Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao

CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.

Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.

CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Umenena vizuri...
Nilishangaa sana kusikia kauli za KM JJ Mnyika juu ya kesi ya Mbowe!!
Kufoka foka kwenye media bila mipango madhubuti na endelevu ni kuwapa ccm ushindi mezani!
CDM watafute msaada wakiona wameshindwa!! Wasitegemee akili iliyotufikisha hapa tulipo itaingiwa na huruma kuweka mambo yao sawa!!
 
Kesi hii iwe kichocheo kuipata katiba mpya watanzania 60m,iweje mzee wavilipuzi na wapuuzi wenzie watuzuie kupata katiba mpya, Kwa kesi Yao ya kipuuzi.

Tunazo sababu zote za kuipambania katiba mpya.

Tunao uwezo wote wa kuipata katiba itakayo tupa sote haki, uhuru na usawa.

Hatuwezi kuwasabiria haki zetu majahili hawa.

Kwenye hili:

Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya

Katiba mpya ipo.
 
Kijana katafute pesa, hao kina Mbowe na Lissu ni wajasiriamali wa siasa tu. I swear utakuja kunishukuru

Damu ya Moses Lijenje inakulilia, mwachieni familia yake inamhitaji.

Malipo ni hapa hapa duniani.

Kahimize hilo utakuja kunishukuru.
 
Umenena vizuri...
Nilishangaa sana kusikia kauli za KM JJ Mnyika juu ya kesi ya Mbowe!!
Kufoka foka kwenye media bila mipango madhubuti na endelevu ni kuwapa ccm ushindi mezani!
CDM watafute msaada wakiona wameshindwa!! Wasitegemee akili iliyotufikisha hapa tulipo itaingiwa na huruma kuweka mambo yao sawa!!

😁😁

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Tunazo sababu zote za kuipambania katiba mpya.

Tunao uwezo wote wa kuipata katiba itakayo tupa sote haki, uhuru na usawa.

Hatuwezi kuwasabiria haki zetu majahili hawa.

Kwenye hili:

Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya

Katiba mpya ipo.
Tunataka Katiba nzuri, siyo Katiba mpya. Asasi za kijamii zitoe elimu kwanza juu ya umuhimu wa Katiba Nzuri. Na wananchi ndiyo tunapaswa tuidai siyo Freeman Mbowe
 
Nilicheka sana niliposikia kuwa maana ya masuala ya terrorism ni masuala ya utalii. Nazidi kucheka sana. Hawa wenzetu wana tatizo gani.
Enjoy yourself ...endelea kucheka
 
Tunataka Katiba nzuri, siyo Katiba mpya. Asasi za kijamii zitoe elimu kwanza juu ya umuhimu wa Katiba Nzuri. Na wananchi ndiyo tunapaswa tuidai siyo Freeman Mbowe
Huyo Freeman Mbowe nae anahamasiaha upatikanaji wa staili yake!
Hizi Asasi za kijamii nazo zinajitahidi!
Swali hapa: wewe hapo unafanya nini sasa??
 
Huwezi kumtesa kiumbe wa Mungu, upige watu,ubambikizie kesi, halaf Mungu akuache tu. Watalipa hapahapa duniani
 
Huyo Freeman Mbowe nae anahamasiaha upatikanaji wa staili yake!
Hizi Asasi za kijamii nazo zinajitahidi!
Swali hapa: wewe hapo unafanya nini sasa??

Kwamba anafanya nini? Kwa bandiko lake hapa chini:

IMG_20211031_065830_065.jpg


Ndugu mjumbe hana jipya sana sana atwambie aliko Moses Lijenje.
 
