Kesi ya Mbowe: Yatokanayo, yasipuuziwe

Kesi ya Mbowe: Yatokanayo, yasipuuziwe

Jehanam tuulayhiiiii ilishafanya kazi maana lile ziraili litoa roho za wenzie lilishasepa zake na kijiji. SEMA AMINA MUNGU NI mwema sana
 
Ingia kwenye 18 za Polisi,utaelewa hiki ninachosema!

Mkuu sasa nimekusoma. Bila kuweka wazi pale ni jeshi gani ..

IMG_20211202_102539_722.jpg

tungo yako ilikuwa ni tata mkuu.

Ndipo nami nikashangaa. Laana hiyo itolewe msikiti upi? Kwa Mahita, mji kasoro bahari 😁😁?
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Mkuu kwenye familia yako yuko mtu kapotea?
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
wingi wa makomando kuacha/ kuachishwa kazi unafikirisha
 
Swali la kijinga.

Ni sawa na kusema kwa sababu kwenye familia yenu hakuna aliyefariki, basi kifo hakipo! JF siku hizi imekusanya hata watu ambao wana akili chini kiwango cha mtu mwenye akili ndogo.

Msajiliwa mkongwe huyo 😁😁:

IMG_20211204_103957_277.jpg
 
Kesi ya Mbowe ingali ikirindima. Hata hivyo tayari kuna ambayo hatukuyajua ambayo leo tunayajua zaidi.

Kumbe pana Makomando wengi wanaweza kuwa walipotea baina 2015 - 2021.

Nani ajuaye huenda wanaendelea kupotea leo?

Hawa ni watanzania, wananchi na binadamu wenzetu wenye haki zao za msingi wanazostahili, zikiwamo kuishi.

Pana haja ya kufanya sensa ya kujua waliko makomando hawa hasa kwa waliokuwa demobilized. Kujua wako wapi, wanafanya nini na hata kujihusisha katika ustawi wa maisha yao.

Ni muhimu kulinganisha idadi ya waliopotea na waliookotwa kwenye viroba. Hii inaweza kusaidia kutanzua kitendawili kigumu cha utambuzi wa watu wale ambao hawakuweza kutambulika.


Ni vyema zoezi hili likafanyika sasa kwani panga pangua siku moja zoezi hili litafanyika.

Zoezi hili ni muhimu likaambatana na fidia stahiki kwa wahanga (zikiwamo adhabu) ikigundulika watumishi wa umma walihusika kwenye kadhia hii.

Mshiriki katika kufichua maovu ni mshirika katika haki.

Mshiriki katika kuficha maovu ni mshirika katika uovu.
Hizi Buti ni za jeshi kabisa, inaonekana wanajeshi wengi walipotea kwa njia hii sasa ndio tunaanza kupata mwanga.
 
Goodluck, Jumanne na Kingai & Co tumeshawashtakia kwa Mungu kama hamtotubu

Hao wachunguzwe Sept 7, 2017 walikuwa wapi!
Wakili mmoja kutoka upande wa utetezi amuulize Gud, J4, Kingay au Mahita kama hiyo tar walikuwa mji wa zabib kwa ajili ya mission yoyote...yupp mmoja atajichanganya tu!
 
Hao wachunguzwe Sept 7, 2017 walikuwa wapi!
Wakili mmoja kutoka upande wa utetezi amuulize Gud, J4, Kingay au Mahita kama hiyo tar walikuwa mji wa zabib kwa ajili ya mission yoyote...yupp mmoja atajichanganya tu!

Bila kuwasahau wale wakuu wa mikoa na wilaya walioonekana wakilia machozi ya damu Chatto
 
Back
Top Bottom