Kesi ya Mbowe kesho: Kisutu hapatatosha, maandalizi yanaogofya

Wewe ndege huoni hasara kila siku tatizo kila kitu kuendeshwa kisiasa badala yakuendeshwa kitaalamu.

Tangu zije zimeleta hasara zaidi ya bilioni 600 kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG. watu hawawezi kukaa kimya kisa tulisema ndege zinunuliwe.
Aviation industry sio sawa na biashara ya kuuza mkaa,yaani uianze na kupata faida hapo hapo,jaribu kuangalia mashirika ya Ndege Duniani jinsi yalivyopitia mpaka kufikia hapo yalipo.
 
Kesho tarehe 5/8/2021, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itatajwa kesi ya jinai inayomjumuisha Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Ndugu Freeman Aikaeli Mbowe. Mbowe pamoja na wenzake watatu wanashtakiwa kwa makosa mbalimbali ya kijinai.
Tukutane kisutu
 
Masikhara masikhara hivi hivi tunaweza kusikia Mbowe kaukumiwa miaka 30. Hapo ndo wanachadema mtalia na kusaga meno. Na hamna kitu mnaweza kufanya na ubishi wenu na kiherehere vitaishia hapo. Mwanamke akiwa madarakan ukimchezea anahisi kama unamdharau.. hapo sasa ndo utajua roho yake ilivyo.. hapo mbowe hawezi kutoboa. Wanachadema mjiandae kisaikolojia na msave machozi kwa ajiri ya siku ya hukumu kwani bwana mbowe anaenda kula mvua za kutosha.
 
CCM wanaogopa katiba mpya kama màgufool alivyokuwa akiogopa milio ya risasi & mabundi
 
Aviation industry sio sawa na biashara ya kuuza mkaa,yaani uianze na kupata faida hapo hapo,jaribu kuangalia mashirika ya Ndege Duniani jinsi yalivyopitia mpaka kufikia hapo yalipo.
Yaani uhalalishe hasara ya karibu trilion huku ukisema ndo biashara ya anga ilivyo?
 
Huruhusiwi kukaribia mahakama kama huna cheti cha chango covid - 19
 
Mnaohudhuria msisahau kubeba vitu ila visiwe na ncha kali,yaani chukua kila kitu ili kujilinda na ccm ila CCM wamejipanga kuchukua marungu eti kwa sababu havina ncha kali.
 
Kesho tarehe 5/8/2021, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itatajwa kesi ya jinai inayomjumuisha Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Ndugu Freeman Aikaeli Mbowe. Mbowe pamoja na wenzake watatu wanashtakiwa kwa makosa mbalimbali ya kijinai.
Njama za kuahirisha kesi ya Mbowe kesho zinapangwa
 

Umewasahau wale mabeberu ambao siku moja moja tunawatambua kama washirika wetu wa maendeleo nao watakuwapo wenyewe.

Hawataki ya kusikia wamepanga kujilinda wenyewe

Pamoja nao tutakuwapo pia.

Tukutane mahakamani.
 
Samia kazingua sana

Huyu mama bwana! Waliokuwa na mashaka nae tangu mwanzo kumbe walikuwa sahihi. Huyu ndio hafai kabisaaaa.. amalize tu miaka yake apishe wanaume. Ametudharaulisha tu wanawake.

Sasa na teuzi zake za hao watoto, wanaenda kuongoza vipi watu wazima wenye maexperience yao huko halmashauri na wilayani. Katanguliza kujuanaaa. Hapo hamna hata vetting. Ni nafasi anagawa tu hovyo.

Yani amalize tu apishe wanaume. Nchi inaenda kishkaji, hana habari kabisaa . Bora ya watangulizi wake wote mara 1,000 kuliko yeye.
 
Kuna kukata rufaa, acha ushubwada!
 
Aisee,huu uandishi,SAFI SANA...UNASOMA HUKU UNAPATA RAHA
 
Jukumu la serikali ni kwa raia wake kwanza.

Fvrk media za kimataifa!!
 
Mambo mengine huwa ni mikwala ya vyombo vyetu, kwamba Mbowe ata akija mahakamani Kama mahabusu Wengine , watu tunamuiba, Mbowe mlimkamata na kumnyima haki zake, ila itatoka tu,wakati huo serikali ikiwa tiyari imejiacha uchi KWa Mambo mepesi,katika uso wa Dunia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…