Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aibu kubwaView attachment 2030242
Wamejisahau kama ilivyokuwa siku za Nuhu. Watu wakinywa, kula, kuoa na kuolewa.
Wacha tuone. Ya Mungu hayajawahi kuwa machache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kubwaView attachment 2030242
Wamejisahau kama ilivyokuwa siku za Nuhu. Watu wakinywa, kula, kuoa na kuolewa.
Wacha tuone. Ya Mungu hayajawahi kuwa machache.
Ingia kwenye 18 za Polisi,utaelewa hiki ninachosema!
Mkuu kwenye familia yako yuko mtu kapotea?Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.
Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.
Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?
Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.
Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.
Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.
Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.
Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.
Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Swali la kijinga.Mkuu kwenye familia yako yuko mtu kapotea?
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.
Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.
Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?
Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.
Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.
Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.
Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.
Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.
Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
wingi wa makomando kuacha/ kuachishwa kazi unafikirishaKesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.
Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.
Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?
Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.
Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.
Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.
Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.
Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.
Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
kweliJeshi la nchi limelaaniwa!
Swali la kijinga.
Ni sawa na kusema kwa sababu kwenye familia yenu hakuna aliyefariki, basi kifo hakipo! JF siku hizi imekusanya hata watu ambao wana akili chini kiwango cha mtu mwenye akili ndogo.
.Mbona Kama ni Buti za Jeshi.
Hizi Buti ni za jeshi kabisa, inaonekana wanajeshi wengi walipotea kwa njia hii sasa ndio tunaanza kupata mwanga.Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.
Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.
Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?
Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.
Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.
Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.
Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.
Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.
Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
kweli
.Hizi Buti ni za jeshi kabisa, inaonekana wanajeshi wengi walipotea kwa njia hii sasa ndio tunaanza kupata mwanga.
MahitaGoodluck, Jumanne na Kingai & Co tumeshawashtakia kwa Mungu kama hamtotubu
Mahita
Na huyu mwenye macho ya kikatiliGoodluck, Jumanne na Kingai & Co tumeshawashtakia kwa Mungu kama hamtotubu
AmenView attachment 2030242
Wamejisahau kama ilivyokuwa siku za Nuhu. Watu wakinywa, kula, kuoa na kuolewa.
Wacha tuone. Ya Mungu hayajawahi kuwa machache.
Goodluck, Jumanne na Kingai & Co tumeshawashtakia kwa Mungu kama hamtotubu
Hao wachunguzwe Sept 7, 2017 walikuwa wapi!
Wakili mmoja kutoka upande wa utetezi amuulize Gud, J4, Kingay au Mahita kama hiyo tar walikuwa mji wa zabib kwa ajili ya mission yoyote...yupp mmoja atajichanganya tu!