Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

Siyo siri kuwa vita vitakatifu vinaendelea pale mahakamani. Ni wazi kuwa ule upande mwingine bila kumwacha awaye yote:

View attachment 1992166

wote wako Chobingo, na wala si cha mtoto!

Tunapo tathmini yanayojiri tokea kuanza kwa marumbano yaliyopelekea kesi hii na yote tuyaonayo, hakuna asiyejua mzizi wa fitina ni yale madai ya katiba mpya.

Madai ya katiba mpya yaliyokuwa yakishika kasi chini ya kamanda Mbowe ndiyo yaliyo chimbuko la wazi la kesi hii na hukumu hizi za kubambikiziana.

Kwamba harakati hizo zimepoa na wametuweka busy kujadili kesi hii isiyokuwa na kichwa miguu, waliko wanaweza kuwa wanachekelea kwa ushindi. Watakuwa wanahesabu mafanikio.

CHADEMA, hawa watu tusiwabeze, inawezekana wamechoka kutumika na sasa wameamua kuboronga

Si Siyani, Kingai, Kaaya wala Corporal Abdallah aliyeweza kuonyesha uwepo wa hoja zozote zenye kumfanya yeyote mwenye akili zake kuweza kuamini kuwa pana kesi ya ugaidi hapa.

Kesi hii yaweza kuwa na malengo ya mbali ya kututoa kwenye reli na kutupotezea muda.

Vivyo hivyo kumtoa kamanda Mbowe kwenye reli, kumtesa na kumpotezea muda. Hayo ni kama ilivyo kwa washtakiwa wenziwe na bila kumsahau Moses Lijenje.

Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu

Kwa sababu hii, ni muhimu kujua ni faida zaidi kwao kuendelea na kesi hii na kwa muda mrefu kwa kadri inavyowezekana. Hii ikiwa bila kujali nini itakuwa hatima ya kesi yenyewe.

Upande wa pili hawana cha kupoteza kwenye kesi hii, hali sisi tuna vyote vya kupoteza ikiwamo muda na momentum.

Wanajua kwenye matokeo ya hii kesi (kama ni mechi ya mpira) basi tutawachapa 3 - 0. Ila kwa hatima ya kesi, kama faida mkononi watatuchapa 6 - 0.

Tunaweza kuifuatilia kesi hii hali mapambano ya kudai katiba mpya yakiendelea na hata kwa kuyaboresha zaidi.

Kama wanachama mbona tuko lukuki?

Wananchi huhitaji uongozi. Kwenye hili hatuwezi kuwa exception.
Kama wanachama mbona tuko lukuki? Swali zuri sana.
Na mm naongezea, kwanini ni yeye tu ndo afanye yote?
 
CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Leteni uchaguzi huru muone Moto wake [emoji1][emoji1]
 
Mtoa mada uko sahihi kabisa! Hii kesi ni matokeo ya kile kilichoitwa 'choko choko'

Hii kesi ni ya kupotezea tu watu muda! Maana haina uhalisia wowote. Hakuna cha ugaidi wala uhujumu uchumi.

Hatuwezi kuacha kufuatilia kinachojili mahakamani kama ambavyo hatuwezi kusitisha mapambano ya kudai katiba mpya.

Kwamba hata wanamshikilia kamanda Mbowe na washirika wetu, mapambano yanatakiwa kuongezwa zaidi.
 
Kama wanachama mbona tuko lukuki? Swali zuri sana.
Na mm naongezea, kwanini ni yeye tu ndo afanye yote?

Kwanini yeye inaweza kuwa sawia pia na kwa nini si yeye. Hata hivyo ninakazia:

Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya

Hapa chini ni comment #9 kwenye uzi huu ikiangazia unachoongelea:

IMG_20211030_192914_394.jpg


Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Nani anataka haki? Mbowe? Mbowe yuko kibiashara tu. Mwaka 2015 aliingiza Tsh 10 Bilion kwa kumuuzia nafasi ya urais Edward Lowassa na kimdhulumu Dr Slaa. Nyie akina brazaj mnaitikia CHORUS ya wimbo msioujua

Kwa hiyo tuseme Huihui2 kama alivyo Kaaya, Idugunde, Kamanda Asiyechoka na binamu zenu ndiyo tuwaone leo mmejawa na moyo wa huruma? Kwamba ghafla mnatuhurumia sisi 😁😁?

