mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,171
Hapo ngoma ndo imeanza! Na hapo ndo wameanza kumsaidia. Maana angekuwa si mtu maarufu kesi yake isingekuwa inaahirishwa kwa muda wa wiki mbili (fourteen day rule) kesi iliyoahirishwa leo ingetajwa tena mpaka novembaaaa 2012!!!
:biggrin: hivi hizi kesi wanaziairisha coz mahakama iko busy au wanafanya upelelezi zaidi? jamani si kila kitu kinafahamika kilichotokea...wasipoteze hela za walipa kodi kuendesha kesi mahakamani muda wote huu wakati vielelezo vyote wanavyo