Kesi ya Mbowe: Commando Mhina, Shahidi Mwaminifu na Rafiki wa Kweli


Kwamba? "Mie mwenyewe ...."

Ama? Mwenye nini vile?

Hiiiiii bagosha!
 
Nani kama Commando Mhina?

"Kudos Commando Mhina. Kwa hakika wewe ni shahidi wa haki na Rafiki mwema."

"Kwa hakika wapenda haki wote tutasimama nanyi kuona haipo haki yenu moja itakayopotea."

-----------
Sauti na Zipazwe Zaidi:

"Wako wapi makomando wetu. Wako wapi Urio, Malema na Lijenje ambao tunajua mara ya mwisho walikuwa mikononi mwa Kingai[emoji848][emoji2827]
 
With no doubt, you need to seek mental health sapecialist assistance before your mental health is out of control.
 
Nani kama Commando Mhina?

"Kudos Commando Mhina. Kwa hakika wewe ni shahidi wa haki na Rafiki mwema."

"Kwa hakika wapenda haki wote tutasimama nanyi kuona haipo haki yenu moja itakayopotea."

-----------
Sauti na Zipazwe Zaidi:

"Wako wapi makomando wetu. Wako wapi Urio, Malema na Lijenje ambao tunajua mara ya mwisho walikuwa mikononi mwa Kingai
 
100% you are correct.
 

Mtu wetu ni Kingai. Huyu kama kondakta kama serikali inamnyamazia, prosecutor atakuwa wetu.

Tunawataka makomando wote alioonekana nao mwisho.
 
Mbona wako kwenye orodha ya mashahidi. Hivi kumbe hata hujafuatilia kesi toka mwanzo!!?
 
Sauti na Zipazwe Zaidi:

"Wako wapi makomando wetu. Wako wapi Urio, Malema na Lijenje ambao tunajua mara ya mwisho walikuwa mikononi mwa Kingai."
Mkuu inawezekana mimi nimeachwa nyuma najua Kingai keshawahi hojiwa na mawakili wa utetezi je wamewahi mmbana huyu Kingai aeleze waliko akina Lijenje na wenzie??
 
Inaonekana una mimba ya Mwendazake mpaka utakapojifungua ndiyo utamsahau.
Hapo ndipo umejitahidi kweli kweli (kama ilivyo kawaida ya malimbukeni wengi kama wewe kudhani kumwita mwanaume mwenzake ni mwanamke basi ni ujanja). BTW mimi siyo mwanamke ila wapumbavu kama wewe mtakuwa mmejifunza kuwa kuwa na cheo cha urais haimaanishi virus watakuogopa! Jamaa yenu alijipaisha na kujiweka mawinguni akidhani yeye ni kila kitu na anaweza kuamuru watu wauawe kadiri anavyopenda ila kifo hakitamgusa yeye!
 
Hivi Makomandoo wao huwa wanafananishwa ma Migambo? Mbona ni kama wametupwa huko mitaani? Ni aibu kwa JWTZ kama kesi moja tu ina Makomandoo zaidi ya 6 Wote wameachwa wateseke mtaani
 
Aliwaambia wataalam wa maabara kuwa vilaza hawajui kupima Corona. Baadae akapigwa Leo Kuna nidhamu.
 
Ila magufuli alikua na misimamo ya kijima. Weka msimamo dhidhi ya ugonjwa hatari kama covidi hadi ikaondoka naye.
 
Hawa wangepotezwa sema Mungu bado anawapenda. Kwa akili hizi watatesa wangapi,watauwa wangapi? Je watoto wa hao kina Lijenje vipi wakiamua kulipiza kisasi mana haya mambo yanaishi. Polisi na unyama wenu na mlaaniwe duniani na akhera.
 
Ila magufuli alikua na misimamo ya kijima. Weka msimamo dhidhi ya ugonjwa hatari kama covidi hadi ikaondoka naye.
Una laana wewe si bure! Madaktari waliomtibu waliweka wazi ugonjwa uliomwua!! Siyo corona!! Usilazimishe mawazo yako ya kiibilisi!! Corona Haina nguvu kabisa Tz kwa sababu raid wa awamu ya Tano alimtanguliza Mungu katika vita dhidi ya corona na Mungu akasikia maombi yetu. Ndio maana uko hai Leo na corona unaisikia tu kwenye vyombo vya habari lakini kwenye jamii yetu haipo kabisa! Lakini Kama ukiamua kuishabikia itakuja kwako tu wakati watanzania wengine wakibaki salama!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…