mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Una laana wewe si bure! Madaktari waliomtibu waliweka wazi ugonjwa uliomwua!!Ila magufuli alikua na misimamo ya kijima. Weka msimamo dhidhi ya ugonjwa hatari kama covidi hadi ikaondoka naye.
Ulishindwa kumpa jamaa alipougua korona? Nyambafu! Alijiona yeye ni mungu mtu!
Propaganda hizi zako hazina mashiko. Wewe endelea kushikishwa ukuta Lumumba. Kama vipi nenda mahakamani na wewe ukatoe ushahidi wako wa mchongo.Umeandika nini sasa hapo? Huyo Komando uchwara ni unfit kwa wale wako jeshini watajua vizuri maana ya Unfit. Ndiyo maana alifukuzwa Jeshini na ndiyo maana tena akalengeshwa na Urio kwa Gaidi Mbowe.
Komando kweli kweli hafukuzwi Jeshini akifanya makosa ya nidhamu anafungwa huko huko Jeshini na ikibidi kama bado anazigua anapelekwa vitani akakione chamoto, nafikiri unajua ninaposema vitani!!
Makomando walikuwa wakina Tamimu hata ukamataji wao ulikuwa kimbembe siyo hao wanakamatwa Rau sokoni hahahahaha... hapo kuna shield kibao tena wanakamatwa na askari watatu tu mmmmmh. Hao ni unfit commandos!!
Madawa ya kulevya yalishawamaliza stamina pamoja na u⁷wezo wa akili zao za kufikiria ndio maana Urio akamwingiza mkenge Gaidi Mbowe.
Una laana wewe si bure! Madaktari waliomtibu waliweka wazi ugonjwa uliomwua!!
Una laana wewe si bure! Madaktari waliomtibu waliweka wazi ugonjwa uliomwua!! Siyo corona!! Usilazimishe mawazo yako ya kiibilisi!! Corona Haina nguvu kabisa Tz kwa sababu raid wa awamu ya Tano alimtanguliza Mungu katika vita dhidi ya corona na Mungu akasikia maombi yetu. Ndio maana uko hai Leo na corona unaisikia tu kwenye vyombo vya habari lakini kwenye jamii yetu haipo kabisa! Lakini Kama ukiamua kuishabikia itakuja kwako tu wakati watanzania wengine wakibaki salama!!.
Check hili bwabwa utafikiri limepitia hata mafunzo ya JKT.Umeandika nini sasa hapo? Huyo Komando uchwara ni unfit kwa wale wako jeshini watajua vizuri maana ya Unfit. Ndiyo maana alifukuzwa Jeshini na ndiyo maana tena akalengeshwa na Urio kwa Gaidi Mbowe.
Komando kweli kweli hafukuzwi Jeshini akifanya makosa ya nidhamu anafungwa huko huko Jeshini na ikibidi kama bado anazigua anapelekwa vitani akakione chamoto, nafikiri unajua ninaposema vitani!!
Makomando walikuwa wakina Tamimu hata ukamataji wao ulikuwa kimbembe siyo hao wanakamatwa Rau sokoni hahahahaha... hapo kuna shield kibao tena wanakamatwa na askari watatu tu mmmmmh. Hao ni unfit commandos!!
Madawa ya kulevya yalishawamaliza stamina pamoja na uwezo wa akili zao za kufikiria ndio maana Urio akamwingiza mkenge Gaidi Mbowe.
Kwa nini Mbowe alikua anamobilize makomando waliofukuzwa? Yaani wengi sio mmoja. Hapo naomba nijibiwe kwa ufasaha sitaki matusi
Unaleta hoja nyepesi sana kwenye mambo mazito, mtu akusanye makomando waliofukuzwa halafu unaona lengo lake jepesi?!Kwani hao si watu? Zingatia. Au labda wewe ulitaka aku mobilize wewe au awa mobilize nani zaidi?
Au ungalipendelea achukue Green guards au active uvccm kabisa?
Kwa hiyo kuwa mobilise hao ndiyo hilo kosa linaloitwa ugaidi sasa?
Unaleta hoja nyepesi sana kwenye mambo mazito, mtu akusanye makomando waliofukuzwa halafu unaona lengo lake jepesi?!
