Wakuu habari zenu?? Tafadhili kwa maenyeuelewa wa masuala ya sheria naomba mwongozo hivi kesi ubakaji na ulawiti je inadhamana..?
Mfano mtuhumiwa amekamatwa kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti mtoto wa miaka saba... wakati bado hajapelekwa mahakamani je anawesa kupata dhamana???
Mfano mtuhumiwa amekamatwa kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti mtoto wa miaka saba... wakati bado hajapelekwa mahakamani je anawesa kupata dhamana???