Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

Status
Not open for further replies.
Pole nilikuwa sijakupata kumbe jina lako liko kama akili zako! MADENGE.
 
Wengine tunasema :-

Re: Ex- DC Mnali for PRESIDENT


Ingelitumika Pinda's Law, huyu jamaa tungelikuwa tumemalizana naye siku nyingi na sasa tungelikuwa tunatafuta wengine. Mafisadi wengine wangelikuwa hoi wakisubiri na wao mazishi yao.... Ila sasa mambo ya HAKI ZA BINADAMU...... Yes, kila mtu ana haki ya KUISHI MAISHA ANAYOYATAKA. Sasa nyie mlitaka KUMUAMULIA??
 
Huyu DRC hawezi enda, Michael Habimana na Laurent Nkunda walishakamatwa, Edmond Ngarambe na Joseph Kony wameshapoteza mawasiliano ya setelite yawezekana wanapigania roho zao. Huyu ni wa hapahapa, wamjini wameshavuta zao sasa wamepasia nawenzao faili nao wavute!
 
Ndio maana alikuwa anawasilisha hati zilizokwisha expire ili atumie hati halisi kutoroka??? ..atakuwa amefichwa na mmoja wa mademu zake.....inabidi upekuzi uanzie huko.
 

Sikonge

haki gani unaongelea mtu mmoja anayesababisha vifo Watz mamilioni?

200 Billions zingesaidia watoto wangapi wanaokufa kwa malaria maskini kwa vile hospitali hazina pesa kununulia dawa?

Umeenda Wilayani ukaona watoto wanaokufa ndugu yangu?

Sacrifice ya mtu mmoja against mamilioni?

Naona tunapoteza mda!

Human rights za wengi au mtu mmoja tena mshenzi!

Ingekuwa China hukumu ni ndani ya mwezi mmoja kwa maslahi wa wengi!

Human rights inasemaje?

Watoto wadogo Watz wafe kwa malaria kwa hospitali kukosa pesa kununua dawa??

Haya mambo tunaiga tu..Watemi wetu zamani ukisababisha hasara kubwa yaani unatundikwa tu haraka!

Hebu niambie tena ni Human Rights gani unaongelea?
 
Hata huyo hakimu aliyeluhusu dhana yenye utata anatakiwa ajieleze awajibishwe haiingii akilini kabisa manake zamana yenyewe ilikuwa na zengwe
 
Kwa nini hakimu amewaachia wadhamini?

jamani kwani wadhamini kazi yao ni kuwalinda watuhumiwa 24/7??? Mdhamini anaweka hela tu, na kama ni kweli katoroka basi hela ya wadhamini imeenda!!
 
kama yule mtuhumiwa kaingia mitini itakuwa ni aibu.

wakati tunalia lia kuwa nchi yetu ni maskini na ikatokea mtu akatuhumiwa kututia hasara kubwa kama hiyo halafu tunafanyafanya uzembe anatutoroka hakuna maneno mengine ya kusema zaid ya kusema kuwa sis ni wazembe.

hebu fikiria kiongoz wetu anaenda nje kuomba msaada au mkopo ambao kama watu sampuli ya akina AL wasingekuwepo basi kiongoz huyo asingeenda nje kuuomba. halafu tunazembeazembea anatoroka kirahisrahis.

vyombo vyetu vya usalama na viongoz wetu wanaohusika hawakuwajibika ipasavyo. watu sampuli ile sio kama wezi wa kuku
 

Mzalendo halisi,
Jaribu kusoma ujumbe wote kama unamjibu mtu. Hivi ninaposema yule DC awe Rais nina maana ya kuwa ninataka HUMAN RIGHT? Hebu soma tena ujumbe wangu hapa chini:-
Ingelitumika Pinda's Law, huyu jamaa tungelikuwa tumemalizana naye siku nyingi na sasa tungelikuwa tunatafuta wengine. Mafisadi wengine wangelikuwa hoi wakisubiri na wao mazishi yao.... Ila sasa mambo ya HAKI ZA BINADAMU...... Yes, kila mtu ana haki ya KUISHI MAISHA ANAYOYATAKA. Sasa nyie mlitaka KUMUAMULIA??
 
Tumetoka mabali sana.

Afadhari hata soga kwamba mtu kashitakiwa kisha katoroka tunaiongea sasa hivi.

Mijitu mingapi inatembea vifua mbele pale Bongo na mapesa ya Ujambazi wa Suti?
Vumbi lile la Bongo ni uchache katika mifuko ya watu wachache!

Ujenzi holela, maji machafu kila kona, mbuzi kuchungwa mjini, lami kutoa vumbi, mafufuriko katikati ya jiji, takataka hadi ikulu, ujenzi maeneo ya wazi na uchuro mwingine mwingi umefanywa na watu wanaojulikana majina yao na hata ya babu zao na bado watu hao wanatembea vifua mbele hapo Dar.

Huyu hajatoroka ila ametoroshwa ili viongozi wa serikali wanusuru Roho zao, ni Mbuzi mwingine wa Azazeri, mbuzi wa kubeba dhambi ili dhambi isiwatafune.
 
what kind a name is Amatusi...how do you pronouce Amatusi?...
 
Last edited:
Duh!
Nina uhakika alikuwa ameshaanda njia ya kutokea tangu mwanzo alikuwa anasubiri wakati muafaka ufike atimke.
 
sajabu jamaa alipewa passport mpya tu na mafisadi ili apotee, maana naona njia za sumu (magelesi) labda hazikuwa productive...
 
Ilikuwa lazima atoroke mtu huyu. Haingii akilini mkurugenzi wa BOT awe hajasafiri tangu 2007?

Sitashangaa pia kama alikuwa na pasi zaidi ya moja, TZ, South Africa, DRC e.t.c
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…