Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Huyo mlima mboga wa mto Ruvu ni mhangaikaji mzuri tu, hauwezi mlinganisha na mwizi wa mafuta bhana!Ukishangaa ya Mafuta Kigamboni utayakuta ya mchina wa mto Ruvu !! hii ndiyo CCM bana !!
Polisi walilazimishwa tu kufika kwenye tukio, walikuwa hawapendi hata kuonesha pua zao hapo. Master mind wa operesheni alikuwa na DC.Tumjue aliyewakamata (ambaye bila shaka atakuwa Jeshi la Polisi), halafu atuambie wale wezi wetu wako wapi?
Mdogo wangu ndege JOHN kuna maji yametulia lakini kina chake ni kirefu haifai kuyavagaaaNaombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji6]! Nimecheka sana kama mazuri!Kuna kesi moja nilimshimtaki Mjenzi kwenye Mahakama ya mwanzo, Mjenzi akaitwa Mahakamani,kufika tu Mahakamani kumbe Hakimu alikua na shida ya kokoto Kama Lori tano hivi, Basi hapo hapo kesi yangu ikasahaulika watu wakaanza kuongea biashara ya kokoto! Nikapigwa tarehe mpaka Leo napigwa danadana! Maisha haya kiboko!!
Rushwa kubwa hiyo na huenda ikazidi na thamani ya gharama ulizokuwa unamdai!Kuna kesi moja nilimshimtaki Mjenzi kwenye Mahakama ya mwanzo, Mjenzi akaitwa Mahakamani,kufika tu Mahakamani kumbe Hakimu alikua na shida ya kokoto Kama Lori tano hivi, Basi hapo hapo kesi yangu ikasahaulika watu wakaanza kuongea biashara ya kokoto! Nikapigwa tarehe mpaka Leo napigwa danadana! Maisha haya kiboko!!
Mkuu wanakataa kuita hivyo, rekebisha kauli. Sema: "yule mtuhumiwa wa..." na siyo "yule mwizi"Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Kuna mtu alie karibu na mtuhumiwa wa wizi huo, alinambia kesi ilishahukumiwa kulipa sh milioni 100 au kifungo miaka 2. Alikupa faini!Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Labda hakuyaona magari ya kubeba mafuta ya rangi ya blue wakati wa tukio lile.Viongozi Ndiyo Wezi Wenyewe Mpaka Sasa Hivi Kimya
Jiongeze Kidogo Hiyo Ni Michezo Yao Kila Siku
Katika maisha yako usifikie kujua 10%ya siri za serikali, utaasi. Siri za serikali ni madhambi yanayofanywa na wakubwa.Yaani hio kesi Ni sawa na Ile ya kusikia mkuu aliokota vichwa vya treni bandarini.Mwishowe zinaishiaga juu kwa juu.
Aisee!!! Hii ndiyo Bongo Land.Polisi walilazimishwa tu kufika kwenye tukio, walikuwa hawapendi hata kuonesha pua zao hapo. Master mind wa operesheni alikuwa na DC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuliko bwana yuleeeKipindi hiki cha awamu ya 6 kila mtu ajinyamazie tu na kuangalia hadi 2025 .
Kwa kufuatilia sasa kile kitabu cha mwaka 1977 kimeipeleka ccm kusiko.
Maza na Dr Mwinyi ni ndugu sasa. Nchi inaendeshwa na kaka na dada.
Mengi tutayasikia.
Hata Mimi nilibaki kumuangalia Muheshimiwa Hakimu na Kucheka tu! Yaani nilipigwa na butwa badala nilie nikaanza kutabasamu tu!!
Ahaaaaa mbuzi kafia kwa muuza supuKuna kesi moja nilimshimtaki Mjenzi kwenye Mahakama ya mwanzo, Mjenzi akaitwa Mahakamani,kufika tu Mahakamani kumbe Hakimu alikua na shida ya kokoto Kama Lori tano hivi, Basi hapo hapo kesi yangu ikasahaulika watu wakaanza kuongea biashara ya kokoto! Nikapigwa tarehe mpaka Leo napigwa danadana! Maisha haya kiboko!!
Walimwibia nani?Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.