Kesi ya Kubambikiwa Moshi Central Police

Jojo123

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
432
Reaction score
703
Unyama huu nita andika Barua Kwa IGP nielezee kila kinacho endelea hapo Police na kila wanacho taka ili kumtoa mtu ambaye hausiki na kesi ana tesekea tu Central police..
 
Mnahitaji mwanasheria hiki ndio kitu cha kwanza mnahitaji .
 
Katoe pesa rushwa POLISI ili nduguyo atoke...au tafuta mwanasheria utoe pesa umlipe muende mahakamani na danadana za upelelezi na kuahirisha kesi na akifanikiwa atatoka ila baada ya kitambo kirefu hivi na HAKUNA FIDIA...
 
Hawa polisi wahuni dawa yao alikuwa Magufuli tu.
 
Mtapata cha mtema kuni hadi pale wote tutakapokubali kuwa tupo Misri na tukubali wote kwa Pamoja kudai nchi yetu ya ahadi.

Suala la kudai haki katika nchi hii halipaswi kuwa ni suala la Chadema au chama chochote cha upinzani bali linapaswa kuwa ni suala la kila mtu.

Unapoona watu wengine wanavunjiwa haki zao kisha ukakaa pembeni jua zamu yako inakuja.Hakuna alie salama.Watu watakuwa salama pale ambapo kila mtu atakuwa salama.
 
IGP alikuwa Kilimanjaro last week, Akiwa kwenye masafara wake kuna eneo lenye Kona kali, mteremko na daraja kubwa ( daraja la kikavu) huko Kilimanjaro gari lake Lilinusurika kugongwa baada ya msafara kuovateki eneo la hatari na ambapo huwa kuna Ajali nyingi.

Ninashauri misafara ya viongozi izingatie alama Za barabarani vinginevyo tutazika viongozi wengi kwa sababu ya Ajali Za kizembe kwenye maeneo ya hatari.

Ni jambo la ajabu na la hatari kwa msafara wa IGP kutokuzingatia sheria za usalama barabarani.

IGP umesikia kilio cha Huyo mtanzania .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…