Kesi ya Mbowe: Kesho kama ada tukutane Mahakamani

Kesi ya Mbowe: Kesho kama ada tukutane Mahakamani

Mimi sio muumini wa ccm, wala msaliti wa maendeleo ya nchi.

Mimi namuamini kiongozi anaeipenda nchiyake na kuonyesha ana hamuya kutuletea maendeleo ya kweli, na sio anae iombea nchi mabaya kama vile kushawishi nchi nyingine zitutenge N.K

Kuna post yako nyingine hapa:

IMG_20220110_065926_896.jpg


Kwa hisani ya uzi huu:

James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Unajaribu kukikimbia kivuli chako?

Hukuwahi kusikia wakisema:

"Kuvaa dela si kazi bali kulishikilia kunako upepo?"

Kwani hoja yako hii kwenye uzi huu msingi wake ulikuwa nini haswa?

IMG_20220110_070803_906.jpg
 
Kuna post yako nyingine hapa:

View attachment 2075383

Kwa hisani ya uzi huu:

James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Unajaribu kukikimbia kivuli chako?

Hukuwahi kusikia wakisema:

"Kuvaa dela si kazi bali kulishikilia kunako upepo?"

Kwani hoja yako hii kwenye uzi huu msingi wake ulikuwa nini haswa?

View attachment 2075384

Hapo hoja ni ambavyo mkanganyiko wa matumizi ya mkopo,tozo, yaani taarifa kwamba tozo itakusanywa kwaajili ya ujenzi wa madarasa na vyoo, na baadae mkopo kwaajili ya ujenzi wa vyoo na madarasa.

Hapo nikaelewa ndugai alikuwa na hoja ya msingi ndio nikaungana na mbatia hapo kutaka aliowaita punguani wakuelewa watetee hojazao, copy.

Nauelewe niliunga mkono hoja ya ndugai na sio chama.
 
Zingatia:

"Kwa mara nyingine, pamoja na kutotegemea dodo kwenye mnazi, wale tutakaoweza tukutane mahakamani "Law School of Tanzania."

Au nasema uongo ndugu yangu?
Haya ni mambo ya aibu kwa nchi yangu!Yaani kesi ya mchongo inafanyika sehemu yenye hadhi kubwa kama law school of Tanzania?!
 
Umeyasikia kama ya mzee 6, Supika baada ya Yobo ni mzanzibari.

Kumbuka 6 aliambiwa Supika ni mwanamama. Hiiiiii bagosha!

Dirisha la usajili ndiyo hilo tena. Vipi kumhimiza mwanamakunduchi ngulu Jumbe Brown?

Nani ajuaye?
🤣🤣🤣
Sina uwezo wa kuwa spika kiumri na kiweledi....
Uwezo wangu ni kupambana na BAVICHA Kona zozote zile......

#Siempre Chifu Hangaya🙏
 
🤣🤣🤣
Sina uwezo wa kuwa spika kiumri na kiweledi....
Uwezo wangu ni kupambana na BAVICHA Kona zozote zile......

#Siempre Chifu Hangaya🙏

Tunakataa ubaguzi wa aina yoyote kwenye katiba mpya.

Miaka 18+ kama awaye yote ana haki zote za kuchagua na hata kuchaguliwa.

Under 18, bavicha utawaweza mjomba?
 
Tunakataa ubaguzi wa aina yoyote kwenye katiba mpya.

Miaka 18+ kama awaye yote ana haki zote za kuchagua na hata kuchaguliwa.

Under 18, bavicha utawaweza mjomba?
Ili mtu aingie ndoani na kuoa kigezo ni kuwa "mwanamume kamili"....lakini pekee HAKITOSHI......

Ankali BAVICHA wepesi kama UBUA.....nani vile Sosopi ?!!! Miss Newton ?!!! Wewe ?!! Ama kiongozi wenu Pambalu msukuma mpiga mayowe?!!! 🤣🤣
 
Ili mtu aingie ndoani na kuoa kigezo ni kuwa "mwanamume kamili"....lakini pekee HAKITOSHI......

Ankali BAVICHA wepesi kama UBUA.....nani vile Sosopi ?!!! Miss Newton ?!!! Wewe ?!! Ama kiongozi wenu Pambalu msukuma mpiga mayowe?!!! 🤣🤣

Sina hakika kama unatufahamu vyema lakini, mjomba:
IMG_20220110_071335_038.jpg

Mayowe gani tena zaidi ya hayo?

Kumbuka uzito kisiasa haupimwi kwa kilo.
 
Unakihukumu kitabu kwa jalada lake?
Kama unavyoyahukumu mapenzi yangu makubwa kwa mh.Chifu Mkuu Hangaya huku ukihanikiza kuwa mimi ni wa kutoka MWAKAKOGWA MAKUNDUCHI ilihali kwetu miye ni bara kindakindaki 🤣🤣
 
Back
Top Bottom