Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Siyo siri kuwa vita vitakatifu vinaendelea pale mahakamani. Ni wazi kuwa ule upande mwingine bila kumwacha awaye yote:

IMG_20211016_132442_593.jpg


wote wako Chobingo, na wala si cha mtoto!

Tunapo tathmini yanayojiri tokea kuanza kwa marumbano yaliyopelekea kesi hii na yote tuyaonayo, hakuna asiyejua mzizi wa fitina ni yale madai ya katiba mpya.

Madai ya katiba mpya yaliyokuwa yakishika kasi chini ya kamanda Mbowe ndiyo yaliyo chimbuko la wazi la kesi hii na hukumu hizi za kubambikiziana.

Kwamba harakati hizo zimepoa na wametuweka busy kujadili kesi hii isiyokuwa na kichwa miguu, waliko wanaweza kuwa wanachekelea kwa ushindi. Watakuwa wanahesabu mafanikio.

CHADEMA, hawa watu tusiwabeze, inawezekana wamechoka kutumika na sasa wameamua kuboronga

Si Siyani, Kingai, Kaaya wala Corporal Abdallah aliyeweza kuonyesha uwepo wa hoja zozote zenye kumfanya yeyote mwenye akili zake kuweza kuamini kuwa pana kesi ya ugaidi hapa.

Kesi hii yaweza kuwa na malengo ya mbali ya kututoa kwenye reli na kutupotezea muda.

Vivyo hivyo kumtoa kamanda Mbowe kwenye reli, kumtesa na kumpotezea muda. Hayo ni kama ilivyo kwa washtakiwa wenziwe na bila kumsahau Moses Lijenje.

Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu

Kwa sababu hii, ni muhimu kujua ni faida zaidi kwao kuendelea na kesi hii na kwa muda mrefu kwa kadri inavyowezekana. Hii ikiwa bila kujali nini itakuwa hatima ya kesi yenyewe.

Upande wa pili hawana cha kupoteza kwenye kesi hii, hali sisi tuna vyote vya kupoteza ikiwamo muda na momentum.

Wanajua kwenye matokeo ya hii kesi (kama ni mechi ya mpira) basi tutawachapa 3 - 0. Ila kwa hatima ya kesi, kama faida mkononi watatuchapa 6 - 0.

Tunaweza kuifuatilia kesi hii hali mapambano ya kudai katiba mpya yakiendelea na hata kwa kuyaboresha zaidi.

Kama wanachama mbona tuko lukuki?

Wananchi huhitaji uongozi. Kwenye hili hatuwezi kuwa exception.
 
Huko Mahakamani nafatilia vituko tuu muhuni anatoa CV masaa mawili kasoma Botswana mara China mambo ya vilipuzi harafu bado anasotea V...kiingereza cha kawaida tuu fungua mlango na funga hajui sijui huko Botswana alikua anaongea lugha gani..
 
Siyo siri kuwa vita vitakatifu vinaendelea pale mahakamani. Ni wazi kuwa ule upande mwingine bila kumwacha awaye yote:

View attachment 1992166

wote wako Chobingo, na wala si cha mtoto!

Tunapo tathmini yanayojiri tokea kuanza kwa marumbano yaliyopelekea kesi hii na yote tuyaonayo, hakuna asiyejua mzizi wa fitina ni yale madai ya katiba mpya.

Madai ya katiba mpya yaliyokuwa yakishika kasi chini ya kamanda Mbowe ndiyo yaliyo chimbuko la wazi la kesi hii na hukumu hizi za kubambikiziana.

Kwamba harakati hizo zimepoa na wametuweka busy kujadili kesi hii isiyokuwa na kichwa miguu, waliko wanaweza kuwa wanachekelea kwa ushindi. Watakuwa wanahesabu mafanikio.

CHADEMA, hawa watu tusiwabeze, inawezekana wamechoka kutumika na sasa wameamua kuboronga

Si Siyani, Kingai, Kaaya wala Corporal Abdallah aliyeweza kuonyesha uwepo wa hoja zozote zenye kumfanya yeyote mwenye akili zake kuweza kuamini kuwa pana kesi ya ugaidi hapa.

