Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,181 Reaction score 6,813 Jul 14, 2020 #21 Sialishasema anakuja th.28 mwezi huu jamaniiii haraka ya nini wasubili wamkamate tu!
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Jul 14, 2020 #22 Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki
Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki
B Boaziwaya JF-Expert Member Joined Oct 21, 2019 Posts 751 Reaction score 564 Jul 14, 2020 #23 Babati said: Sawa dingi Click to expand... sawasawa totoz
ostrichegg JF-Expert Member Joined Jun 30, 2013 Posts 12,050 Reaction score 6,199 Jul 14, 2020 #24 Viol said: Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki Click to expand... Wameshachokwa watakuwa wametusaidia kulianzisha
Viol said: Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki Click to expand... Wameshachokwa watakuwa wametusaidia kulianzisha
Babu Kingo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 431 Reaction score 164 Jul 14, 2020 #25 Kamanda said: Wadhamini hao ni Ibrahim Ahmed na Robart Katula, ambapo walifikia hatua hiyo, baada ya kukosa ushirikiano kutoka kwa Lissu kwa kushindwa kufika mahakamani kama mshitakiwa. Click to expand... Hahaha mmemdhamini yule jamaa!!? Huo ni mtihani kwenu. poleni sana
Kamanda said: Wadhamini hao ni Ibrahim Ahmed na Robart Katula, ambapo walifikia hatua hiyo, baada ya kukosa ushirikiano kutoka kwa Lissu kwa kushindwa kufika mahakamani kama mshitakiwa. Click to expand... Hahaha mmemdhamini yule jamaa!!? Huo ni mtihani kwenu. poleni sana
iNine9 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 4,412 Reaction score 8,198 Jul 14, 2020 #26 Viol said: Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki Click to expand... πππππ Eti chama cha mbogamboga daah!
Viol said: Nachojuuliza usalama wa Lissu wakati wa kampeni uko imara kiasi gani,maana chama cha mbogamboga hawaaminiki Click to expand... πππππ Eti chama cha mbogamboga daah!