Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Unapokeaje ushahidi kwa sheria za 'Rwanda' na sio Tanzania?Jaji asipopokea ushahidi huu atafutwa kazi, lazima aupokee. Hii kesi imetufundisha mengi Sana hata tusio wanasheria
Subiri utaona anavyopindisha pindisha maneno atakapo ipokeaUnapokeaje ushahidi kwa sheria za 'Rwanda' na sio Tanzania?
Ata kama ameagizwa bado ana nafasi ya kuongea na waliomuagiza kuwa mmekosea na kuagiza kinyesi badala ya chakula,je niwape kinyesi mle au ?
Jaji Tiganga mwanaccm atakuja na hili...
Kwa maoni yangu ,kutokuwepo kwa sheria hiyo hakuwez kufanya ushahidi huu usipokelewe.
Hapo atakuwa amekula kinyesi cha binadam yeye na waliomtuma,hili haliwezi kutokea mark my word.Subiri utaona anavyopindisha pindisha maneno atakapo ipokea
Mimi nilishangaa sana , jaji anaendesha kesi yenye i terest kubwsma kisiasa unakwenda kumpa cheo wakati bado anaendelea na kesi. Hizi ni akili mbovu sana.Lakini kwa hii kesi ya kuchonga usishangae Jaji akaja na maamuzi ya kukubaliana na mawakili wa serikali halafu akajitoa kuendelea kuisikiliza. Kama yule alie hongwa cheo.
Makosa ya nyaraka muhimu za kesi yanaweza kurekebishwa wakati kesi inaendelea kusikilizwa?
kwenye maamuzi ya kesi ndogo Jaji aliwapa kitu ambacho upande wa Jamhuri hata hawakukiomba, kuna muda kweli Mahakama huteleza na kupindua haki.mahakama sio mama yako, haiwezi kukupa kitu ambacho hukuiomba".
Jaji akishindwa kusimamia ukweli ushauri wa Lema uzingatiwe.Hili suala la kuomba siku nzima kupitia hoja za pande zote, Ni kujipa muda wa kuangalia namna iliyobora ya kupindisha pindisha ukweli kuwa uongo na hoja ya mawakili wa utetezi itupiliwe mbali!
Hawa majaji wa kupindisha pindisha washindwe na walegee!! Na aibu iwapate milele!
Majaji wanaosimamia haki na misingi
Ya sheria, Mungu awainue na nyota zao zing'ae milele na milele!
Of course, ndiyo njia hiyo. Lakini mimi ninachosema kama Jamhuri ndiyo ingeona hiyo 'wrong citation of law' ingefumba macho? Jibu ni hapana, lakini utetezi umeibua hilo suala, wao wanaona si jambo kubwa.Namna pekee ni kuona Court 9f Appeal imeelekezaje kama nilivyosema.
Kuna mtu humu kaiweka kesi yote nikiyo cite ya Chama cha Walimu.
"With the above quoted principle, this court concludes that the wrong citation does go to the root of the matter and since this application has been preferred under the wrong provisions it is therefore based on the wrong legal foundation hence bound to collapse. Having discussed as above, I hold that the first limb of objection regarding the wrong citation of the enabling provision is meritorious and it is therefore sustained.
Since this objection alone suffices to dispose of the application, I hereby do the same by striking it out with costs.
It is so ordered,
DATED at MWANZA this 06th day of July, 2020
Ruling delivered in open chambers in the presence of the parties in the presence of the parties as per coram".
J. C. Tiganga Judge 06/07/2020
_____________________________________
Sasa huyu jaji ataongea nini tena, akileta ujinga wa kutaka kupindisha sheria basi sasa hata mimi nitaunga mkono hoja ya Lema kwa sababu sasa itakuwa ni upumbavu.
The fate of this case is predetermined. It will fall the victim of the miscarriage of justice.Pingamizi kupokelewa hati ya ukamataji kesi ya kina Mbowe lagonga mwamba
TUESDAY NOVEMBER 09 2021
Na CJ naye Ni wa hovyoMajaji 90% walioteuliwa na meko ni janga la taifa,wengi elimu ndogo waliteuliwa kimkakati kulinda ccm...mahakama yetu imekua ya hovyohovyo inaongozwa na majaji vilaza tupu,angalie feleshi na siyami hizo nafasi wamepewa hawana uwezo nazo kielimu,unawaacha majaji kma sumary au Dimelo ambao ni wabobezi
Wengi watakuwa wamehitimu mafunzo ya sheria ngazi ya cheti.Naweka kambi kwenye huu uzi, hii kesi mpaka iishe nitakuwa nimejifunza mengi sana.
Kwaio jaji anatuletea usanii si ndio?IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
IN THE DISTRICT REGISTRY AT MWANZA
MISCELLANEOUS CIVIL APPLICATION NO. 152 OF 2019
(Arising from PC Civil Appeal No. 37 of 2018 which originated from Bupandwa Primary Court, Civil Case No. 27 of 2017)
WILFRED JOHN................................................. APPLICANT
VERSUS
PAULO KAZUNGU............................................RESPONDENT
2tfh May■ & 0tfh July, 2020.
TIGANGA,
..........................I must say that the law regarding this matter is well settled. It is to the effect that the wrong citation as well as the non citation of the enabling provisions renders the application incompetent. This has been stated in a number of decided cases when the court was faced with similar circumstances as this one at hand.
For instance in the case of Hussein Mgonja versus The Trustees of the Tanzania Episcopal Conference, Civil Revision No.02 of 2002, CA (unreported), the Court of Appeal when striking out an application on the ground of incompetence stated that;
"If a party cites the wrong provision o f the law, the matter becomes incompetent as the court will not have been properly moved" Also see,Edward Bachwa & Three Others vs The Attorney General & Another, Civil Application No. 128 of 2006.
The applicant herein moved this court by citing Order IX Rule 9, Order XLIII Rule 2 and section 95 of the Civil Procedure Code (supra) as enabling provisions to set aside the dismissal order, however, it is clear and from his own concession that the cited provisions are irrelevant hence amounts to wrong citation.
Although the applicant has urged this court toinvoke the oxygen principle and focus on the substantive part of the matter stating that the wrong citation does not go to the root of the matter, this court, with due respect, does not share the same view. The gravity of the error in citing a wrong enabling provision was stated by the Court of Appeal in the case of China Henan International Co-operation Group versus Salvand K. A. Rwegasira, [2006] TLR 220, where the court held that;
"here the omission in citing the proper provision o f the rule relating to a reference and worse still error in citing a wrong and inapplicable rule in support o f the application is not in our view, a technicality falling within the scope and purview o f Article 107A(2) (e) o f the Constitution. It is a matter which goes to the very root o f the matter
With the above quoted principle, this court concludes that the wrong citation does go to the root of the matter and since this application has been preferred under the wrong provisions it is therefore based on the wrong legal foundation hence bound to collapse. Having discussed as above, I hold that the first limb of objection regarding the wrong citation of the enabling provision is meritorious and it is therefore sustained.
Since this objection alone suffices to dispose of the application, I hereby do the same by striking it out with costs.
It is so ordered,
DATED at MWANZA this 06th day of July, 2020
Ruling delivered in open chambers in the presence of the parties in the presence of the parties as per coram.
J. C. Tiganga Judge 06/07/2020
Tukimaliza hii kesi tunatoka mahakamani tunaingia mlango wa pili apo law school kupiga pepa la uwakili au vp mkuuWengi watakuwa wamehitimu mafunzo ya sheria ngazi ya cheti.