Kesi ya Lulu: Polisi asema alikuta chupa ya Jack Daniel na Panga kwenye tendegu la kitanda

mkuu ,kitanda kimevurugika kama kimetumika??fafanua zaidi MKUU.
 
Good question...hii Lulu aitumie kwenye utetezi

labda aliti.wa....sio rahisi kumuua mtu.....uliyetoka

kuti.ana nae
Sasa hakuna mahali rahisi sana kwa mwanaume kukamatiwa chini na mwanamke aidha kuuwawa au vyovyote viwavyo zaidi ya kitandani. Mwanamke amekuwa silaha bora ya wakati wote kwa wanaume amini usiamini!!
 
anataka kutuonesha anajiamini sana...
mi nadhani angeinama tu awe anasali sala ya baba yetu uliye mbinguni...
hizi sio zama za jk

kila la kheri kwake
Huezijua labda ashajua nini kitaendelea! Kwani lulu ni Msukumaa?? Maana hii nchi yetu bhana wanaojiamini kwasasa daaah[emoji36] Ngoja waje[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Huezijua labda ashajua nini kitaendelea! Kwani lulu ni Msukumaa?? Maana hii nchi yetu bhana wanaojiamini kwasasa daaah[emoji36] Ngoja waje[emoji125] [emoji125] [emoji125]
mhaya wa kagera. mixer mchaga.

labda kashatoa uchi wake ndo ajue nini kinafuatia.
binti hajielewii..huyu kibatala mwenyewe alijitolea tu bure baada ya kuona hana msaada...
 
mhaya wa kagera. mixer mchaga.

labda kashatoa uchi wake ndo ajue nini kinafuatia.
binti hajielewii..huyu kibatala mwenyewe alijitolea tu bure baada ya kuona hana msaada...
Hapo sasa ndio wengi wanafumbwa macho. We unadhani nani keshapewa uchi Hakimu au wakili Kibatala? Halafu Kwani kosa la kuua mtu bila kutegemea sio kosa hii inakaaje?? Hapa wanasheria naombeni majibu japo sisi sio mahakimu!!
 
mhaya wa kagera. mixer mchaga.

labda kashatoa uchi wake ndo ajue nini kinafuatia.
binti hajielewii..huyu kibatala mwenyewe alijitolea tu bure baada ya kuona hana msaada...
Hapo sasa ndio wengi wanafumbwa macho. We unadhani nani keshapewa uchi Hakimu au wakili Kibatala? Halafu Kwani kosa la kuua mtu bila kutegemea sio kosa hii inakaaje?? Hapa wanasheria naombeni majibu japo sisi sio mahakimu!!
 
Hapo sasa ndio wengi wanafumbwa macho. We unadhani nani keshapewa uchi Hakimu au wakili Kibatala? Halafu Kwani kosa la kuua mtu bila kutegemea sio kosa hii inakaaje?? Hapa wanasheria naombeni majibu japo sisi sio mahakimu!!
kesi haiendeshwi na wakili mmoja..wapo zaidi y mmoja tena wanawake kwa wanaume.
kuua bila kukusudia ni kosa..na lina kifungo.
 
kesi haiendeshwi na wakili mmoja..wapo zaidi y mmoja tena wanawake kwa wanaume.
kuua bila kukusudia ni kosa..na lina kifungo.
Hivi unakumbuka ile kesi ya Dittopile ambayo nayo ilikuwa figizufigizu?
 
Hivi unakumbuka ile kesi ya Dittopile ambayo nayo ilikuwa figizufigizu?
ditopile aliua..kwa kukusudia
alikua anajitetea hivo tu ili adhabu ipungue..chezea kifungo cha maisha!
alikua barabaran foleni ndefu sasa dereva wa daladala aliovateki na kujikuta anapiga pasi(kulikwaruza) gari la ditopile..mzee nae alikua na jazba..si unajua uheshimiwa...nahos dereva alimjibu vibaya..dito akachomoa bastola fasta puuuh!kamshuti dereva wa daladala kichwani.
na konda alikuwepo kashuhudia..
dito katelekeza gari na bastola kakimbia..ila walimwona.
alihukumiwa kifungo cha maisha akajinyonga jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…