yangu ipo kwenye general purpose/intention ya adhabu zinazotolewa na mahakama kwa makosa yanayotoa adhabu ya kifungo cha maisha kwa mkosaji.
Kama lengo la adhabu ni kufundisha mtu asirudie kosa kifungo cha maisha kina Saida vipi kumsahihisha mtu? My take and position kama kosa hili mwathirika anaishi na athari zake maisha yote bora ikithibitika muhusika anyongwe,adhabu ambayo ni muafaka kwa dangerous offenses kama ulawiti kwa watoto kuliko kumfunga maisha ili iweje sasa? Kosa la kuua kwa kukusudia hukatiwa adhabu ya kifo na kama inawezekana ulawiti kwa watoto uwe hivo. Lakini kama kosa linatolewa adhabu ya kifungo uwe cha muda maalum
 
Mimi mpaka leo pamoja na ushahidi na vielelezo lakini huwa naamini 100%kuna mchezo hii familia ilichezewa siwezi kukataa kwamba huo unyama haukufanywa ila huwezi niaminisha kwamba familia yote itakuwa na akili sawa asiwepo wa tofauti na wakati huo mchezo ukifanyika watoto wote wawepo home asiwepo ambae katoka big No akili yangu ya kijinga inaniambia kuna mkono wa mtu kwani system ni nini mbele ya hella mtu akikuamulia as long as anapesa na madaraka huchomoki mi huwa dairy naiombea familia hii najua Mungu hatawasahau
 
sio sawa kuwatetea hawa watu kwa habari za kusikia mtaani, mimi pia kuna mkazi wa sinza alikua anamfaham mmoja wa wahanga aliniambia hawa jamaa ni kweli walifanya, lakini pia marehem Mtikila aliwahi kutaka kuwatetea alipoona evidence akaacha kbs, na wala hakupiga kelele tena..
Ushahidi wa kupika kweli mpaka leo katika wale watoto hakuna hata mmoja ambae amewahi kujitokeza na kukanusha?
Wakongo wanapenda sana ushirikina, hii itakua ilikua issue ya ushirikina tu
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimi mia kwamba kosa walilofanya ni kubwa na kwa nature ya kosa lenyewe muathirika aweza kuishi na athari zake maisha yake yote
Argument yangu ipo kwenye general purpose/intention ya adhabu zinazotolewa na mahakama kwa makosa yanayotoa adhabu ya kifungo cha maisha kwa mkosaji.
Kama lengo la adhabu ni kufundisha mtu asirudie kosa kifungo cha maisha kina Saida vipi kumsahihisha mtu? My take and position kama kosa hili mwathirika anaishi na athari zake maisha yote bora ikithibitika muhusika anyongwe,adhabu ambayo ni muafaka kwa dangerous offenses kama ulawiti kwa watoto kuliko kumfunga maisha ili iweje sasa? Kosa la kuua kwa kukusudia hukatiwa adhabu ya kifo na kama inawezekana ulawiti kwa watoto uwe hivo. Lakini kama kosa linatolewa adhabu ya kifungo uwe cha muda maalum
Unakosea sana, lengo/dhumuni la adhabu sio kumfunza yule anayepatiwa hiyo adhabu au aliyetenda kosa tu, bali ni pamoja na wale wanaoshuhudia hiyo adhabu.

Ni fundisho pia kwa watakaofikiria kufanya unyama kama waliofanya hao!
 
Mimi mpaka leo pamoja na ushahidi na vielelezo lakini huwa naamini 100%kuna mchezo hii familia ilichezewa siwezi kukataa kwamba huo unyama haukufanywa ila huwezi niaminisha kwamba familia yote itakuwa na akili sawa asiwepo wa tofauti na wakati huo mchezo ukifanyika watoto wote wawepo home asiwepo ambae katoka big No akili yangu ya kijinga inaniambia kuna mkono wa mtu kwani system ni nini mbele ya hella mtu akikuamulia as long as anapesa na madaraka huchomoki mi huwa dairy naiombea familia hii najua Mungu hatawasahau
Huo muda wa kwenda kusumbuka na mahakama huyo mtu mwenye madaraka unataka kuniambia alishindwa kummalizia mbali bila hata mtu kuhisi kitu?
 
