Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.

Watetezitv

Mbona nilikuepo mahakamani na awajasema hivyo , acha kuokoteza habari. Leo niliamkia sinza pale school of law nashangaa unapo- post uongo mtu mzima kama wewe.
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.

Watetezitv

picha imeungua kivipi kwa hao watu kusema ukweli, watu hufukuzwa kazi kwa sababu mbali mbali, watu wengi wanafahamia, kile tunasubiri ni ushahidi toka kwa dpp ya kuwa walitenda kile wanasitakiwa nacho PERIOD, mengine porojo tu
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
Akili zako kama za mama sululu
 
Hii kesi ni ngumu sana sio rahisi kama baadhi ya watu wanavyoichukulia maana upande wa washitakiwa pia wana Mashahidi ambao pia ni wafanyakazi wa JWTZ…

Embu ngoja tusubili hiyo j5 tuone mambo yatakuwaje…
 
Nani katengeneza hii movie?
Acha kucheza na dude linaitwa serikali
picha imeungua kivipi kwa hao watu kusema ukweli, watu hufukuzwa kazi kwa sababu mbali mbali, watu wengi wanafahamia, kile tunasubiri ni ushahidi toka kwa dpp ya kuwa walitenda kile wanasitakiwa nacho PERIOD, mengine porojo tu

rejea chanzo​

Watetezitv



Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.
May be an image of 6 people
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
Watetezi Tv ndio takataka gani Tena hiyo?
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
 
Back
Top Bottom