Kesi tajwa huenda ikachukua muda zaidi, ikiwa haki itatendeka, kwa maana ya hadi wahusika wote washukiwa katika kesi hii watakapo hojiwa...
Kwa jinsi hali ilivyo sasa wanaopaswa kuunganishwa na kesi hii kwa maana ya kuhojiwa kwa kina ni
1.Mwigulu Nchemba,
2.Polisi waliopewa mkanda 'na Mwigulu miezi mitatu iliyopita'
3.'Wasamaria wema kutoka CDM waliomkabidhi mkanda Mwigulu'
Ikiwa haki haitatendeka, basi 1-3 itawekwa kando na vyombo vya dola pamoja na TISS yao,
na kwa vyovyote mwisho wa siku kesi itakuwa sio kesi, ila hujuma na ukandamizaji wa vyombo vya dola kwa CDM.
Kwa jinsi hali ilivyo sasa wanaopaswa kuunganishwa na kesi hii kwa maana ya kuhojiwa kwa kina ni
1.Mwigulu Nchemba,
2.Polisi waliopewa mkanda 'na Mwigulu miezi mitatu iliyopita'
3.'Wasamaria wema kutoka CDM waliomkabidhi mkanda Mwigulu'
Ikiwa haki haitatendeka, basi 1-3 itawekwa kando na vyombo vya dola pamoja na TISS yao,
na kwa vyovyote mwisho wa siku kesi itakuwa sio kesi, ila hujuma na ukandamizaji wa vyombo vya dola kwa CDM.