Kesi ya Uamsho: Sheikh Farid na wenzake wadai kuteswa mahabusu

Kesi ya Uamsho: Sheikh Farid na wenzake wadai kuteswa mahabusu

Kutokana na kuwa na historia ya kujiteka na ,kujipa ultimatum ya kuachiwa,na kujiachia huru,mahakama/mahabusu wameona pia anaweza kujipa sumu kwa kushirikiana uamsho wenzake halafu itangazwe serikali imemdhuru au kumuua no biriani from home!
 
hao waendelee kuishi hukohuko jela ndio yawe makazi yao ya kudumu..
 
Kesi inayowakabili viongozi wa Uamsho imeendelea leo katika mahakama ya Vuga huku Zanzibar ambapo imeelezwa mahakamani hapo kuwa upelelezi bado unaendelea. Kesi imeahirishwa hadi Rat 29 mwezi huu,

Mahakamani hapo Shelkh Farid amepata wasaa mfupi wa kutoa neno kwa watu na kuwahoji kama wanautaka muungano au lah ambapo watu walijibu kwa nguvu kuwa hawautaki. Pia akawataka waandishi wa habari wafike kwenye vyuo vya mafunzo (jela) wakajionee namna wafungwa wanafoteseka wakiwao wao.

Wamedai kuwa uongozi wa jela unawanyima ndugu zao haki ya kuwapelekea huduma kama maji ya kunywa na vyakula ambavyo huwa inaruhusiwa, lakini kwao wamepigwa marufuku kupelekewa huduma hizo.

Mkuu Mwana Mpotevu, hii imekaaje kisheria kama mtu amekatwa kwa kosa la uchochezi; na bado anafanya uchochezi katika viwanja vya mahakama, si anaendelea kutenda kosa. Aidha, hii inaonyesha kuwa huko Chuo cha mafunzo (jela) hawateswi, wangekuwa wanateswa asingepata nguvu za kuendelea kuwahoji wafuasi wake kuhusu hatma ya Muungano. Yaani mtu aliyeonja mateso ya huko, akikuona tu analia machozi !!!!
 
Last edited by a moderator:
hawautaki muungano mbona hawamuungi mkono kiongozi aliyethubutu kuwasemea dodoma. Znz ni kizungumkuuti ni wanafiki sana wazanzibari
 
Mkuu Mwana Mpotevu, hii imekaaje kisheria kama mtu amekatwa kwa kosa la uchochezi; na bado anafanya uchochezi katika viwanja vya mahakama, si anaendelea kutenda kosa. Aidha, hii inaonyesha kuwa huko Chuo cha mafunzo (jela) hawateswi, wangekuwa wanateswa asingepata nguvu za kuendelea kuwahoji wafuasi wake kuhusu hatma ya Muungano. Yaani mtu aliyeonja mateso ya huko, akikuona tu analia machozi !!!!

Mhuu hawa watu wanajifanya wanaonewa lakini kiukweli wana kiburi sana. Ila serikali na hata vyombo vya usalama vinawaogopa, sijui kwanini
 
Sifurahi mwanadamu mwenzangu kuteswa kwa namna yoyote sio kitu kizuri

Hujafa hujaumbika
 
Back
Top Bottom