cutebulbul4
Member
- Sep 9, 2014
- 45
- 1
habari zenu kuna mtoto wa jirani mwenye umri wa miaka mitano amebakwa na mtoto mwenzake wa miaka 10 , swali langu ni sheria inasemaje kuhusu ubakaji uliofanywa na mtoto ? nini hukumu yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.