Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri

Ivi mkuu, we ni mwendawazimu au.. pumbav kabsa!!
 
Uko vizuri kamanda umefafanua kwa undani?
 
hayo mbona hamkuyasema wakati wa hukumu ya sabaya mlishangilia na sherehe juu hebu subirini nahuyo gaidiakaendelee kuhudumia manyapara huko yana kiu
God forbid! Unaanzaje kumlishanganisha lijambazi na Mbowe na vikesi vya kufikirika tu ETI njama za kupamba ugaidi.Mpumbavu pekeee anaweza kumhukumu Mbowe kwa hyo kesi
 
God forbid! Unaanzaje kumlishanganisha lijambazi na Mbowe na vikesi vya kufikirika tu ETI njama za kupamba ugaidi.Mpumbavu pekeee anaweza kumhukumu Mbowe kwa hyo kesi

Mmojawapo atakuwa ni yule aliyetema mzigo
 
Shahidi: Aliniambia (Freeman Mbowe) pole sana kwa kukuweka, yule mlinzi wake alinifungulia mlango wa gari na yeye mwenyekiti aliingia na nyuma aliingia aliyokuwa mbunge wa viti Maalum Joyce Mukya nikakaa katikati na upande wa nyuma wa Mbowe akakaa mlinzi wake.

Shahidi: Baada ya pale kutoka Kizo hotel gari ilielekea uelekeo wa Arusha mpaka Aishi Hotel Machame. Baada ya kushuka kwenye gari alimwambia yule mbunge (Joyce Mukya) atangulie ndani sisi tuna kikao kifupi.
 

Shahidi huyo ni huyu?

Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Huyo kasema SABAYA alikuwa na mke aitwa Jesca.

Vipi, ndiyo huyo "ile pisi" kali aliyekuwa kaitolea mahari?
 
Mnalo hilo wameshamkaanga mbowe alijifanyamjanja kuwalisha maneno waje watengeneze kesi ndogo ikashindikana huyo ni gaidi na jela inamsubiri wanamcheleweshatu
Ataenda jela mama yako akaliwe matako
 
wameshaona jinsi gani ukweli umejulikana mliwalisha maneno wakatengeneza kesi ndogo wameshitukiwana kibatala wenu wakili asiye na akili lakini anajifanya ana akili

Iboya ni boya, ni mtu wa kupuuzwa tu.
 
Hiyo namba 3 hapo juu, kiutaratibu kamanda wa polisi wa eneo husika hutakiwa kujulishwa kama kuna operation yoyote kwenye eneo lake ili akae tayari kutoa msaada kama ukihitajika.

Lakini ukiona watu wanatoka kimya kimya toka Dsm kwenda Moshi bila kutoa taarifa popote ujue hao wametumwa kwa maelekezo maalum na wanaenda kuwakamata raia wema na kuwabambikia kesi ili wasiharibu ushahidi kama askari wengi watahusishwa.
 
Kwani shida iko wapi?
Kuna watu wanakamatwa tz wanaenda kuhojiwa marekani sasa hapo mbona huwa hamuulizi?
 
Duuh
 
Kwani shida iko wapi?
Kuna watu wanakamatwa tz wanaenda kuhojiwa marekani sasa hapo mbona huwa hamuulizi?

Shida iko kwenye maelezo ya Kingai mwenyewe akidai:

1. Alikuja na Adamoo kutokea Moshi - Msata - Bagamoyo --> Central Polisi, akivipita vituo vyote vya polisi ikiwamo Mbweni na Oysterbay Kinondoni hadi Ilala.

Hatimaye akamhamishia tena Mbweni, yeye mwenyewe akidai kulikokuwa salama zaidi kuliko central.

Wakati huo huo:

2. Akidai Khalfan Bwire aliwekwa mahabusu Chang'ombe Temeke kwani kulikuwa karibu na sehemu alipokamatiwa.
-----

Yote maelezo ya Kingai hayo, wala huoni mnyembuko mnyembuko wowote?

Kwamba wewe yanakuingia akilini kwa sababu tu uliwahi kusikia duniani kuna sehemu moja kama Goba hivi inayoitwa Guantanamo bay?

Nyie si ndiyo ile michawi yetu?

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Hivi hata Moses Lijenje mlimpeleka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…