Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hapa kesi za kisiasa kama uchawi vle
Kenya wana uwazi sana hasa kwenye maswala ya kisheria!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya wana uwazi sana hasa kwenye maswala ya kisheria!
Mbowe siyo gaidimbowe ni gaidi
Wanaogopa kuaibika.Unakumbuka kipindi cha kesi ya babu seya jinsi ile kesi ilivyogusa wananchi wengi na kuamua kuifwatilia hadi magazeti yakaanza kuandika mwenendo wake,lakini ghafla yakapigwa mkwara baada ya hapo kesi ikaenda kimya kimya hadi hukumu.Inawezekana na hii wanataka kuipeleka kibubu bubu ili wananchi walio wengi wasijue kinachoendelea.Ila hilo halitawasaidia maana hizi sio zama zakufumbata ujinga.Kwanini na sisi tusiwe kama Kenya. Huko lumumba waambizeni viongozi wenu.
Ya babu Seya ilikuwa sahihi kusikilizwa faragha kwa sababu kuna haki za watoto, kwahiyo mahakama ilikuwa sahihi, lakini si kwa kesi hii ya Mbowe, na ndio sababu Jaji amekataa uhuni wa Polisi na serikali.Wanaogopa kuaibika.Unakumbuka kipindi cha kesi ya babu seya jinsi ile kesi ilivyogusa wananchi wengi na kuamua kuifwatilia hadi magazeti yakaanza kuandika mwenendo wake,lakini ghafla yakapigwa mkwara baada ya hapo kesi ikaenda kimya kimya hadi hukumu.Inawezekana na hii wanataka kuipeleka kibubu bubu ili wananchi walio wengi wasijue kinachoendelea.Ila hilo halitawasaidia maana hizi sio zama zakufumbata ujinga.
Daaaaah we mzee umetoka mafichoniYa babu Seya ilikuwa sahihi kusikilizwa faragha kwa sababu kuna haki za watoto, kwahiyo mahakama ilikuwa sahihi, lakini si kwa kesi hii ya Mbowe, na ndio sababu Jaji amekataa uhuni wa Polisi na serikali.