Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Kenya

Wangekua chadema hapo wanghamasishana wakajae kwenye chumba cha mahakama mpaka wanasheria wakose pumzi
 
Wangekua chadema hapo wanghamasishana wakajae kwenye chumba cha mahakama mpaka wanasheria wakose pumzi
Wewe hukuona Leo Polisi waliwaondoa wafuasi wa NASA waliokuwa wanataka kuja kufanya matambiko mahakamani?
Eti wanataka kuja kufanya ibada mahakamani.
[HASHTAG]#kombafu[/HASHTAG] NASA #

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raila Odinga anahangaika bure angepumzika amwache Raisi Uhuru Kenyatta afanye kazi
 
Wangekua chadema hapo wanghamasishana wakajae kwenye chumba cha mahakama mpaka wanasheria wakose pumzi

wamekukwaza nini chadema mkuu mbona kama wana kukera,basi mwaambie mjomba mfumo wa vyama cingi ufutwe kwani upinzani umekua kero
 
Kenya wako viz
Angalia live sasa hivi kesi hiyo mahakamani

ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
Kwa hili Kenya wako vizuri sana. Supreme Court imewapa ruksa NASA kupata data kutoka servers za IEBC. Mahakama inataka kuondoa figisufigusu zote ambazo NASA wamekuwa wakilalamikia. Maana yake ni kwamba endapo kulikuwa kuna udanganyifu mkubwa katika mfumo wa utumaji wa matokeo hilo litaonekana na ushindi wa Uhuru Kenyatta unaweza ukabatilishwa. Lakini ikibainika kwamba hakuna udanganyifu wowote basi Mahakama ya Juu itathibitisha ushindi wa Uhuru na hapa Raila hatakuwa na sababu yoyote ya kulalamika. Mwisho wa siku ni kwamba mahakama imeweka wazi kila kitu ili ukweli ufahamike.
 
Hivi wakishakwenda kwenye hizo servers aafu wakakuta wasiyotarajia nyuso zao wataziweka wapi hawa Nasa....maana ni kama vile Mahakama kuwakumbalia imewastua kidogo...hawa walibet mahakama ikatae kuwapa ruhusa kwenda huko ili waanze kusema Mahakama sio huru na haki...Mahakama imeanza vizuri sana...all the best to all
 
 
hongereni wakenya. mngeondoa ukabila mgekuwa mbali sana....
Ukweli halisi ni kwamba Mchagga na Mmaasai hawawezi kufanana- mmoja anapenda mali na pesa na yule Maasai anapenda mifugo na kuishi kitamaduni.Sasa ukabila umeingilia wapi pale?
 
In the meantime PLO buys sukuma wiki at mama mboga!
PLO LUMUMBA went to Chiro Mbero market..
PLO: I hereby submit to you my Lady, that you subject to my possession unfeathered access to Brassica oleracea or any other of ejusdem generis that is annihilated into small strips and valued at Kenya Shillings 20, especially those that look fresh at prima facie.
MAMA MBOGA: jameni sijaelewa.
PLO: wahenga hawakutupaka mafuta mgongoni waliponoga ya kwamba chelewa chelewa utapata mwana si wako. Naomba unielewe kama vile Mwelusi alivyomuelewa Bokono katika kitabu cha Kifo Kisimani kwasababu wachuuzi wako wengi. Nimesema eti unipe mboga ya sukuma wiki ya shilingi ishirini ambayo imekatwa.
MAMA MBOGA: ooh sawasawa.
PLO: i have noticed without fear of contradiction that you have packed it in a material that is hazardous to the environment and that goes against the tenets of the new law. Is it remotely possible that you house it in biodegradable abode?
MAMA MBOGA: iwacho nang'o?
PLO: i assume you have not yet been aquainted with the proclamation by environmental authorities on matters against polythene use. Therefore, i beseech you, that in the fullness of time, you desist from characterising my persona as an adversary of the environment by virtue of the packaging that you will use in the near future with me as a client.
MAMA MBOGA: sijaelewa kitu lakini sawa. Shika change yako.
PLO LUMUMBA: You may assume ownership of the balance of my debit. I beg to take my leave. My stomach has tabled hard evidence at the supreme court of my teeth, that it needs nutricious lubrication sooner than later. Who am i to ignore ubi jus ibi remedium and sacrifice my hunger pangs at the alter of time?
Jaduong'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…