Kuna habari ya kwamba Liyumba ametoweka hajulikani alipo na wadhamini wake wamewajibishwa kwa kuwekwa ndani.MICHUZI
Tz ili inyooke inahitaji mtu kichaa kama huyu!
Uzembe..basi ni mboko!!!
Ila cheo cha uraisi hapana...awe chini ya mtu ...may be Waziri Serikali za Mitaa!
Nchi za Afrika tunahitaji utaratibu wa China!
Ni dhambi kubwa kulea wizi, ubadhirifu na uzembe!
Eti mtu kasababisha upotevu wa 200 billions...na ana majumba kibao kila kona ya Dar..alafu unampeleka Kisutu kutumia pesa ya kodi kuangalia kama ana hatia!
Halafu mtu huyu huyu anahonga zile pesa alizoiba hakimu..halafu anaachiwa..na na anadai fidia kwa kudhalilishwa!
Nasema...uzembe, wizi, ubadhirifu...mboko kwanza tena mbele ya mke wake!
Wengine tunasema :-
Re: Ex- DC Mnali for PRESIDENT
Ingelitumika Pinda's Law, huyu jamaa tungelikuwa tumemalizana naye siku nyingi na sasa tungelikuwa tunatafuta wengine. Mafisadi wengine wangelikuwa hoi wakisubiri na wao mazishi yao.... Ila sasa mambo ya HAKI ZA BINADAMU...... Yes, kila mtu ana haki ya KUISHI MAISHA ANAYOYATAKA. Sasa nyie mlitaka KUMUAMULIA??
Ndo unamka ndugu...na unahabari kuwa kalazwa hospitali hoi bin taaban!lol
Pole nilikuwa sijakupata kumbe jina lako liko kama akili zako! MADENGE.
Kwa nini hakimu amewaachia wadhamini?
Sikonge
haki gani unaongelea mtu mmoja anayesababisha vifo Watz mamilioni?
200 Billions zingesaidia watoto wangapi wanaokufa kwa malaria maskini kwa vile hospitali hazina pesa kununulia dawa?
Umeenda Wilayani ukaona watoto wanaokufa ndugu yangu?
Sacrifice ya mtu mmoja against mamilioni?
Naona tunapoteza mda!
Human rights za wengi au mtu mmoja tena mshenzi!
Ingekuwa China hukumu ni ndani ya mwezi mmoja kwa maslahi wa wengi!
Human rights inasemaje?
Watoto wadogo Watz wafe kwa malaria kwa hospitali kukosa pesa kununua dawa??
Haya mambo tunaiga tu..Watemi wetu zamani ukisababisha hasara kubwa yaani unatundikwa tu haraka!
Hebu niambie tena ni Human Rights gani unaongelea?
what kind a name is amatusi...how do you pronouce amatusi?...