Kama ilivyo tarajiwa hukumu ya leo haikuwa na jipya kama zitakavyokuwa za siku zijazo.
Refa kajikita kutafuta chochote dhidi ya upande wa utetezi ili kutupilia mbali lolote wanalo wasilisha.
Ama kweli ni refa mchezaji aliyedhamiria kweli kweli.
Hoja ngapi za mashtaka zilikuwa na utata mwingi lakini zote kazifumbia macho?
Wako wapi wanaume chapa ya moto (fire brand)? Kwani hawapo? Hii ndiyo type ya mheshimiwa Mbowe ambaye bila wao kumepoa.
Kwa hakika ndiyo sababu wanamshikilia na wataendelea kuwa naye kwa muda mrefu sana:
Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu
Bila amsha amsha za haja wanatuchukulia poa tu.
Itambulike haipo tija tunayotegemea kupatikana kutokea mahakamani bila ya kuwepo kwa uwazi wa hisia zetu kwao.
Tulipo hawaoni athari wala hatari yoyote ya kujifanyia lolote na kwa vyovyote.
Lembrus Mchome alituwakilisha vyema, ila haitoshi.
Ilikuwa ni muhimu sana kwa Makumi kwa elfu yetu hisia zetu wakazielewa bayana.
Ni hayo tu ndugu Makamanda.
Refa kajikita kutafuta chochote dhidi ya upande wa utetezi ili kutupilia mbali lolote wanalo wasilisha.
Ama kweli ni refa mchezaji aliyedhamiria kweli kweli.
Hoja ngapi za mashtaka zilikuwa na utata mwingi lakini zote kazifumbia macho?
Wako wapi wanaume chapa ya moto (fire brand)? Kwani hawapo? Hii ndiyo type ya mheshimiwa Mbowe ambaye bila wao kumepoa.
Kwa hakika ndiyo sababu wanamshikilia na wataendelea kuwa naye kwa muda mrefu sana:
Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu
Bila amsha amsha za haja wanatuchukulia poa tu.
Itambulike haipo tija tunayotegemea kupatikana kutokea mahakamani bila ya kuwepo kwa uwazi wa hisia zetu kwao.
Tulipo hawaoni athari wala hatari yoyote ya kujifanyia lolote na kwa vyovyote.
Lembrus Mchome alituwakilisha vyema, ila haitoshi.
Ilikuwa ni muhimu sana kwa Makumi kwa elfu yetu hisia zetu wakazielewa bayana.
Ni hayo tu ndugu Makamanda.