Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Nimesikitika kuona comandoo anakamatwa kizembe na raia mkakamavu(polisi), nilitegemea wangekinukisha vya kutosha mpaka waje special task kutoka kikosi cha makomandoo
naunga mkono hoja,
amenisikitisha sana. sifa zote zile tunazosikia za makomando sikutegemea hili.
 
Kibatala ni balaa lingine, uzuri ni kwamba watetezi wapo imara ... Swali la kuongezea kwanini bastola aliyokamatwa nayo isipelekwe mahakamani itambulike ilikua ya nani kuna shida sana, pia wakali wa serikali kufanya objection kwa kibatala kuingizwa kwa mambo mapya amwpotoka maana mallya alivyomuingiza Goodluck hawakuhoji huku mbeleni kibatala anachimbua habikishi wakaona sasa ushahidi unakuja kujitisheleza safi sana hii battle nimeipenda
 
Haya maelezo ya shahidi ni ya maumivu sana Mungu tu ndiyo alizidi kumpa pumzi, kwa kweli kuna watu ni watesaji na dhuluma ya haki, ila Mungu mwisho wa hii kesi ataweka watu wazi na uchafu wao
Mkuu hivi komandoo anaweza kushikwa kijinga namna hii kweli
 
Huyu ni miongoni mwa Mabalozi ambao Mahudhurio yake kwenye Kesi ya UGAIDI wa laki 6 inayomkabili Mbowe na wenzake watatu haijawahi kutetereka , Ni huyo mwenye gauni zuri la bluu



Ndiye anayetajwa kunusuru Uhai wa Tundu Lissu kwa kumpatia Kinga ya Ubalozi na kumsindikiza hadi Airport na kuhakikisha anapanda ndege kurudi Belgium , baada ya Spana za Kampeni za Ulioitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 kuwachanganya akili watawala .

 
Kwani hujui nini kuhusu sistership ya Chadema na Chama cha CDU cha Ujerumani? Ni sawa na kutuletea habari kuwa ndugu yake Mbowe anakuja mahakamani kila siku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…