Sisi mbona tunawaona nyie ndiyo wachawi wenyewe?

Hivi mmemficha wapi Moses Lijenje?

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Utakuwa kada ipi wewe usiyetaka katiba mpya kama wewe siyo mmoja wa wachawi hawa tu?
 
Wale mashahidi upande wa manjagu wanavyojigonga gonga hadi aibu lakini maamuzi yote yanawabeba wao saa hizi sifatilii kama mwanzo nasoma vitu kama utalii,ugaidi na mengineyo...jumatatu sijui watakuja na ushahidi gani tucheke

Inajulikana hawana hoja bali kununua muda kwa kadri iwezekanavyo.

Hapa ndipo makamanda tunapaswa kupaona na kucheza kivyetu vyetu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
chadema wanapoteza muda. mwanasheria pekee anayejua kupambana na serikali alikuwa Tundu Lisu, kichwa cha udsm kile acha tu. sio mbaguzi wa vyuo lakini ukweli upo wazi. Kibatala ni mburura anayewaponza chadema kila wakati. hapa dsm kuna wanasheria wengi sana wa criminal bora mara mia ya huyo dogo, dogo sio mwanasheria, ni mwanasiasa ndio maana mara zote huwa anashindwa kesi. waulize sugu masonga na waliowakilishwa naye kesi kibao tu. nimeanza kumwamini kigogo anayewaambia wamefeli kwenye kuajiri wanasheria wakaajili wanaharakati na watu wanaotumia zaidi jazba badala ya hoja za kisheria. kibatala ni mtu mwenye jazba na huwa hatumiii akili za kisheria. simshambulii lakini huu ukweli kuna siku chadema mtakuja kuujua. kichwa cha mzumbe kile sio kama vya mzumbe wenzake vilivyo. sitaki kutaja wanasheria mahiri wa criminal hapa ambao chadema wangewatumia, lakini naamini Tundu Lisu anawajua anaweza kuwapigia simu kuwashauri. povu ruksa.
 
Siyo siri kuwa vita vitakatifu vinaendelea pale mahakamani. Ni wazi kuwa ule upande mwingine bila kumwacha awaye yote:

View attachment 1992166

wote wako Chobingo, na wala si cha mtoto!

Tunapo tathmini yanayojiri tokea kuanza kwa marumbano yaliyopelekea kesi hii na yote tuyaonayo, hakuna asiyejua mzizi wa fitina ni yale madai ya katiba mpya.

Madai ya katiba mpya yaliyokuwa yakishika kasi chini ya kamanda Mbowe ndiyo yaliyo chimbuko la wazi la kesi hii na hukumu hizi za kubambikiziana.

Kwamba harakati hizo zimepoa na wametuweka busy kujadili kesi hii isiyokuwa na kichwa miguu, waliko wanaweza kuwa wanachekelea kwa ushindi. Watakuwa wanahesabu mafanikio.

CHADEMA, hawa watu tusiwabeze, inawezekana wamechoka kutumika na sasa wameamua kuboronga

Si Siyani, Kingai, Kaaya wala Corporal Abdallah aliyeweza kuonyesha uwepo wa hoja zozote zenye kumfanya yeyote mwenye akili zake kuweza kuamini kuwa pana kesi ya ugaidi hapa.

Kesi hii yaweza kuwa na malengo ya mbali ya kututoa kwenye reli na kutupotezea muda.

Vivyo hivyo kumtoa kamanda Mbowe kwenye reli, kumtesa na kumpotezea muda. Hayo ni kama ilivyo kwa washtakiwa wenziwe na bila kumsahau Moses Lijenje.

Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu

Kwa sababu hii, ni muhimu kujua ni faida zaidi kwao kuendelea na kesi hii na kwa muda mrefu kwa kadri inavyowezekana. Hii ikiwa bila kujali nini itakuwa hatima ya kesi yenyewe.

Upande wa pili hawana cha kupoteza kwenye kesi hii, hali sisi tuna vyote vya kupoteza ikiwamo muda na momentum.

Wanajua kwenye matokeo ya hii kesi (kama ni mechi ya mpira) basi tutawachapa 3 - 0. Ila kwa hatima ya kesi, kama faida mkononi watatuchapa 6 - 0.

Tunaweza kuifuatilia kesi hii hali mapambano ya kudai katiba mpya yakiendelea na hata kwa kuyaboresha zaidi.

Kama wanachama mbona tuko lukuki?

Wananchi huhitaji uongozi. Kwenye hili hatuwezi kuwa exception.
Kesi hii iwe kichocheo kuipata katiba mpya watanzania 60m,iweje mzee wavilipuzi na wapuuzi wenzie watuzuie kupata katiba mpya, Kwa kesi Yao ya kipuuzi.
 
chadema wanapoteza muda. mwanasheria pekee anayejua kupambana na serikali alikuwa Tundu Lisu, kichwa cha udsm kile acha tu. sio mbaguzi wa vyuo lakini ukweli upo wazi. Kibatala ni mburura anayewaponza chadema kila wakati. hapa dsm kuna wanasheria wengi sana wa criminal bora mara mia ya huyo dogo, dogo sio mwanasheria, ni mwanasiasa ndio maana mara zote huwa anashindwa kesi. waulize sugu masonga na waliowakilishwa naye kesi kibao tu. nimeanza kumwamini kigogo anayewaambia wamefeli kwenye kuajiri wanasheria wakaajili wanaharakati na watu wanaotumia zaidi jazba badala ya hoja za kisheria. kibatala ni mtu mwenye jazba na huwa hatumiii akili za kisheria. simshambulii lakini huu ukweli kuna siku chadema mtakuja kuujua. kichwa cha mzumbe kile sio kama vya mzumbe wenzake vilivyo. sitaki kutaja wanasheria mahiri wa criminal hapa ambao chadema wangewatumia, lakini naamini Tundu Lisu anawajua anaweza kuwapigia simu kuwashauri. povu ruksa.

😁😁

IMG_20211030_201110_486.jpg
 
Maushungi kanuia kumfunga Mbowe kwa miaka 30 au maisha ili maccm wamuone mashujaa ila hajui anatengeneza chuki za kutisha nchini ambazo zinazidi kuisambaratishs nchi.


Atavuna anayopanda na malipo ni hapa hapa duniani.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
cha ajabu nini hapa? au jf nayo ni ya chadema kwamba tusiexpress different opinions?

Wewe ni wa kuishauri Chadema mjomba?

Shauri wenzio mmwachie Moses Lijenje kama una chembe ya utu.

Chadema achana nayo siyo size yako.
 
Kwa hiyo tuseme Huihui2 kama alivyo Kaaya, Idugunde, Kamanda Asiyechoka na binamu zenu ndiyo tuwaone leo mmejawa na moyo wa huruma? Kwamba ghafla mnatuhurumia sisi 😁😁?

Sisi mbona tunawaona nyie ndiyo wachawi wenyewe?

Hivi mmemficha wapi Moses Lijenje?

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Utakuwa kada ipi wewe usiyetaka katiba mpya kama wewe siyo mmoja wa wachawi hawa tu?
Kijana katafute pesa, hao kina Mbowe na Lissu ni wajasiriamali wa siasa tu. I swear utakuja kunishukuru
 
Kijana katafute pesa, hao kina Mbowe na Lissu ni wajasiriamali wa siasa tu. I swear utakuja kunishukuru
hili jambo nilikuwa silijui hadi nilipofumbuka macho. mmoja anajenga hotel yake karibu na Kisasa Dodoma nimeonyeshwa ninatamani na mimi niwe mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom