Kesi ya sheikh ilunga eti ushahidi haujakamilika

Kile ni kichwa hakina mfano kijana, hana papara na mambo anajitambua na mpenda hakibila kusahau amani.

sasa kwanini wenzie wamempindua msikitini kwake?
 
Kile ni kichwa hakina mfano kijana, hana papara na mambo anajitambua na mpenda hakibila kusahau amani.

Kusema ukweli ndio uchochezi? Mwache aongee ana uhuru

Wewe ndie kilaza usiye na hoja bali umejawa na chuki kubwa juu ya uislam!

Kusema
1.YESU SI MUNGU
2.MUNGU HANA MTOTO
3.MAPADRI WABAKAJI

Huo ni uchochozi? kama ni uchochozi nachochea nini?

Mkuu hakuna mwenye tatizo na Ilunga kusema Yesu sio Mungu
Wala hakuna mwenye tatizo kusema Mungu hana mtoto
Wala hakuna anayesema Mapadri huwa hawabaki................hili sio tatizo linaloitwa uchochezi

Sikiliza link hii hapa chini uniambie ni wapi Ilunga kasema hayo unayosema hadi kuitwa mchochezi?
Haya aliyosema kwenye link hii ndio yanamfanya kuwa mchochezi
Ustadh Ilunga Hassan - Mauaji ya shahid Aboud Rogo na Unafiki katika sensa Part 2 - YouTube
 
Wachochezi ni viongozi wa cdm walosema nchi haitotawalika baada ya kushindwa kihalali ktk uchaguzi mkuu. Shehe ilunga hana hatia.
 
sasa kwanini wenzie wamempindua msikitini kwake?

Hata JK pale alipo, tambua pana maadhi ya Mwawaziri japo kawateua yeye lakini bado wana UNAFIKI ndani yao,

Na hiyo isikuchanganye sana, kwani hata viongozi wengi katika imani mara nyingi wamesalitiwa na watu wao,

Mfano:
Paulo/Petro na wenziwe kwa bwana Yesu,
Hizo hatuiti changamoto bali ni UNAFIKI na USALITI.
 
Si kesi rahisi kama wanavyofikiria.

Kwa vile Quran ilitumika basi wakili wake au yeye mwenyewe anaweza kuifanya ionekane kuwa ni Quran ndiyo inayosimamishwa mahakamani, kitu ambacho kitawaingiza Waislamu wote.
 
Nimepitia leo cd ya ilunga inayolingana na mashtaka aliyosomewa. Kwa mtazamo wangu vitabu kama cha dr sivalon cha vitakuwa kama ni ushahidi. Mashitaka yake ni haya. shitaka la kwanza lilipatikana katika mkanda wa video (CD), akidaiwa kutamka ya kwamba ,”Serikali ilichota mabilioni ya fedha kuyapa Makanisa”. Huu sidhani kama uchochezi bali kuna memorundum btn serikali na kanisa ambapo asilimia 30% ya budget inaenda kwa kanisa. Kabla ya uhuru 60% ya pato la taifa lilikwenda kwa Kabisa. Kinyume chake 60% ya Jodi inatoka kwa waislam. Utafiti wa NBC bank ikitokea matajiri 10 kuamua kuihama bank yao Bali bank Iyo itayumba. 8 Kati ya Haloo ni waislam tena ni walipa kodi wazuri ambapo 30% ya kodi zao zinaenda kwa kanisa

ilielezwa kuwa kauli hiyo ni ya uchochezi ambayo inaweza kuhatarisha amani. Katika shitaka la pili, anayodaiwa kutamka kwamba “Nyerere aliwahujumu Waislamu na hata kuwaua ili Ukristo uchuke nafas”. Kusuhu kuua sina ujuzi halo lkn juhudi za makusudi wa kuwadidimiza waislam alizifanya. Mfano kutaifisha nyumba. Itakumbukwa kuwa toka karikakoo. Fire. Upanda. Lumumba hadi posta. Iyo iliyokuwa kama dar es salaam. Nyenyere kazitaifisha. Shule na vyuo zilizotaishwa waislam hawajarudishiwa hadi leo upande wa pili zimerudishwa. Toka jamhuri. Kisutu. Tambaza. Kleruu. Mkonge.alidhoiofisha pia juhudi za kujenga chuo Kikuu cha kwanza Tanzania pale chang'ombe. Ushahidi wa juhudi zake upo. Ushahidi kuwa waislam walifelishwa upo kwani baada ya wahitimu kuanza kutumia namba idadi ya kufaulu ilipaa na kufika 80%. Ushahidi mwingine upo katika ripoti ya kamati ya bunge kuwa kulikuwa na kamati ya kutunuku ambayo imeomyesha ina upendeleo wa kidini.
Na katika shitaka la tatu , imeelezwa kuwa moja katika matamshi ya Sheikh Ilunga, anadaiwa kutamka kwamba “Akiuawa Sheikh,basi akamatwe Padri nae auawe”. Kwahili naamini hapo qur an ndiyo italayoshitakiwa kwani Teheran alikuwa anatafsiri aya ikimaanisha Jino kwa jino. Shekhe kwa askofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…