Kesi hii yaweza kuwa na malengo ya mbali ya kututoa kwenye reli na kutupotezea muda.

Vivyo hivyo kumtoa kamanda Mbowe kwenye reli, kumtesa na kumpotezea muda. Hayo ni kama ilivyo kwa washtakiwa wenziwewalioko bila kumsahau Moses Lijenje.

Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu

Kwa sababu hii, ni muhimu kujua ni faida zaidi kwao kuendelea na kesi hii na kwa muda mrefu kwa kadri inavyowezekana. Hii ikiwa bila kujali nini itakuwa hatima ya kesi yenyewe.

Upande wa pili hawana cha kupoteza kwenye kesi hii, hali sisi tuna vyote vya kupoteza ikiwamo muda na momentum.

Wanajua kwenye matokeo ya hii kesi (kama ni mechi ya mpira) basi tutawachapa 3 - 0. Ila kwa hatima ya kesi, kama faida mkononi watatuchapa 6 - 0.

Tunaweza kuifuatilia kesi hii hali mapambano ya kudai katiba mpya yakiendelea na hata kuyaboresha zaidi.

Kama wanachama mbona tuko lukuki?

Wananchi huhitaji uongozi. Kwenye hili hatuwezi kuwa exception.
CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
 
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini
 
Huu ukweli..walioengineer hii kesi...wamejipanga kutafuna Kodi za wananchi kwa kutumia galasa hili.lakn wakati huo wakifaidika na kupata ahueni ya kutokuepo ama kusnyaa kwa muashawasha wa katiba mpya. Wamejipanga wakitumia viapo vya Mungu mahakamani mchana kweupe huku wakijua Ni kesi Feki.Kiikweli ukitafakari Ushahidi na idadi ya mashahidi waliowalipa kusimamia udanganyifu huu ,utajua kuwa wamejipanga sana.
Hakuna cha ugaidi wala mdudu yeyote bali wao Neno Katiba ni Kinyume na Masilahi yao..
Wananchi wa Nchi hii amkeni...Watawala hawa wamejipanga muendelee kuwa watumw kwa misingi mibovu iliowekwa ili kufanikisha kundi na vizazi vyao kwa miaka na miaka waendelee kula keki ya Taifa.Amkeni usingizini kuondoa kundi linalonyima Hatima njema ya maisha ya watoto wetu na vizazi vyetu. Katiba bora ni kwa ajili ya vizazi vyote vya nchi hii ,kuunga mkono kundi lisilotaka katiba Bora ni kunyima vizazi vyetu fursa. Hima amkeni!!
 
CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!

Chadema siyo kile chama chenu mjomba 😁😁:

IMG_20211030_164402_520.jpg


Kwani Chama chenu na kina Sabaya na Kaaya mara hii umeshakisahau?

Hiiiiii bagosha!
 
CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Ukichamba sana lazima ushike kinyesi. Mbowe kashika kinyesi kwa kujifanya mjuwaji. Miaka 5 ya Mwendazake aliufyata kimya kama uchi wa mwanaume hanithi kwenye boxer, lakini alivyokuja Rais SSH alimu underate sana kwa kumuona mwanamke hana uwezo.

Tatizo ni ulemavu wa uongozi alionao Mbowe. Kule CHADEMA yeye ndiye Mwenyekiti na yeye ndiyo sauti ya mwisho kwa kuwa amekuwa Mwenyekiti toka 2003, miaka 18 sasa.

Kimsingi Mbowe hana haiba ya kuwa Kiongozi wa kudai Katiba mpya kwa vile naye ni DIKTETA mbaya sawa na Magufuli tu.

