Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Haya ni maneno yanayosemwa na mwana CCM, kwamba wao wakifanya kosa, watashughulikiwa tofauti na CHADEMA, hata ikiwa polisi ataonywa tu asirudie basi, ila kwa wengine kama CHADEMA ni tofauti, lazima ahenyeshwe sawa sawa!
Na hili ni kweli kabisa, si tunaona yanayotokea? Mwenyekiti UVCCM Kagera alifanywa nini baada ya kusema wakiwapoteza watu polisi wasiingilie? Si alionywa tu, kwamba huyu ni kijana, ulimi unateleza bla...blaaa....blaaa... angekuwa CHADEMA au mwananchi anakosoa serikali angeonywa hivyo tu kiupole na kuachwa salama?
Kama hukumbuki uzi huo soma hapa upate hasira kidogo: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Na hiki ndicho Nchimbi alichojibu: Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali
Ila nini kinatokea kwa watu wanaokosoa serikali, kwa wananchi wa kawaida na upinzani:
- Serikali, kutoa taarifa kutetea wanyonge ni kosa Kisheria? Malisa kafanya kosa gani kupaza sauti ili walimu walipwe stahiki zao?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Huu ni uonevu wa waziwazi kabisa, kwahiyo usipokuwa CCM wewe mhalifu moja kwa moja? Ndio tumefikia huku?
Narudisha mpira kwenu Wakuu.
#KataaMachawa
#KataaUozo2025
#KataaWasiyojulikana2025
===
"…lakini utaitamani tu pindi ukipata tatizo kwasababu kesi ya mwana CCM na kesi ya mwana CHADEMA hata iwe polisi au kwa mwenye kiti wa Kijiji ni vitu viwili tofauti. Huyu anaweza akaambiwa tu bwana hebu pisha usirudie moja mbili tatu akini tunakujua wewe ni wa hivi tutahangaika na wewe, si ndiyo maana yake? Uongo kweli?"
Na hili ni kweli kabisa, si tunaona yanayotokea? Mwenyekiti UVCCM Kagera alifanywa nini baada ya kusema wakiwapoteza watu polisi wasiingilie? Si alionywa tu, kwamba huyu ni kijana, ulimi unateleza bla...blaaa....blaaa... angekuwa CHADEMA au mwananchi anakosoa serikali angeonywa hivyo tu kiupole na kuachwa salama?
Kama hukumbuki uzi huo soma hapa upate hasira kidogo: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Na hiki ndicho Nchimbi alichojibu: Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali
Ila nini kinatokea kwa watu wanaokosoa serikali, kwa wananchi wa kawaida na upinzani:
- Serikali, kutoa taarifa kutetea wanyonge ni kosa Kisheria? Malisa kafanya kosa gani kupaza sauti ili walimu walipwe stahiki zao?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Huu ni uonevu wa waziwazi kabisa, kwahiyo usipokuwa CCM wewe mhalifu moja kwa moja? Ndio tumefikia huku?
Narudisha mpira kwenu Wakuu.
#KataaMachawa
#KataaUozo2025
#KataaWasiyojulikana2025
===
"…lakini utaitamani tu pindi ukipata tatizo kwasababu kesi ya mwana CCM na kesi ya mwana CHADEMA hata iwe polisi au kwa mwenye kiti wa Kijiji ni vitu viwili tofauti. Huyu anaweza akaambiwa tu bwana hebu pisha usirudie moja mbili tatu akini tunakujua wewe ni wa hivi tutahangaika na wewe, si ndiyo maana yake? Uongo kweli?"