Hiyo stori akili yangu inakataa hoja ya huyo mama kutoka singida awe na nyumba kazaa kariakoo. Na bado ndugu zake wasijitokeze kuishi nae.
Watu wasingida wanapenda sana kuishi pamoja hasa ndugu yao akiwa na nyumba mjini.
Pili naona kuna ujanja ujanja.. huo wasia wa nyumba zake zote zipewe msikiti akili yangu inakataa.
Naona hapo marehemu kafa .. kila upande umejipa umuhimu wa kumiliki mali zake kiujanja ujanja. Wosia feki imetengenezwa na upande mwingine na wengine nao hati feki wametengeza,, Upande ulioona umezidiwa ujanja ndio unaplay victim role.
Pia swala la kuibiwa hati zote. Yaani mtu uibiwe hati za nyumba yako upuuzie tu wala usiende ardhi wakupe copy zake.
Maana rekodi za hati zipo wizara ya ardhi