Kesi ya Mbowe: Commando Mhina, Shahidi Mwaminifu na Rafiki wa Kweli

U unfit wao waliupata baada ya kujiingiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Huwezi ukalaumu Jeshi kwa kuwa ni watovu wa nidhamu kama wengine tu walisitahili kufukuzwa.
 
Huyo Malema si ajabu alishauliwa na kuwekwa kwenye sandarusi na kutupwa baharini.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuzaliwa watu modeli yako ni matumizi mabaya ya manii.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Uyo urio nae yupo wapi?
 
Makomandoo walipikwa, wakaiva vizuri.

Bila kujali ni nini kilisababisha kusitishwa ajira zao jeshini, lakini inaonekana mafunzo waliyopata huko waliyaelewa vizuri sana.
 
Unatania wewe. Unajua maana ya mtu unfit? Unfit ni yule aliyekufa kwa korona baada ya kujifanya yeye ni mwamba wa virus!
 
Mie mwenyewe nilishangaa sana comandoo unakamatwaje kizembe asee, tena kwenye pub za kuangalia mpira.... Wamedhalilisha sana fani ya ukomandoo..
Binafsi sielewi kwanini mbowe aliamua kuajiri hawa jamaa waluokua wamefukuzwa jeshini kwasababu mbalimbali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…