Kesi ya Mbowe na wanasheria wa Tigo na Airtel ikumbushe wenye mamlaka kutunza siri za wateja ni muhimu kujenga sekta imara ya benki na mawasiliano

Huna akili hata moja mkuu....sorry to say that
 
Kwan kweny mwenendo wa hii kesi wewe umesikia kwamba shahidi alipata hyo order ya mahakama kutoa hizo taarifa ? Kama angefuata taratibu za kisheria zinavyotaka wala hakuna shida mkuu tusifanye kazi kwa mashinikizo bali kwa sheria na miongozi yetu

kwa sababu mtuhumiwa ni mbowe au sababu ni kweli mteja ana haki ya kufichiwa taarifa zake na mtandao??
 
Hata kama mtuhumiwa angekuwa Sabaya.
Ni kweli hata kama ni raia au mtu yoyote hata kama siyo mbowe ila ukweli ni kwamba taratibu hazikufuatwa hapo hata tigo waruke vip ila wamezingua, privacy ya mtu awe mbowe mimi au wewe ni kubwa sana hivyo sheria na taratibu lazima tujue zinatakaje siyo kufanya kazi kwa maelekezo na mazoea
 
kuna ishu moja ili trend sana dunian hapo kati ya kigaidi, kuna gaidi mmoja wa mashariki ya kati huko alikamatwa na jeshi la marekani asa ushahidi ulikuwa kwenye iphone so ilibid iphone ifunguliwe ili ushaidi uonekane,. asa gaidi mwenyewe aligoma kufungua sim yake kwaiy jeshi la marekani liliomba kampuni ya apple wafungue passcode lkn mpka mwish apple waligoma kufungua kwa kuwa wenyewe wanatunza siri za wateja.. nafikir hapo utakuwa umelewa
 

hicho ni kitu cha kawaida sana , hakuna mtandao ambao haukusanyi taarifa zako lasivo internet isingekua na hela
 
Huna akili hata moja mkuu....sorry to say that

polisi wana haki zote kupata taarifa zako wakati wowote wanapozitaka bila maswali yoyote, na bila hata ya kuzifuata wana uwezo ya kujua chochote kinachohusiana na simu yako mpaka location wanajua, na ukipoteza simu ukitaka kuipata haraka we nenda polisi mitandao ya simu haiwezi kukurudishia simu kwa sababu hawajui iko wap
 

usiri gan wakati ni haki yao kupata taarifa zako mda wowote
 
Si rahis kiivyo mnavyofikiria kupata taarifa za mteja wa tigo ni mziki mnene hata polis wanajua hili uwepes wanaopta ni kutoka mindao mingine hata waliomba taarifa kwa kampun hizo hupata kwa haraka niwahi shudia hiyo
 
Hata hiyo kufanya Kila kitu mmoja imeshangaza sana bila hata jopo la management kuhakiki nini mfanyakazi mmoja anafanya yaani nimeajua ndo maana ukitumia mtu hela unashangaa msg za kijinga na utapeli zinaanza kutumwa kwenye simu maana yake Kuna watu wanaamka Asubuhi kuingia kazini kuchungulia line za watu.
 
Hii sheria ina udhaifu mkubwa sana, haipaswi kuwa ni police officer au law enforcement officer bali inapaswa kuwa ni mahakama.
 
Kesi ya Mbowe inayoendelea iliamshe bunge kama mhimili na chombo cha kutunga sheria, kuweka sheria madhubuti za upatikanji taarifa za wateja katika simu, mabenki, hospitali na huduma nyingine. Hii itasaidia sana pia kuvutuia uwekezaji kutoka nje.
Bunge la nani? Ndugai? CCM? mashetani watupu
 
Aisee. Kumbe tuna double staneard na Mihemko. Msumeno ukate kote kote. Privacy za mtu zinweza kuhitajika na vyombo vya usalama vya nchi
 
Sheria haiko hivyo haina macho eti kwa sabaya kwa kuwa ni jambazi sawa kwa mbowe kwa kuwa ni kipenzi chako ndio ukurupuke kutetea
 
Umepaniki. Relax.
 
Samahani mkuu niulize.
Hivi vyombo vya usalama vya nchi, TRA na Taasisi zingine kutaka kujua kuwa kuna uwezekano wa hujuma kuwepo na kutaka taarifa kwa ajili uchunguzi ni MATUMIZI MABAYA? Au kukosa weledi wa watendaji wa Taasisi ndio VIBAYA?

Pia maoni yangu tunahamisha goli, sasa tunajadili privacy ya Mbowe jambo ambalo ni Sawa lkn tunaacha kuziba kuwa kufanya miamala sio Kosa ana Haki ya kumtumia au kupokea pesa halali.
As if tuna cover kuwa kuna uhalifu kwa kutumia miamala.
 
Inapohitajika kufanya hivyo na hivyo vyombo ni muhimu sana kukawa na pande ya katikati ambayo itahakikisha haki na mahitaji ya wote yanazingatiwa na huo upande duniani kote katika nchi zilizoendelea na kustaarabika huwa ni Mahakama. Mahakama inapaswa kusimama katikati ya mteja, chombo cha dola na kampuni kuhakisha utaratibu na haki za mteja zinazingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…