Kesi ya Liyumba: Wadau mnasemaje?

Kesi ya Liyumba: Wadau mnasemaje?

Hii kesi imeshaanza kunukia 'uzombe.' Hebu angalia maswali ya jopo la mahakimu: "Majengo yamejengwa hayakujengwa? Liyumba alifaidika binafsi na upanuzi wa ujenzi huo? Je, kulikuwa na udanganyifu katika kiasi cha fedha kilichotumika katika ujenzi ujenzi huo? Sasa hasara inapatikanaje?" Hapa shahidi hakuweza kujibu swali hata moja na kusababisha kicheko toka kwa watu! Kaaazi kweli kweli!

Kwa mwelekeo wa hizi kesi, mwisho wa siku hatafungwa mtu. Namna shahidi anavyoyumba inaonyesha ni jinsi gani upande wa mashitaka ulivyoandaa kesi dhaifu.

Sijui ya Alex Stewart nayo itakuwaje!!!
 
Kwa mwelekeo wa hizi kesi, mwisho wa siku hatafungwa mtu. Namna shahidi anavyoyumba inaonyesha ni jinsi gani upande wa mashitaka ulivyoandaa kesi dhaifu.

Sijui ya Alex Stewart nayo itakuwaje!!!

Sijajua kwa nini mawakili wa kujitegemea (Advocates) wako smart kuliko wale wa serikali (State Attorneys)!
 
Sijajua kwa nini mawakili wa kujitegemea (Advocates) wako smart kuliko wale wa serikali (State Attorneys)!

Wale wa serikali ni goi goi kwa vile washinde au washindwe kesi mshahara uko pale pale, na wataendelea kupanda vyeo au kuongezewa mishahara kama kawaida kwa kigezo cha miaka waliyotumika.

Wale binafsi wanataka kujenga jina, kuvutia wateja hivyo wao kushindwa kesi siyo option.
 
Wale wa serikali ni goi goi kwa vile washinde au washindwe kesi mshahara uko pale pale, na wataendelea kupanda vyeo au kuongezewa mishahara kama kawaida kwa kigezo cha miaka waliyotumika.

Wale binafsi wanataka kujenga jina, kuvutia wateja hivyo wao kushindwa kesi siyo option.

You are right! I always admire advocates, japokuwa wengine (baadhi yao) ni corrupt!
 
Naona mashahidi kwenye kesi hizi huwa wamapangwa kizidhoofisha. Inashangaza kuona mchunguzi anashindwa kujibu maswali obvious kabisa kwa mtu wa taaluma yake. Kweli na hii inaelekea kwenye Uzombe zombe!
 
Back
Top Bottom