Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 161
Mi sijaelewa.. Kesi ipi imefutwa??? Maana ukisoma hiii habari kutoka katika gaezti la mwananchi inaonyesha kuwa jamaa kafutiwa kesi ya kukopa million 1.5.. Ila kuna ile kesi ya kutaka kutapeli millioni 10... Hebu niwekeni sawa hapa, ina maana jamaa alikuwa na kesi mbili????????
Hii imekaeje wadau? Kelele nyingiii hatimaye kesi imefutwa tu kiaina (eti aliyemshitaki kaamua kumsamehe). Lakini nilijua ingefutwa kwa kuwa kulikuwa kuna dalili nyingi za kwamba ile kesi ilikuwa imetengenezwa ili kumchafua Muro. Hata hivyo inaonekana Muro ni mtu wa system (hisia zangu tu). Inaonekana polisi walikurupuka, wamefika mahali yamewashinda. Sijui na kesi ya kumilikii pingu nayo atasamehewa?
MSOME VIZURI..
Saturday, July 10, 2010
HATIMAYE JERRY MURO AFUTIWA MASHTAKA YAKE...
Ile kesi ya Utapeli anayotuhumiwa Mtangazaji wa zamani wa ITV ambaye kwasasa anapiga mzigo na TBC1 bwana JERRY MURO hatimaye imefutwa baada ya Mlalamikaji bwana EDUARDO CHAMUHENE ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa Boneste General Enterprises ya jijini kuamua KUMSAMEHE! Inadaiwa apo awali Jerry alimkopa uyo bwana sh Milioni 1.5 kwa ajili ya kwenda kutoa gari yake Bandarini na baada ya miezi 2 Jerry alipunguza deni kwa kumlipa m1 na kubaki laki 5 iliyomfikisha Mahakamani Hapo jana!
KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:: HATIMAYE JERRY MURO AFUTIWA MASHTAKA YAKE...