Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Julai 13, imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi inayomkabili Agnes Gerald maarufu Masogange kutokana na kuwa mgonjwa.
Masogange anayetetewa na Wakili Ruben Simwanze amemuomba Hakimu Mkazi Mkuu Wilbrod Mashauri kuihairisha kesi hiyo kutokana na mteja wake kuumwa. Upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa Serekali Costantine Kakula aliiambia Mahakama kuwa kesi imekuja kwa ajili ya kuanza kutolewa ushahidi na mashahidi wawili tayari wamefika.
Baada ya kusikiliza pande zote mbili Mashauri alikubali ombi la upande wa utetezi na kusema; "mtuhumiwa anapoumwa huwezi kumlazimisha kusikiliza ushaidi.’ Awali, Masogange alipandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam.
Katika kesi hiyo namba 77 ya mwaka 2017, Masogange anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14 mwaka huu katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam alitumia dawa hizo za kulevya
Tayari upelelezi umekamilika na kesi imehairishwa hadi Julai 20 itakapoanza kutolewa ushahidi.
Mwananchi
=====
Mfululizo wa kukamatwa, kesi, hukumu na kuachiwa huru kwa Agnes Masogange kwenye kesi ya Madawa ya kulevya
Kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka
Yaliyojili wakati wa kesi ya Masogange
Hukumu
Masogange anayetetewa na Wakili Ruben Simwanze amemuomba Hakimu Mkazi Mkuu Wilbrod Mashauri kuihairisha kesi hiyo kutokana na mteja wake kuumwa. Upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa Serekali Costantine Kakula aliiambia Mahakama kuwa kesi imekuja kwa ajili ya kuanza kutolewa ushahidi na mashahidi wawili tayari wamefika.
Baada ya kusikiliza pande zote mbili Mashauri alikubali ombi la upande wa utetezi na kusema; "mtuhumiwa anapoumwa huwezi kumlazimisha kusikiliza ushaidi.’ Awali, Masogange alipandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam.
Katika kesi hiyo namba 77 ya mwaka 2017, Masogange anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14 mwaka huu katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam alitumia dawa hizo za kulevya
Tayari upelelezi umekamilika na kesi imehairishwa hadi Julai 20 itakapoanza kutolewa ushahidi.
Mwananchi
=====
Mfululizo wa kukamatwa, kesi, hukumu na kuachiwa huru kwa Agnes Masogange kwenye kesi ya Madawa ya kulevya
- Masogange akamatwa kwa tuhuma za kuhusika na Dawa za Kulevya
- Mwakyembe: Awamu iliyopita aliyetuwezesha kukamata 99% ya madawa ya kulevya aliishia jela
- Jeshi la polisi Tanzania laamua kumfuata Agness Masogange Afrika Kusini...!!
- Polisi aeleza alivyohangaika na Masogange
- Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa
Kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka
Yaliyojili wakati wa kesi ya Masogange
- Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!
- Masogange awataja wamiliki wa mzigo aliokamatwa nao SA
- Hatimaye Masogange amtaja aliye mtuma mzigo wa dawa za kulevya
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Mahakama yashindwa kusoma kesi ya Masogange; adaiwa kuwa mgonjwa
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Kesi ya Masogange yakwama kusikilizwa tena
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
- Muendelezo Vita Dawa ya Kulevya: Masogange apelekwa kwa Mkemia Mk
- Mahakama yakubali kuutumia mkojo wa Masogange, yasema fomu za mkemia zilifata sheria
- Sampuli ya mkojo wa Agness Masogange wakutwa na Heroin
Hukumu