Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
kwenye Sheria kunakitu kinaitwa kuwajibika kwa makosa aliyofanya mwingine (vicarious liability). Hususani katika tukio hili kinachoangaliwa ni uhusiano uliopo katiyako na dereva wa gari yako. Mfano alipata ajali akiwa katika utekelezaji wa majukumu uliyomuagiza wewe, basi katika Sheria ya madhara utawajibika kwa niaba yake.Kichwa cha habari cha husika.
Mwaka 2020 daladala iligonga mtu na kusababisha kifo chamwanaume mmoja.
Dereva akwekwa ndani, nyaraka zikapelekwa kam leseni ya dereva na cover note ya bima.
Dereva akapelekwa mahakamani akahukumiwa kulipa faini ya 160, 000 akailipa nakuachiwa huru.
Majuzi mke wa jamaa aliefariki kaenda mahakamani kufungua kesi ya madai hivyo wafuatao wameitwa
1. Dereva
2. Mmiliki wa gari
3. Agent wa bima
Naomba kujuzwa kitaalam hii kesi imekaeje? Mimi kama mmiliki naingiaje na fidia za namna hii huwa zinalipwaje?
Umeeleweka vyema sana mkuukwenye Sheria kunakitu kinaitwa kuwajibika kwa makosa aliyofanya mwingine (vicarious liability). Hususani katika tukio hili kinachoangaliwa ni uhusiano uliopo katiyako na dereva wa gari yako. Mfano alipata ajali akiwa katika utekelezaji wa majukumu uliyomuagiza wewe, basi katika Sheria ya madhara utawajibika kwa niaba yake.
kuhusu bima, ikiwa wewe utawajibishwa, basi kama kunamkata hai katiyako wewe na taasisi ya bima kwajili ya kulipia/kufidia madhara yatakayotokea kulingana na chombo hicho dhidi ya mtu mwingine basi bima itawajibika pia.
Mi nadhani gari yako Kama ilikuwa na bima, either Ni third part au comprensive ,bima ndio itawajibika kumlipa huyo mdai, Cha msingi je dereva alikuwa na leseni ya udereva iliyokuwa haiKichwa cha habari cha husika.
Mwaka 2020 daladala iligonga mtu na kusababisha kifo chamwanaume mmoja.
Dereva akwekwa ndani, nyaraka zikapelekwa kam leseni ya dereva na cover note ya bima.
Dereva akapelekwa mahakamani akahukumiwa kulipa faini ya 160, 000 akailipa nakuachiwa huru.
Majuzi mke wa jamaa aliefariki kaenda mahakamani kufungua kesi ya madai hivyo wafuatao wameitwa
1. Dereva
2. Mmiliki wa gari
3. Agent wa bima
Naomba kujuzwa kitaalam hii kesi imekaeje? Mimi kama mmiliki naingiaje na fidia za namna hii huwa zinalipwaje?