Kesi ya Mbowe,imeonyesha udhaifu wa IGP na Mahakama zetu

Kesi ya Mbowe,imeonyesha udhaifu wa IGP na Mahakama zetu

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
Huo ndio ukweli pasi chenga!
Taifa hili linahitaji Katiba mpya na si vinginevyo.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.

77356ADA-69FB-4BC1-B1A9-B9756D6D4AB2.jpeg
 
Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.
Siyo kujiuzulu tu..
Kuna nchi mtu kama huyo ananyongwa hadharani ili iwe fundisho kwa wahalifu wengine!
Matumizi ya fedha nyingi za walipa Kodi maskini kuendesha kesi ya UONGO ni hasara kubwa 🙄
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
 
Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.
 
Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
Serikali imekwepa aibu kutoka kwa akina kibatala.
 
Watu wenye uwezo wa kiakili huwa hawajihusishi na siasa kwa kuogopa changamoto za kwenye siasa, hasa hila na Majungu. Matokeo yake watu wenye uwezo mdogo ndio hujiingiza kwenye siasa, na hatimaye ndio huwa viongozi na kufanya maamuzi.

Kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu, watu wenye uwezo duni wanapopata madaraka, hutawala kwa vitisho na hila ili kulinda udhaifu wao kufahamika. Na katika utendaji wao, hutegemea vyombo vya dola kutekeleza hila zao. Na mara nyingi viongozi hao hutoa vyeo kwa viongozi wenye uwezo mdogo kwenye vyombo vya dola, ili iwe rahisi kuwaendesha watakavyo. Na kwa kuwa viongozi hao wa vyombo vya dola hujijua kuwa wamepewa vyeo hivyo kwa upendeleo wakati wana uwezo mdogo, basi hutii amri zote za viongozi waliowapa vyeo vya fadhila, kwani vyeo hivyo huambatana na malipo ya kufuru na mianya mingi ya rushwa, ambapo hugeuka kuwa matajiri uchwara.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya kesi ya Mbowe na wenzake kuondolewa / kufutwa na DPP mahakamani ni wakati muhafaka tukiangazia yaliyojiri kipindi chote cha kesi hii bila kuweka ushabiki na uzandiki.

Mosi,Kabla kesi haijaanza kusikilizwa IGP alitoa kauli nzito kwamba wanaushahidi mzito.Binafsi niliwaza na kuwazua iwapo kweli ushahidi mzito upo.

Baada ya Jamhuri kupeleka mahakamani mashahidi 13 badala ya mashahidi 24 nikajikuta nikiwaza na kutafakari iwapo kweli IGP Sirro ana akili nzuri !.

Tanzania ina idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 60 million inaweza kama vipi taifa likawa na IGP wa kiwango duni kiasi hiki ?.Kauli ya mtu mzito wa kiwango cha IGP ilipaswa kuonekana wazi wakati mashahidi wa Jamhuri wakitoa ushahidi wao mahakamani.

Katika nchi za watu wanaojitambua IGP alipaswa kujiuzulu ili kumpa nafasi na wepesi mteuzi.IGP Sirro anastahili kubeba lawama na fedhea kwa jinsi mwenendo wa kesi ulivyokwenda ilionekana dhahiri ushahidi mwingi ilikuwa wa kupika au ukipenda kutunga.

Pili Majaji waliosimamia kesi hii walikubali pasipo shaka kupindisha sheria ilikumlinda mteuzi dhidi ya fedhea hasa kupitia matamshi yake na Kikeke.Kiwango cha weledi kimeshuka sana mahakama zetu si kimbilio la haki hata kidogo.Majaji mara kadhaa tena pasipo aibu wametoa maamuzi ya hovyo na wamekuwa sehemu ya uovu katika nchi yetu.

Mwisho Tanganyika inahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwa taifa letu.
Nashauri CHADEMA watumie wanasheria wao kupinga maamuzi yaliyo tolewa na majaji wakati wa kesi.

Maamuzi haya ya kimchongochongo yatakuja tumika kama referemce kwa ajili ya kunyima watu haki zao huko badae.
 
Watu wenye uwezo wa kiakili huwa hawajihusishi na siasa kwa kuogopa changamoto za kwenye siasa, hasa hila na Majungu. Matokeo yake watu wenye uwezo mdogo ndio hujiingiza kwenye siasa, na hatimaye ndio huwa viongozi na kufanya maamuzi.

Kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu, watu wenye uwezo duni wanapopata madaraka, hutawala kwa vitisho na hila ili kulinda udhaifu wao kufahamika. Na katika utendaji wao, hutegemea vyombo vya dola kutekeleza hila zao. Na mara nyingi viongozi hao hutoa vyeo kwa viongozi wenye uwezo mdogo kwenye vyombo vya dola, ili iwe rahisi kuwaendesha watakavyo. Na kwa kuwa viongozi hao wa vyombo vya dola hujijua kuwa wamepewa vyeo hivyo kwa upendeleo wakati wana uwezo mdogo, basi hutii amri zote za viongozi waliowapa vyeo vya fadhila, kwani vyeo hivyo huambatana na malipo ya kufuru na mianya mingi ya rushwa, ambapo hugeuka kuwa matajiri uchwara.
Comment bora ya leo🙌
 
IGP na yule wa tiithi wote lengo lao lilikuwa moja tu kumfunga Mbowe, ni vile mama kasema inatosha hivyo kuanzia leo hawatokuwa na mazoea ya kukanyaga jumbe jeupe tena.
 
siasa ni science.Hivi kuna kipindi CCM mtapata kura za chadema?

mnapeleka mtu mahakamani bila kujiridhisha kuwa mtashinda kesi? mama jiandae kumpa nchi Tundu Lissu.Umelikoroga kwa kweli.mtaambiwa mnatengenezaga kesi za mchongo.mtego huu mkali
 
Hii kesi haikupaswa kufutwa kirahisi rahisi hivi, ilitakiwa iende adi mahakama ya rufaaa ili tuwavue nguo ma CCM vizuri
 
Back
Top Bottom