Kesi ya Udunguaji wa Helikopta imechukua muda mfupi sana

Kesi ya Udunguaji wa Helikopta imechukua muda mfupi sana

Nalijua hilo kwamba kes moja bado , lakn usijitie kipofu kwamba huon kilichotokea. Wamehukumiwa makosa kwa siraha iliyotumika kuua maana yake wamepatikana na kosa la kuua .

Huwez kumtia mtu hatian kwa kupatkana na kosa la kudungua denge akakosekana na kosa la mauaji. Ameshindwa kufanya hvyo yule hakmu coz mahakama haina mamlaka hiyo!!

Lakn swali liko zaid ya moja.
Walioua porin wamepatkana mbona walioua hadharan (mtaan) hawapatkan??????
Waliomteka ulimboka aliwataja na hawakukamatwa!!
Walimuua mwangos peupe mpaka leo hukumu haijapatkana .
Jibu na maswali kama haya !!
Swali kwa vile aliyedunguliwa ni mzungu????
Aliyeua hadharani nani? Mbona unajitoa fahamu wewe?
 
Tanzania kuna ubaguzi wa fedha na si wa rangi.
 
Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.
..

Wamehukumiwa kwa kosa la kumiliki silaha kinyume cha sheria. Hukumu imekwenda fasta kwa kuwa walikiri kosa haraka pia (wasingeweza kukataa wakati wamekutwa nazo). Hakimu asingeweza kusubiri upelelezi wakati watu wamejiingiza king wenyewe.

Kesi ya kutungua ndege na kesi ya mauaji bado zinawasubiri.
 
Aliyeua hadharani nani? Mbona unajitoa fahamu wewe?
Askar aliyemuua Mwangos hadharan .
labda ww ni mkenya hujui matukio ya Tanzania.
Waliomteka kwenye kikao Mawazo na kumuua sio hadharan ??
Lakn hawajapatkana . Ndege imedunguliwa porin wamepatkana!!!!!!
Hii ndio Tanzania yetu kama ww haupo hapa!!
 
tikatika
Kama mtuhumiwa anakubali kosa, watu wanamaliza kazi fasta tu na ndio maana unakuta mtu kababwa na ushahidi "LIVE" lakini mahakamani anakana mashitaka! Na ndio maana kama umetafuta wakili, lazima akuambie ukane mashitaka!! Labda umeisahau hii kesi:
Jela miaka 17 kwa kumuuza albino mzima
Nipashe Agost 19, 2010.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, imemhukumu raia wa Kenya, Nathan Mtei Mwasha (28) kutumikia kifungo cha miaka 17 jela na kulipa faini ya Sh. milioni 80 kwa kosa la kumtorisha albino, Robinson Mukwana kutoka nchini humo kwa madhumuni ya kumtoa viungo na kuviuza baada ya kumuua.
------
------
Awali Wakili wa Serikali, David Kakwaya, alidai Agosti 12, mwaka huu, mshtakiwa huyo alimsafirisha kwa udanganyifu Mukwana kwa basi kutoka Kitale Kenya kuja Tanzania baada ya kumdanganya kuwa anamleta Tanzania kufanya kazi wakati si kweli.

NOTE: Angalia hizo tarehe ambapo utaona hukumu ya kesi ilitoka mapema zaidi kuliko hiyo ya majangili.


Nipashe

Kwahiyo, hata ukidanganywa/utaambiwa sijui utapunguziwa adhabu, kama unataka hukumu isitoke mapema wewe ni kukataa tu hata kama umekutwa na kichwa cha mtu kwenye begi au maiti imekutwa kitandani kwako na hakuna mwingine mwenye funguo zaidi yako!!! Na hiyo ni kwa kesi zote, iwe za mauaji or otherwise-- KATAA!
 
Askar aliyemuua Mwangos hadharan .
labda ww ni mkenya hujui matukio ya Tanzania.
Waliomteka kwenye kikao Mawazo na kumuua sio hadharan ??
Lakn hawajapatkana . Ndege imedunguliwa porin wamepatkana!!!!!!
Hii ndio Tanzania yetu kama ww haupo hapa!!
Issue sio kuwa hadharani issue ni kukiri au kuthibitisha tuhuma! Kama huyo askari unayesema yupo hadharani anakana mashitaka, ni kazi ya upande wa mashitaka sasa kuthibitisha kwamba mtuhumiwa alitenda kosa husika. It's probably insane but that's how legal issues work.
 
Sijui historia vizuri kwa upande wa mahakama!! Lakini hapa jamvini kuna watu tofauti tofauti.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatikana fasta japo walifanya tukio porini sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kesi yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno, Mwangosi.
Kuna waliomuua Mawazo wa CHADEMA peupe tena mchana na sio porini ni kitaa!! Hadi leo hawajapatkana.