Ngoja waonyeshane makali, sisi yetu macho
 
Huu ukweli..walioengineer hii kesi...wamejipanga kutafuna Kodi za wananchi kwa kutumia galasa hili.lakn wakati huo wakifaidika na kupata ahueni ya kutokuepo ama kusnyaa kwa muashawasha wa katiba mpya. Wamejipanga wakitumia viapo vya Mungu mahakamani mchana kweupe huku wakijua Ni kesi Feki.Kiikweli ukitafakari Ushahidi na idadi ya mashahidi waliowalipa kusimamia udanganyifu huu ,utajua kuwa wamejipanga sana.
Hakuna cha ugaidi wala mdudu yeyote bali wao Neno Katiba ni Kinyume na Masilahi yao..
Wananchi wa Nchi hii amkeni...Watawala hawa wamejipanga muendelee kuwa watumw kwa misingi mibovu iliowekwa ili kufanikisha kundi na vizazi vyao kwa miaka na miaka waendelee kula keki ya Taifa.Amkeni usingizini kuondoa kundi linalonyima Hatima njema ya maisha ya watoto wetu na vizazi vyetu. Katiba bora ni kwa ajili ya vizazi vyote vya nchi hii ,kuunga mkono kundi lisilotaka katiba Bora ni kunyima vizazi vyetu fursa. Hima amkeni!!

Mkuu ni jitihada kubwa tunatumia kutotumia nguvu kuvamia pale ufipa na kuchukua hatamu za uongozi kukimalizia kiporo kilochobaki.

Hii ni katika kupisha kuonekana tunatumiwa au tunataka kuvuruga chama.

Tunaamini mwamba mwenyewe Aboubakar Mbowe ambaye tunamkubali sana, angetuelewa tu.

1. Mkakati wa kuhami wahanga, hamna.
2. Sera ya kumuwezesha anayetaka kushiriki kwenye madai ya katiba mpya kwa hali na mali, hamna.
3. Mkakati wa kuendeleza mapambano bila uwepo wa Mbowe au awaye yote, hamna.
4. Nk.

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Tuseme je? Au tufanye je? Ukweli wa mambo ni kuwa "our patience is running very thin."
 
Ukichamba sana lazima ushike kinyesi. Mbowe kashika kinyesi kwa kujifanya mjuwaji. Miaka 5 ya Mwendazake aliufyata kimya kama uchi wa mwanaume hanithi kwenye boxer, lakini alivyokuja Rais SSH alimu underate sana kwa kumuona mwanamke hana uwezo.

Tatizo ni ulemavu wa uongozi alionao Mbowe. Kule CHADEMA yeye ndiye Mwenyekiti na yeye ndiyo sauti ya mwisho kwa kuwa amekuwa Mwenyekiti toka 2003, miaka 18 sasa.

Kimsingi Mbowe hana haiba ya kuwa Kiongozi wa kudai Katiba mpya kwa vile naye ni DIKTETA mbaya sawa na Magufuli tu.

Ngoja waonyeshane makali, sisi yetu macho

Ninyi mamburumundu msioch*mba kabisa ili mbakie na vinyesi ila msivishike, ya Chadema yanawahusu nini?

Hiiiiii bagosha!

Tunajua kuwa ninyi kama Kaaya wala siyo ma CCM:

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Hivi yuko wapi Moses Lijenje?
 
Mkuu ni jitihada kubwa tunatumia kutotumia nguvu kuvamia pale ufipa na kuchukua hatamu za uongozi kukimalizia kiporo kilochobaki.

Hii ni katika kupisha kuonekana tunatumiwa au tunataka kuvuruga chama.

Tunaamini mwamba mwenyewe Aboubakar Mbowe ambaye tunamkubali sana, angetuelewa tu.

1. Mkakati wa kuhami wahanga, hamna.
2. Sera ya kumuwezesha anayetaka kushiriki kwenye madai ya katiba mpya kwa hali na mali, hamna.
3. Mkakati wa kuendeleza mapambano bila uwepo wa Mbowe au awaye yote, hamna.
4. Nk.

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Tuseme je? Au tufanye je? Ukweli wa mambo ni kuwa "our patience is running very thin."
Kutumia nguvu si mbinu mkakati ili Kutafuta hatima bora. Bali elimu thabiti yenye kuwafanya watu waamke kifkra na Hatimaye washiriki kukomboa nchi yao. Watu wakiwa wengi waliokombolewa kifkra hata hizi fikra za dola kutumika Kama Bashiru alivodai a yr ago hazitafua dafu...
 
CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Tutashinda tu, mdude si yupo banah[emoji23][emoji23]
 
Hata kama kesi haileweki,, haiwezi ishia njiani kama mtakavyo kuweni na subira hadi kesi ifike mwisho,,

Mkuu unasoma wapi tunapotaka sisi kuhusiana na hii kesi?

