Clip inawaonesha washitakiwa mahakamani buheri wa afya na nyuso za bashasha:
Your browser is not able to display this video.
Haiyumkiniki faulo zote ni dhahiri zaidi kwao kama watendwa. Yawezekana psychologically wako set wanajua nini watesi wao wamepanga.
Mashahidi Kingai, Anita, Mahita na sasa Jumanne wote wanaongelea ukamataji tu. Hakuna jipya zaidi ya kuwa kila mmoja ana sarakasi zake tofauti na za mwenzake.
Zaidi sana inaonekana ukamataji huu ilikuwa ni operation iliyo ratibiwa na Kingai kuwakamata ambao wangalikuja kuwa walinzi wa Mh. Mbowe.
Hii yumkini ndiyo sababu Kingai alikuwa na taarifa kamili kuwahusu washitakiwa walivyokuwa kwa wajihi wao, mavazi yao, saa ngapi na wapi pa kuwapata.
Mbaya zaidi haupo muunganiko wa kuonyesha Moses Lijenje alitoweka vipi kwani hakujawahi kutolewa tangazo lolote hadharani lenye kuitisha hata usaidizi wa raia wema kwenye juhudi za kumpata.
Wasiri wa bwana Kingai wanaendelea kuwa wasiri hata leo.
Makosa ya msingi kwenye kesi nzito hii yanapewa majina mapya - curable mistakes.
Kuhudhuria kesi imekuwa "in one's own risks":
Your browser is not able to display this video.
Mara watu wakamatwe, wazuiwe kuingia mahakamani, wasukwe sukwe, wafungiwe ndani ya mahakama, wazuiwe kuingia na simu nk. Imekuwa ni vurugu mechi.
Sintofahamu yoyote ya msingi bila kujali facts, inaamuliwa in favor ya upande wa mashtaka.
Andiko lako nimesoma mstari wa kwanza to nikaachana nalo. Huwezi kufanya tathmini ya kitu chochote kwa kubase upande mmoja. Hiyo siyo tathmni bali ni mtazamo wako.
Andiko lako nimesoma mstari wa kwanza to nikaachana nalo. Huwezi kufanya tathmini ya kitu chochote kwa kubase upande mmoja. Hiyo siyo tathmni bali ni mtazamo wako.
Andiko lako nimesoma mstari wa kwanza to nikaachana nalo. Huwezi kufanya tathmini ya kitu chochote kwa kubase upande mmoja. Hiyo siyo tathmni bali ni mtazamo wako.
Daah aisee, sema kwasababu sizingatiagi ID huwenda huyu ndo yule aliyekua ananiambia ile namba ni ya mbowe kwasababu imesajiliwa kwa majina yake
Ni mtu ambayr vitu vingi hajui, kwasababu kaisha jiaminisha kua kile kinacho-operate kwa mfumo rasmi mbao umeruhusiwa kwa umma ndio hivyo hivyo katika department zote
Daah aisee, sema kwasababu sizingatiagi ID huwenda huyu ndo yule aliyekua ananiambia ile namba ni ya mbowe kwasababu imesajiliwa kwa majina yake
Ni mtu ambayr vitu vingi hajui, kwasababu kaisha jiaminisha kua kile kinacho-operate kwa mfumo rasmi mbao umeruhusiwa kwa umma ndio hivyo hivyo katika department zote
Andiko lako nimesoma mstari wa kwanza to nikaachana nalo. Huwezi kufanya tathmini ya kitu chochote kwa kubase upande mmoja. Hiyo siyo tathmni bali ni mtazamo wako.
Siyo dhambi kabisa. But asiseme tathmini, huwezi kuongelea tathmini halafu ukaegemea upande mmoja, lazima uangalie factors zote. Labda mleta mada awe haelewi maana ya tathmini.
Nilichoandika ndicho nilichomaanisha. Hiyo nyingine ni tafsiri yako. Hakuna mtu anaeweza kushtakiwa kwa kesi nzito vile halafu akawa na uso wa bashasha mahakamani tusidanganyane, najua nia yako ni kuwatengeneza kisaikolojia nyumbu wenzio kwamba mwenyekiti wenu yupo salama.
Nilichoandika ndicho nilichomaanisha. Hiyo nyingine ni tafsiri yako. Hakuna mtu anaeweza kushtakiwa kwa kesi nzito vile halafu akawa na uso wa bashasha mahakamani tusidanganyane, najua nia yako ni kuwatengeneza kisaikolojia nyumbu wenzio kwamba mwenyekiti wenu yupo salama.
Nilichoandika ndicho nilichomaanisha. Hiyo nyingine ni tafsiri yako. Hakuna mtu anaeweza kushtakiwa kwa kesi nzito vile halafu akawa na uso wa bashasha mahakamani tusidanganyane, najua nia yako ni kuwatengeneza kisaikolojia nyumbu wenzio kwamba mwenyekiti wenu yupo salama.
Ulivyojibu tu, umejionesha wazi, uwezo wako unaishia wapi.
Mtu mjinga anachoweza kufanya ni kukejeli au kutukana maana hiyo hata vichaa na wendawazimu huweza kufanya. Lakini jambo pekee ambalo vichaa na wendawazimu wanashindwa, ni kujenga hoja.
Nilichoandika ndicho nilichomaanisha. Hiyo nyingine ni tafsiri yako. Hakuna mtu anaeweza kushtakiwa kwa kesi nzito vile halafu akawa na uso wa bashasha mahakamani tusidanganyane, najua nia yako ni kuwatengeneza kisaikolojia nyumbu wenzio kwamba mwenyekiti wenu yupo salama.