Kesi za mauaji inaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu. Kinyume cha hapo upelelezi haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rangi au fedha??
Ni kazi nzuri ya muheshimiwa raisi JPM,na kuzipa mahakama ruzuku ya milioni 10 ili kujenga ubora katika utendaje wake wa kazi,na pia mahakama sahivi kama ushahidi upo wazi ama mtuhumiwa amekiri kosa hakuna haja kuchelewesha hukumu
 
Askar aliyemuua Mwangos hadharan .
labda ww ni mkenya hujui matukio ya Tanzania.
Waliomteka kwenye kikao Mawazo na kumuua sio hadharan ??
Lakn hawajapatkana . Ndege imedunguliwa porin wamepatkana!!!!!!
Hii ndio Tanzania yetu kama ww haupo hapa!!
Tatizo lako unalazimisha hoja zako na uchama umeganda kichwani mwako.

Kesi ya mwangosi, kesi iko mahakamani na askar anayetuhumiwa yuko mahabusu hadi leo kusubir vikao vya mahakama kuuu.

Kesi ya mawazo, wewe ndo unasema walimteka hadharani lakini hata wale aliokuwa nao kikaoni walieleza hawakujua alitokaje hadi akauwawa.

Lkn pamoja na hayo wapo watu walikamatwa kuhusiana na mauaji ya mawazo, nakumbuka ilitangazwa kwenye tv habari.

Pamoja na kuelimishwa kuwa hao wa simiyu hawajahukumiwa kwa mauaji, bali kwa kesi nyingine hasa kukutwa na nyara za serikali na kukutwa na bunduki kinyume cha sheria bado hutaki kuelewa.

Kesi ya mauaji itasubiri jaji kusikilizwa. Wacha upoyoyo wewe
 
Nalijua hilo kwamba kes moja bado , lakn usijitie kipofu kwamba huon kilichotokea. Wamehukumiwa makosa kwa siraha iliyotumika kuua maana yake wamepatikana na kosa la kuua .

Huwez kumtia mtu hatian kwa kupatkana na kosa la kudungua denge akakosekana na kosa la mauaji. Ameshindwa kufanya hvyo yule hakmu coz mahakama haina mamlaka hiyo!!

Lakn swali liko zaid ya moja.
Walioua porin wamepatkana mbona walioua hadharan (mtaan) hawapatkan??????
Waliomteka ulimboka aliwataja na hawakukamatwa!!
Walimuua mwangos peupe mpaka leo hukumu haijapatkana .
Jibu na maswali kama haya !!
Swali kwa vile aliyedunguliwa ni mzungu????

Maswali yako yanajibika vizuri ukirejea alichokisema Rais siku ya sherehe za mwaka wa sheria. Nakumbuka naye alihimiza shughuli za mahakama zifanyike bila kuwepo ucheleweshaji usio na sababu, na Hilo linaweza kuwa sababu ya hukumu kutolewa haraka.
Kwa hiyo zile kesi za zamani kabla hajawashtua tuvute subira tuone kitakachotokea.
Na sea hivi sababu sehemu nyingi watu wamejisahau, wakishituliwa ndo wanaanza kasi.
 
sorry na pole sana kwa mawazo finyu, mkiambiwa mna akili za ngedere huwa mnakataa na kutukana matusi, ila mara nyingi haijalishi una elimu gani, unafanya kazi gani, jinsia gani, umesoma level gani na unajulikana vipi! umethibitisha katu kuwa una matatizo ya akili

watuhumiwa walituhumiwa, wakafikishwa mahakamani, wakakubali asilimia 100% kuhusika na mauaji. Naomba uniambie kama wewe ni jaji utafanya nini??

kesi zinakuwa complicated pale mtuhumiwa anapokana shtaka

@#$$^&* alaaah!
Ww akili yako ni kama ya panzi mjane niambie ni njia gani waliotumia hao polisi kuwadaka hawa watuhumiwa? je hawa walioitungua hiyo ndege walijipeleka wenyewe polisi? na kwann wasitumie njia walio tumia hao askari kuwadaka watuhumiwa wa makosa mengine ya mauwaji? Akili zako bhana
 
Tanzania pasua kichwa kesi ya zombe ilivyofanyiwa mahamuzi mpaka leo sina imani na mahakama zetu utumbo mtupu
 
Hao waliokubali haraka haraka na hukumu kutolewa... watatolewa kimya kimya... hii ni kuepusha anga za kimataifa wasije piga kelele... Si unajua wenzetu, mwenzao akifanyiwa vibaya nchi za watu.. ni maandamano ya kuishinikiza serikali yao kuchukua hatua za haraka...
 
Hao waliokubali haraka haraka na hukumu kutolewa... watatolewa kimya kimya... hii ni kuepusha anga za kimataifa wasije piga kelele... Si unajua wenzetu, mwenzao akifanyiwa vibaya nchi za watu.. ni maandamano ya kuishinikiza serikali yao kuchukua hatua za haraka...
Ile ilipangwa kuepusha hayo mambo? Na wàle watuhumiwa ni fake? Changanya na zako
 
Back
Top Bottom