Clip inawaonesha washitakiwa mahakamani buheri wa afya na nyuso za bashasha:
Haiyumkiniki faulo zote ni dhahiri zaidi kwao kama watendwa. Yawezekana psychologically wako set wanajua nini watesi wao wamepanga.
Mashahidi Kingai, Anita, Mahita na sasa Jumanne wote wanaongelea ukamataji tu. Hakuna jipya zaidi ya kuwa kila mmoja ana sarakasi zake tofauti na za mwenzake.
Zaidi sana inaonekana ukamataji huu ilikuwa ni operation iliyo ratibiwa na Kingai kuwakamata ambao wangalikuja kuwa walinzi wa Mh. Mbowe.
Hii yumkini ndiyo sababu Kingai alikuwa na taarifa kamili kuwahusu washitakiwa walivyokuwa kwa wajihi wao, mavazi yao, saa ngapi na wapi pa kuwapata.
Mbaya zaidi haupo muunganiko wa kuonyesha Moses Lijenje alitoweka vipi kwani hakujawahi kutolewa tangazo lolote hadharani lenye kuitisha hata usaidizi wa raia wema kwenye juhudi za kumpata.
Wasiri wa bwana Kingai wanaendelea kuwa wasiri hata leo.
Makosa ya msingi kwenye kesi nzito hii yanapewa majina mapya - curable mistakes.
Kuhudhuria kesi imekuwa "in one's own risks":
Mara watu wakamatwe, wazuiwe kuingia mahakamani, wasukwe sukwe, wafungiwe ndani ya mahakama, wazuiwe kuingia na simu nk. Imekuwa ni vurugu mechi.
Sintofahamu yoyote ya msingi bila kujali facts, inaamuliwa in favor ya upande wa mashtaka.
Miito inayoitishwa kumtaka Mh. Mbowe kuwaondosha mawakili wake haiji kutokea kusiko kuwapo.
Kwa kweli mhimili huu uko majaribuni na kama hautaamka sasa na kuirekebisha hali hii kuna hatari ya kupoteza kuaminiwa kwake.
Ieleweke hayupo anayepinga kwa Mheshimiwa Mbowe kuadhibiwa kama ushahidi wa wazi na haki upo kuthibitisha hilo.
Vivyo hivyo ieleweke haikubaliki kumwadhibu Mh. Mbowe au washitakiwa wenziwe kwa ghiliba, hadaa au uonevu.
Haiyumkiniki faulo zote ni dhahiri zaidi kwao kama watendwa. Yawezekana psychologically wako set wanajua nini watesi wao wamepanga.
Mashahidi Kingai, Anita, Mahita na sasa Jumanne wote wanaongelea ukamataji tu. Hakuna jipya zaidi ya kuwa kila mmoja ana sarakasi zake tofauti na za mwenzake.
Zaidi sana inaonekana ukamataji huu ilikuwa ni operation iliyo ratibiwa na Kingai kuwakamata ambao wangalikuja kuwa walinzi wa Mh. Mbowe.
Hii yumkini ndiyo sababu Kingai alikuwa na taarifa kamili kuwahusu washitakiwa walivyokuwa kwa wajihi wao, mavazi yao, saa ngapi na wapi pa kuwapata.
Mbaya zaidi haupo muunganiko wa kuonyesha Moses Lijenje alitoweka vipi kwani hakujawahi kutolewa tangazo lolote hadharani lenye kuitisha hata usaidizi wa raia wema kwenye juhudi za kumpata.
Wasiri wa bwana Kingai wanaendelea kuwa wasiri hata leo.
Makosa ya msingi kwenye kesi nzito hii yanapewa majina mapya - curable mistakes.
Kuhudhuria kesi imekuwa "in one's own risks":
Mara watu wakamatwe, wazuiwe kuingia mahakamani, wasukwe sukwe, wafungiwe ndani ya mahakama, wazuiwe kuingia na simu nk. Imekuwa ni vurugu mechi.
Sintofahamu yoyote ya msingi bila kujali facts, inaamuliwa in favor ya upande wa mashtaka.
Miito inayoitishwa kumtaka Mh. Mbowe kuwaondosha mawakili wake haiji kutokea kusiko kuwapo.
Kwa kweli mhimili huu uko majaribuni na kama hautaamka sasa na kuirekebisha hali hii kuna hatari ya kupoteza kuaminiwa kwake.
Ieleweke hayupo anayepinga kwa Mheshimiwa Mbowe kuadhibiwa kama ushahidi wa wazi na haki upo kuthibitisha hilo.
Vivyo hivyo ieleweke haikubaliki kumwadhibu Mh. Mbowe au washitakiwa wenziwe kwa ghiliba, hadaa au uonevu.