omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,326
- 2,506
Kesi inayomkabili raia wa Kenya, Joshua Mulundi (21) aliyekamatwa na polisi Dar es Salaam kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Dr. Stephen Ulimboka imeahirishwa hadi Agosti 7, mwaka huu.
Wakili wa Serikali, Mwanaisha Komba alimweleza hakimu Mkazi, Agnes Mchome kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba, upelelezi haujakamilika.
…
…
Hata hivyo kulitokea utata wa jina, umri wake na makazi ya mtuhumiwa huyo; wakati hati ya mashitaka mahakamani inadai ni Joshua Mulundi (21), mkiazi wa Murang'a nchini Kenya, taarifa ya Polisi inadai anaitwa Joshua Muhindi (31), mkazi wa Namanga nchini Kenya.
My take:
Hivi ni kwa nini Watanzania tusifikie sehemu kiazi kikaitwa kiazi!!!??
Wakili wa Serikali, Mwanaisha Komba alimweleza hakimu Mkazi, Agnes Mchome kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba, upelelezi haujakamilika.
…
…
Hata hivyo kulitokea utata wa jina, umri wake na makazi ya mtuhumiwa huyo; wakati hati ya mashitaka mahakamani inadai ni Joshua Mulundi (21), mkiazi wa Murang'a nchini Kenya, taarifa ya Polisi inadai anaitwa Joshua Muhindi (31), mkazi wa Namanga nchini Kenya.
My take:
Hivi ni kwa nini Watanzania tusifikie sehemu kiazi kikaitwa kiazi!!!??