Kesi ya Mbowe kesho: Kisutu hapatatosha, maandalizi yanaogofya

Ngoja tuone maana chadema wanajidai eti wanapendwa sana. Kitakachotokea inaweza kua mamluki wa kulipwa kuja kuleta fujo mahakamani ili kupata picha kwa waandishi wa habari.
 
Leo pale central polisi kulikuwa na kundi kubwa kabisa la askari inaelekea ndo walikuwa wanajipanga..
 
Mpikie mumeo usije ukaachika, maana ndyo kitu unachokijua
 
"KAMA UMEJICHOKA SOGEA KISUTI UKUNG'UTWE" kamanda Sirro
Mahakamani siyo uwanja wa vita,Sirro na POLISI wake wantoa wapi mamlaka ya kukung'uta raia wa nchi hii watakofika kusikiliza shauri la ugaidi wa Mh.Mbowe?Kesi waianzishe wao halafu wanawaadhibu wanaoenda kuisikiliza?Hayo ndiyo majukumu ya POLISI?
Ndipo hapo sisi wengine tunapodai katiba Mpya ya Tanzania.
 
A very profound statement you have made here, mkuu 'VAPS'; something that is not easily recognized by many!
 
Kamanda Sirro aache kusaka sifa za kijinga, amtaje aliyejiunganishia bomba la mafuta, maana Siku 7 alizosema zimeisha.
Anapenda kuelekeza nguvu zake na Jeshi la POLISI kufanya cheap politics za CCM na mipasho.Wana CHADEMA wanaenda Mahakamani kumuuliza Mh.Mbowe kama Mkristo aseme kama yeye ni gaidi?Sirro anaweweseka?
 
Gaidi namba moja:Freeman Aikaeli Mbowe atakapo fikishwa mahakamani lazima ulinzi uwe tight hatutaki kuona hata kunguni akikatisha mbele.
wasije wakalipua Mahakama zetu bure, maaana hawa jamaa ni sawa na bokoharam.
Takataka namba moja la Chato Mungu alilifyekelea mbali,lipo Kuzimu sasa hivi linaungua moto wa Jehanamu.
Takataka namba mbili lenye macho kama linaliwa Tigo,lipo njiani muda wowote litakuwa Jamhuri ya Kuzimu kumkaangia Chips na kumwogesha huyo hayawani wa Chato.
Magaidi mnayapenda mtayapata tu mbwa koko nyie
 
Wewe kinyesi cha mbwa unaongea nini?hebu kafie huko
 
Mkuu, MUNGU yupo na CHADEMA, walikuwa wakimwabudu Magufuli, amekufa ghafla hawataki kujifunza tu kutenda haki.
Hili limacho nalo litakufa kiajabu sana,wewe subiri tu
 
Kwa gaidi Mbowe ulinzi ni lazima. Atakayekanyaga mahakamani kesho atakanyagwa barabara na polisi. Atakayeleta chokochoko atachokonolewa hadi kooni. Kaa mbali na Kisutu kesho
 
Wewe ndege huoni hasara kila siku tatizo kila kitu kuendeshwa kisiasa badala yakuendeshwa kitaalamu.

Tangu zije zimeleta hasara zaidi ya bilioni 600 kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG. watu hawawezi kukaa kimya kisa tulisema ndege zinunuliwe.
Kwanza hakuna mpinzani aliyewahi kusema ndege zinunuliwe,ni jitu moja shamba la Chato lilikuwa linaipiga nchi kwa staili Tofauti
 
Mtoto wa mwanamke Malaya wewe, nguvu gani imeleta maendeleo Tanzania Punda wahedi wewe?
 
Kwa gaidi Mbowe ulinzi ni lazima. Atakayekanyaga mahakamani kesho atakanyagwa barabara na polisi. Atakayeleta chokochoko atachokonolewa hadi kooni. Kaa mbali na Kisutu kesho
Gaidi ni Baba yako aliyetomba mwanamke malaya ukazaliwa wewe toto jibwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…