IVI NI KWANINI,

Ninyi wenye mashaka na uamuzi wa kesi hii muunganishe nguvu na mkate rufaa ili mjiridhishe ?
Nakumbuka Mchungaji Mtikila aliilaani sana Serikari kwamba imewaonea akina Nguza, baadhi ya wazazi wa watoto walioathirika na matendo ya kubakwa walimpelekea hao watoto nyumbani kwake na kumthibitishia jinsi walivyo dhalilishwa.
Baada ya kuthibitisha, Mtikila aliomba radhi na kusema watuhumiwa wanastahili adhabu kubwa zaidi ya hii.
Pia wakati wa kesi ya rufaa, Serikali ilitangaza wazi kuwa wenye ushahidi wa kuiokoa familia ya Nguza waupeleke Mahakamani, hakuna aliyejitokeza.
Nazidi kuwashanga kwani Nguza ni nani hadi aonekane hawezi kutenda hilo kosa ?
Hao wengine waliohukumiwa kifungo kama chake kwa kosa kama lake sio binadamu kama Nguza ?
Msilalamike sana, dawa ni kutafuta wakili mzoefu na kuamua kukata rufaa ili mjiridhishe na hukumu hiyo, kulalamika hakuta saidia, najua mnaolalamika mnaweza kabisa kughalimia ghalama za wakili mkikata rufaa.
Dawa ni kukata rufaa tu ili kesi isikilizwe upya.

Zaidi zitakuwa kelele za porojo za vijiweni.

Ashakum si matusi.
 
The case was held in camera utajuaje kuwa hao watoto walitoa ushahidi kikamilifu. mimi nawashangaa watu wengine wanauchambuzi hafifu. yani mtu mzima na akili zeka anaweza kusema ni vigumu kutoa rushwa kwa mtiririko wa watu. Huyu yupo dunia ipi???

the first thing u have to know my friend is ukitaka kumpa mtu kesi kubwa wewe msingizie ubakaji. kesi hizi zina hisia kwa makundi ya wanawake na wazazi pia watamsapot the fake victim. mtuhumiwa hautasikizwa na kesi yako hasikizwi kama nyengine (the case is heard in camera) maana wanamlinda aliyebakwa.

i dont support rape cases maana mimi kama mzazi napinga ubakaji ila sipendi mtu atumie loop hole amkandamize mwengine. na pia sifahamu kama babu seya yuko innocent ama guilty ila kesi yake ilikuwa na mapungufu mengi sana kwa mtazamo wangu.
Kuna ile story ya Mererani kuna mama alijifanya mwanaume ilim aweze kufanya kazi ya uchimbaji madini. Alikuja kusema ukweli wa Jinsia yake mara aliposingiziwa Ubakaji! Can you imagine Mungu alivyomuokoa! Sasa kama angekuwa kweli ni mwanaume si ndio angekuwa jela maisha? Kuna watu wana roho mbaya sana hapa duniani!
 
hawa jamaa inawezekana kweli walitenda kosa acha wasote hakuna namna,tuache kuamini story za vijiwebi
 
