Kesi ya Seth na Rugemalira: Serikali haitendi haki

Mtu anatengeneza makampuni zaidi ya matatu ili akwapue fedha za masikini kina mama ntilie wanaochangishwa na serikali yao ,

Huu ubinafsi wa kiwango hiki haujapata onekana,

Na bado wanaachiwa huru.

Hao mafisadi wanaokwiba majasho ya watanzania masikini watayalipa tu,

Kama sio wao, ni vizazi vyao na watadaiwa hata mbinguni.

Nawashitakia mafisadi yote Kwa Mungu mkuu.
 
Watu wanaonewa sana na hii Serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…