Kesi ya Mbowe: Commando Mhina, Shahidi Mwaminifu na Rafiki wa Kweli

Kamwambie shangazi yako akupeleke ukasalimie kaburi la baba ako Mana hata hulijui mtoto wakambo ww
 
Saguda47 amelike
 
Tanzania watu wake ni wakatili sana daah mpaka roho inasisimka hayo mambo wanayofanya ya utesaji ni kama makaburu tuu..
 
Ingekuwa nchi nyingine wangeambiwa "Thank you for your service"
 
Hakika
 
Unawatesa wtz wenzako ili upate nn na ufaidike na nn lkn malipo ni hapa hapa dunian hao watesaji zam yao itafika tu ni suala la muda katiba mpya ni muhimu saan
 
Msukule wa jiwe
 
Au siyo? wakati Hamza aliamua asikamatwe na Mpumbavu yeyote Yule.
 
Unawatesa wtz wenzako ili upate nn na ufaidike na nn lkn malipo ni hapa hapa dunian hao watesaji zam yao itafika tu ni suala la muda katiba mpya ni muhimu saan

Kwamba Samia kafunga kabisa macho na masikio anaangalia mitano yake mingine tu.

Ngoja tuone ..
 
Tanzania watu wake ni wakatili sana daah mpaka roho inasisimka hayo mambo wanayofanya ya utesaji ni kama makaburu tuu..

Kwa hakika ni heri hata makaburu.

Kingai, Mahita, Jumanne, na Goodluck si wa kufumbia macho hata ichukue muda gani.
 
wewe ni mjinga sana.
 
Hakika kila mtu bado ana bakiwa na maswali kadha wa kadha!
Hakuna ugaidi pale kesi ile ilikuwa ya muda mrefu ilifunguliwa kabla ya uchaguzi na ilifanyika vile sababu jiwe alijiandaa kuharibu Nchi so walijua Chadema hawatakubali kama ulikuwa unafuatilia kauli za LISU so ilikuwa kujihami baada ya uchaguzi walikamatwa LEMA... MBOWE na BONIFACE nyakati yuko yule mwehu mwenye tumbo kubwa kama pipa la Chibuku akawa anaenda tbccm kutoa ushahidi wa namna Mbowe alivyotaka kulipua vituo vya mafuta....mwisho jiwe akaamua kuipotezea baada ya kugundua watu hawakuwa na mawazo hayo.so wakaachiwa...kumbuka nyakati hizo hao makomandoo tayari walikuwa nyavuni.... miongoni mwa sababu nyingi za Mbowe kutaka kukutana na Samia ilikuwa ni kuomba kuachiwa kwa hao makomandoo
 
Wafuasi wa chaggadomo ni kama wamedata aisee. Wote ukiwangalia ni kama wamerukwa na akili.
 

Nchi inanuka dhuluma:

1. Kesi hii kufutwa
2. Makomando wote kuachiwa
3. Kuwahikiki makomando wote waliotoweka
4. Kulishughulikia genge dhwalimu la kuna Kingai lililohusika na ukikwaji mkubwa huu wa haki
5. Kuwalipa fidia wahanga wote wa kadhia hii
6. Kufumuliwa kwa jeshi la polisi
7. Kuhakiki haki na ustawi wa makomando wote walioondoshwa jeshini
8. Nk.

Inaweza kusaidia kupoza chungu ya vidonda sugu vilivyomo mioyoni mwa watu.

Alaaniwe jiwe na washirika wake kokote kule waliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…