IVI NI KWANINI,

Ninyi wenye mashaka na uamuzi wa kesi hii muunganishe nguvu na mkate rufaa ili mjiridhishe ?
Nakumbuka Mchungaji Mtikila aliilaani sana Serikari kwamba imewaonea akina Nguza, baadhi ya wazazi wa watoto walioathirika na matendo ya kubakwa walimpelekea hao watoto nyumbani kwake na kumthibitishia jinsi walivyo dhalilishwa.
Baada ya kuthibitisha, Mtikila aliomba radhi na kusema watuhumiwa wanastahili adhabu kubwa zaidi ya hii.
Pia wakati wa kesi ya rufaa, Serikali ilitangaza wazi kuwa wenye ushahidi wa kuiokoa familia ya Nguza waupeleke Mahakamani, hakuna aliyejitokeza.
Nazidi kuwashanga kwani Nguza ni nani hadi aonekane hawezi kutenda hilo kosa ?
Hao wengine waliohukumiwa kifungo kama chake kwa kosa kama lake sio binadamu kama Nguza ?
Msilalamike sana, dawa ni kutafuta wakili mzoefu na kuamua kukata rufaa ili mjiridhishe na hukumu hiyo, kulalamika hakuta saidia, najua mnaolalamika mnaweza kabisa kughalimia ghalama za wakili mkikata rufaa.
Dawa ni kukata rufaa tu ili kesi isikilizwe upya.

Zaidi zitakuwa kelele za porojo za vijiweni.

Ashakum si matusi.
It is not about Nguza ni nani lakini kwa jinsi mambo yalivyoandikwa haiwezekani eti muda wooote huo na watoto woote hao hata mzazi mmoja asigundue mpaka wakati huo. Haiingii akilini hata kidogo!
 
baba angu alishiriki katika upelelezi wa hii kesi.anasema ktk interrogation na watuhumiwa walikiri kuhusika..anawashangaa watu wanavolichukulia hili swali kisiasa.



UNA WEZA KUKIRI KWA ADHA UNAYO IPATA KWA KUSHURUTISHWA, KWA MFN KUBANWA NYETI ,KUCHOMWA NA KIBERITI CHA GESS SEHEM MBALIMBALI ZA MWILI ,KAMA NIWEWE UTAACHA KUKUBALI?.KI MSINGI KUNA JAMBO LIMEFICHWA KWA WAKUBWA ZETU.
Africa sio ulaya ndugu ukiwa madarakani chochote waweza fanya alaf ikaonekana ni sahihi.

THIS IS AFRICA
 
It is not about Nguza ni nani lakini kwa jinsi mambo yalivyoandikwa haiwezekani eti muda wooote huo na watoto woote hao hata mzazi mmoja asigundue mpaka wakati huo. Haiingii akilini hata kidogo!
wewe ni mzazi?
UNA WEZA KUKIRI KWA ADHA UNAYO IPATA KWA KUSHURUTISHWA, KWA MFN KUBANWA NYETI ,KUCHOMWA NA KIBERITI CHA GESS SEHEM MBALIMBALI ZA MWILI ,KAMA NIWEWE UTAACHA KUKUBALI?.KI MSINGI KUNA JAMBO LIMEFICHWA KWA WAKUBWA ZETU.
Africa sio ulaya ndugu ukiwa madarakani chochote waweza fanya alaf ikaonekana ni sahihi.

THIS IS AFRICA
Kwahiyo wewe unaamini wameonewa, na rufaa zote walizokata mpaka yule mdogo akatoka tena sio kwa sababu hakufanya kosa, ila kwa sababu alihukumiwa kama mtu mzima wakati alikua mtoto wote wamehongwa au wanatekeleza amri za wakubwa? sitaki kuamini, kama ni amri kutoka juu kwa nini yule mdogo alitoka? au nayeye alitoka kwa amri kutoka juu?
 
Kwenye real world vitu huwa tofauti sana namna vitu vinavyofanya kazi kuna vitu huwa ni ngumu sana kusema.
 
baba angu alishiriki katika upelelezi wa hii kesi.anasema ktk interrogation na watuhumiwa walikiri kuhusika..anawashangaa watu wanavolichukulia hili swali kisiasa.
Hao jamaa ni convicted rapists...period.
 
Kosa kubwa walilofanya (Babu Seya na wanae) ni kuchukua video wakati wanafanya hilo tendo...

Ushahidi wa video ndio uliowamaliza hawa watu..
 
Back
Top Bottom