hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Huyo Wage nae ni fisadi no 1 ameiba pesa nyingi sana kwenye miradi ya bagamoyo kupitia dada yake Kombani..acha iishe kesi ya Jerry ije yake tunaisubiria kwa hamu sana ingawa nasikia mmoja walioshitakiwa ameoa mdogo wa JK.....
Inasemekana Jamaa awana ushaidi wa kutosha wanatafuta jinsi ya kumaliza mambo