Una akili za kikum kabisa ww , Umewahi fanya hata mgambo wewe hata Kama umefsnya jeshi lolote hakuna ulilokuwa unafsnya zaidi ya kura shumbwela au ulikuwa unalivuna jesh kum na Moja mzur wwUmeandika nini sasa hapo? Huyo Komando uchwara ni unfit kwa wale wako jeshini watajua vizuri maana ya Unfit. Ndiyo maana alifukuzwa Jeshini na ndiyo maana tena akalengeshwa na Urio kwa Gaidi Mbowe.
Komando kweli kweli hafukuzwi Jeshini akifanya makosa ya nidhamu anafungwa huko huko Jeshini na ikibidi kama bado anazigua anapelekwa vitani akakione chamoto, nafikiri unajua ninaposema vitani!!
Makomando walikuwa wakina Tamimu hata ukamataji wao ulikuwa kimbembe siyo hao wanakamatwa Rau sokoni hahahahaha... hapo kuna shield kibao tena wanakamatwa na askari watatu tu mmmmmh. Hao ni unfit commandos!!
Madawa ya kulevya yalishawamaliza stamina pamoja na uwezo wa akili zao za kufikiria ndio maana Urio akamwingiza mkenge Gaidi Mbowe.
Nchi hii ina watu wakatili na waovu ambao wako serikalini na kwenye vyombo vya dola ambao kwa uovu wao hata Ziraili hawafikii! May the Almighty burn them in Eternal Fire!Nimehuzunika zaidi nilipohisi hata wakati huu ninapokusoma hapa brazaj inawezekana wapo wengi wanaoteswa kwa namna hii uliyoandika hapa na hawana mtetezi.
Hawa makomandoo walikamatwa na kuteswa tangu mwaka jana, hivi kama sio Mbowe kuunganishwa nao baada ya kumkera yule bosi mwenye jinsia ya kike wangeendelea kuteswa mpaka lini?
jibu hili limenifanya nifikirie sana👍Mimi nawasifu makomandoo hawakukubali kuingia mkenge. Maana wangesema wajibu mapigo wangeuwawa halafu ingetangazwa ni magaidi.
Kwa hivyo kesi ya mbowe ingekuwa ngumu maana ingeonekana walikuwa na mpango muovu na kukata kukamatwa.
Kitendo Cha makomandoo kukubali kukamatwa na polisi bila kujibu mapigo, ni ushindi mkubwa na ishara ya kwamba hawakuwa na Nia mbaya.
Big up makomandoo mlicheza vizuri Sana ndio maana kesi imekuwa ngumu kwao mpaka wameomba msaada wa Jaji.
Wewe umethibitishaje hilo au umeandika kwa kutumia masabuli yako??U unfit wao waliupata baada ya kujiingiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Huwezi ukalaumu Jeshi kwa kuwa ni watovu wa nidhamu kama wengine tu walisitahili kufukuzwa.
Wale wana hirizi babu[emoji23]Hivi hakuna uwezekano wa kurevenge?
Yaani namaanisha kimya kimya au nakosea ndugu zangu watanzania?
Akili za chawa wote zinafananaUmeandika nini sasa hapo? Huyo Komando uchwara ni unfit kwa wale wako jeshini watajua vizuri maana ya Unfit. Ndiyo maana alifukuzwa Jeshini na ndiyo maana tena akalengeshwa na Urio kwa Gaidi Mbowe.
Komando kweli kweli hafukuzwi Jeshini akifanya makosa ya nidhamu anafungwa huko huko Jeshini na ikibidi kama bado anazigua anapelekwa vitani akakione chamoto, nafikiri unajua ninaposema vitani!!
Makomando walikuwa wakina Tamimu hata ukamataji wao ulikuwa kimbembe siyo hao wanakamatwa Rau sokoni hahahahaha... hapo kuna shield kibao tena wanakamatwa na askari watatu tu mmmmmh. Hao ni unfit commandos!!
Madawa ya kulevya yalishawamaliza stamina pamoja na uwezo wa akili zao za kufikiria ndio maana Urio akamwingiza mkenge Gaidi Mbowe.
Inawezekana ikawa wale watu waliokuwa wanakutwa kwenye viroba wakiwa wamefariki walikuwa ni makomandoo.