Vipi kuhusu hukumu ya yule kijana Josef mlundi aliyeenda kwa mchana. Gwajima, yaani kijana wa Kova, Vipi hukumu ya wale magaidi wa msikitini Kilombero, Vipi wale magaidi wa sitakishali, Vipi wale magaidi wa Ushirombo walioteka kituo cha polisi wilaya waliouwa asikari polisi na kuchukua silaha, Vipi yule gaidi Rwakatale Wilifred kwa sasa ni mbunge wa Bukoba mjini, Vipi yule gaidi wa Igunga Henry kireo, Vipi kesi ya kupigwa na kuvuliwa hijabu mkuu wa Wilaya ya Igunga mama kimario, hukumu zao zimesha fanyika? Tahadhali kesi ikishafika mahakamani, hapaswi kujadiliwa mahakamani. Mweeeeeeeeeeeeereeeeereeeh!ni kweri hii kesi imenishangaza sana ilivyoenda faster lkn lbda imechangia kwa watuhumiwa kukili makosa yao bila pulukushani ila hukumu ya mauaji bado haijatolewa 7bu mahakama ile haina uwezo wa kusikiliza kesi za maujaji
Vipi kuhusu hukumu ya yule kijana Josef mlundi aliyeenda kwa mchana. Gwajima, yaani kijana wa Kova, Vipi hukumu ya wale magaidi wa msikitini Kilombero, Vipi wale magaidi wa sitakishali, Vipi wale magaidi wa Ushirombo walioteka kituo cha polisi wilaya waliouwa asikari polisi na kuchukua silaha, Vipi yule gaidi Rwakatale Wilifred kwa sasa ni mbunge wa Bukoba mjini, Vipi yule gaidi wa Igunga Henry kireo, Vipi kesi ya kupigwa na kuvuliwa hijabu mkuu wa Wilaya ya Igunga mama kimario, hukumu zao zimesha fanyika? Tahadhali kesi ikishafika mahakamani, hapaswi kujadiliwa BUNGENI Mweeeeeeeeeeeeereeeeereeeh!
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.
Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.
Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
jibu hilo hapo juu linakuhusuni kweri hii kesi imenishangaza sana ilivyoenda faster lkn lbda imechangia kwa watuhumiwa kukili makosa yao bila pulukushani ila hukumu ya mauaji bado haijatolewa 7bu mahakama ile haina uwezo wa kusikiliza kesi za maujaji
Kabla ya hiyo kesi ya mauaji iliyo kuwa ina shika rekodi ni ya Peter Rupia mtoto wa Balozi Rupia aliye kuwa katibu mkuu ofisi ya Rais ili kuwa ya aina yake toka mwanzo hadi mwisho ilichezwa vilivyo na akatemwa.Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.
Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.
Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.
Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.
Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.
Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.
Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
pumba sana wewe ndo mjinga sasa pamoja na kueleza maelezo mazuri ila ni mjinga sababu wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjingajibu hilo hapo juu linakuhusu
acheni ujinga
Wale wamehukumiwa kwa makosa ya ujangili na kupatikana silaha kinyume cha sheria. Walikutwa na pembe za ndovu na walipofikishwa mahakamani, walikiri kuua tembo, mulatikana na nyara za serikali na kukodi bunduki kwa wamiliki halali kwa ajili ya ujangili.Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.
Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.
Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
Mkuuu ukisoma btn lines, amechukua majibu yako kumjibu mleta uzi, hivyo kwa kutumia jibu lako ndo amemuita mleta mada mjinga na kumtaka asome majibu uliyompa. Hajasema wewe ndo mjinga mzee in ngosha voicepumba sana wewe ndo mjinga sasa pamoja na kueleza maelezo mazuri ila ni mjinga sababu wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjinga
KUULIZA SI UJINGA BALI KUTAKA KUJUA !!
mtoa mada kauliza anataka kujua
na mimi uwa sikurupuki kuandika vitu nisivyovielewa siku nyingine tumia busara acha kuita wezako wajinga wakati wewe ndo mjinga mkuu
ooooh mr ntamaholo shukrani kwa kunielewesha unajua ni usiku wa manane huu nimekurupuka usingizini na kuandika hovyoMkuuu ukisoma btn lines, amechukua majibu yako kumjibu mleta uzi, hivyo kwa kutumia jibu lako ndo amemuita mleta mada mjinga na kumtaka asome majibu uliyompa. Hajasema wewe ndo mjinga mzee in ngosha voice
Jitambulishe Mgambia, inatosha. Jifunze tu kusalimia " nangadef" na unajibu " manfirek". Tuachie Tanzania yetu, chapandem!Napata tabu sana kujitambulisha u Tanzania
Uungwana ni vitendo mkuu. Aksanteooooh mr ntamaholo shukrani kwa kunielewesha unajua ni usiku wa manane huu nimekurupuka usingizini na kuandika hovyo
mkuu waberoya KUMRADHI nilielewa vibaya post yako
[emoji120] [emoji120] [emoji120]