Shaycas,
Masha amefanya false moves nyingi katika uwaziri wake lakini hapa nadhani utakuwa unamuonea. Nasema hivyo kwa sababu the whole thing ilikuwa bizarre confusion ambayo hata hakimu ilimchanganya.
Kabla TAKUKURU hawajatangaza zawadi, Masha angejuaje Liyumba ame jump bail na anatafutwa?
Na baada ya kutangaza zawadi, kama kweli Liyumba alijump bail mbona leo ameambiwa akikamilisha masharti atapewa dhamana?
Halafu kumbuka, Liyumba sio fugitive pekee ambae angekuwa anatafutwa na polisi, kwa hiyo kama TAKUKURU wangetaka polisi iwape special attention kwa huyu mtu, ilibidi waombe rasmi ili Masha aweze ku justify kuhamisha resources, ku divert human and financial resources za polisi kumtafuta Liyumba.
Ndio hicho ambacho nadhani Masha alikuwa anafikiria.
Sasa mtu juzi mnamtafuta na zawadi juu, leo anatokea mnamu offer tena bail, huyo ali jump bail huyo? Si ndio maana Masha alioona huu ni upuuzi.