Mbowe alisema "Nikamateni mimi"
Kiufupi sikuelewa mbowe alioata wapi ujasiri wa ghafla baada ya JPM kwenda mbinguni[emoji847][emoji848],
Yaani richa ya account zake kuwa unfreezed, na kurudi nchini toka dubai, nilitarajia awe conciliatory towards establishment, hasa baada ya government kaonyesha good gesture towards wao,
Sijui hawakuelewa,, wao wakaanzisha movement na maneno mengi, ooh hatubembelezi kwenda ikulu, ooh tutawanyoa kwa wembe uleule,, ooh hapatataealika,,, [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Huyo Magu unayemuona no mwamba ni takataka tu inayoliwa na funza huko chini
 
Kesi ya kipuuzi isiyo kuwa na mashiko

Hii ni aibu kwa serikali ya ccm

Kujaribu kuzima fikra za watanzania na maoni yetu kuhusu Katiba mpya kupitia kesi hii ya kipuuzi

Sijawahi kuwa na uanachama wa chama chochote kwa nchi hii

Ila kwa hili la mbowe ccm wamefeli

Hakuna mlicho kifanya zaidi ni kupoteza mda

Madai yetu yapo pale pale hata bila ya mbowe

Mjiandae tunakuja kivingine
 
Kesi ya kipuuzi isiyo kuwa na mashiko

Hii ni aibu kwa serikali ya ccm

Kujaribu kuzima fikra za watanzania na maoni yetu kuhusu Katiba mpya kupitia kesi hii ya kipuuzi

Sijawahi kuwa na uanachama wa chama chochote kwa nchi hii

Ila kwa hili la mbowe ccm wamefeli

Hakuna mlicho kifanya zaidi ni kupoteza mda

Madai yetu yapo pale pale hata bila ya mbowe

Mjiandae tunakuja kivingine

Bila kuongeza harakati zaidi ni kuwapa ushindi mezani
 
Bila kuongeza harakati zaidi ni kuwapa ushindi mezan

Bila kuongeza harakati zaidi ni kuwapa ushindi mezani
Harakati zina anzia zilipo ishia

Sasa ni wakati wa kumtupa jongoo na mti wake serious

Baada ya mwl JK kufanikiwa kuupata uhuru wa bendera

Sasa ni zamu ya kuupata uhuru wa Katiba yetu mpya

Wazee wetu walipambana sana dhidi ya wababe wa kizungu sisi tunafeli wapi kuuimalizia kazi iliyoanzishwa na mababu zetu

Hakuna njia nyingine zaidi ya kuyapindua mawazo ya vibaraka Hawa wa wakoloni
 
Huyo Freeman Mbowe nae anahamasiaha upatikanaji wa staili yake!
Hizi Asasi za kijamii nazo zinajitahidi!
Swali hapa: wewe hapo unafanya nini sasa??
Mimi nataka pesa mfukoni niiishi maisha mema na wanangu period. Hata Mbowe yuko kazini tu wala hatafuti Katiba Mpya, yeye ndiyo njia yake ya kupatia fedha.

Wananchi wanatumiwa tu na wanasiasa. CCM haitaki Katiba Nzuri kwa kuwa inajuwa itatolewa madarakani. CHADEMA na wapinzani wengine wanataka Katiba Mpya ili waitoe CCM na watawale.
 
Harakati zina anzia zilipo ishia

Sasa ni wakati wa kumtupa jongoo na mti wake serious

Baada ya mwl JK kufanikiwa kuupata uhuru wa bendera

Sasa ni zamu ya kuupata uhuru wa Katiba yetu mpya

Wazee wetu walipambana sana dhidi ya wababe wa kizungu sisi tunafeli wapi kuuimalizia kazi iliyoanzishwa na mababu zetu

Hakuna njia nyingine zaidi ya kuyapindua mawazo ya vibaraka Hawa wa wakoloni

Wenzetu wote waliofanikiwa kujikomboa na wako vizuri ni wale tu

1. Walio kwishaviondoa vyama vilivyo achiwa madaraka na wakoloni.

Au:

2. Haziko chini ya utawala ulio ingia kupitia mtutu wa bunduki.
 
Back
Top Bottom