IMG_20211021_190628_385.jpg


Wazi wazi mada inahimiza:

"Aluta Continua!"

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ukichamba sana lazima ushike kinyesi. Mbowe kashika kinyesi kwa kujifanya mjuwaji. Miaka 5 ya Mwendazake aliufyata kimya kama uchi wa mwanaume hanithi kwenye boxer, lakini alivyokuja Rais SSH alimu underate sana kwa kumuona mwanamke hana uwezo.

Tatizo ni ulemavu wa uongozi alionao Mbowe. Kule CHADEMA yeye ndiye Mwenyekiti na yeye ndiyo sauti ya mwisho kwa kuwa amekuwa Mwenyekiti toka 2003, miaka 18 sasa.

Kimsingi Mbowe hana haiba ya kuwa Kiongozi wa kudai Katiba mpya kwa vile naye ni DIKTETA mbaya sawa na Magufuli tu.

Ngoja waonyeshane makali, sisi yetu macho
Mbowe alisema "Nikamateni mimi"
Kiufupi sikuelewa mbowe alioata wapi ujasiri wa ghafla baada ya JPM kwenda mbinguni[emoji847][emoji848],
Yaani richa ya account zake kuwa unfreezed, na kurudi nchini toka dubai, nilitarajia awe conciliatory towards establishment, hasa baada ya government kaonyesha good gesture towards wao,
Sijui hawakuelewa,, wao wakaanzisha movement na maneno mengi, ooh hatubembelezi kwenda ikulu, ooh tutawanyoa kwa wembe uleule,, ooh hapatataealika,,, [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nilicheka sana niliposikia kuwa maana ya masuala ya terrorism ni masuala ya utalii. Nazidi kucheka sana. Hawa wenzetu wana tatizo gani.
 
Nilicheka sana niliposikia kuwa maana ya masuala ya terrorism ni masuala ya utalii. Nazidi kucheka sana. Hawa wenzetu wana tatizo gani.
Tourism,, matamshi ya kibalata utafikiri ana kiazi mdomoni banah, [emoji23] [emoji44][emoji125][emoji125]
 
Kutumia nguvu si mbinu mkakati ili Kutafuta hatima bora. Bali elimu thabiti yenye kuwafanya watu waamke kifkra na Hatimaye washiriki kukomboa nchi yao. Watu wakiwa wengi waliokombolewa kifkra hata hizi fikra za dola kutumika Kama Bashiru alivodai a yr ago hazitafua dafu...

Mkuu tulipo sasa hivi kumepoa. Hiyo elimu unayosema ni kama haipo. Makongamano hayapo tena.

Tukumbuke:

1.Wanufaika wa Katiba Iliyopo hawahitaji elimu

2. Katiba Mpya: Elimu ni kwa Wasioelewa - Ushuhuda

Tuko wangapi tuliodhamiria katika chama? Hatuna watu 100,000 walio tayari? Wengine si tutakutana nao mbele kwa mbele?

Wanayo magereza ya kuweka watu 100,000 leo?

Kumbuka vita hivi ni kwa wateule wachache waliodhamiria. Hivi si vita vya kila mtu.
 
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini

Title ya uzi imekuvutia eeh? Kiasi nmeanza kuchungulia chungulia sasa?

IMG_20211016_132442_593.jpg


Tegemea moto zaidi karibuni wachawi nyie:

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Kwani Moses Lijenje hakuwa mtanzania mwenzetu? Kwanini kukosa ubinadamu kiasi hicho?
 
Jaji hana mamlaka ya kuifuta kesi muda wowote anapoona inapoteza tu muda wa mahakama?
 
Tourism,, matamshi ya kibalata utafikiri ana kiazi mdomoni banah, [emoji23] [emoji44][emoji125][emoji125]

Kwamba ni matamshi ya Kibatala ndiyo taabu? Ya Malya nayo je? Vipi kuhusu barua yenyewe?

IMG_20211029_201139_121.jpg


Mtamlaumu sana dobi, kaniki ni rangi yake 😁😁.
 
Back
Top Bottom