Kama akili ingekuwa ni kiungo cha uzazi basi wewe ungekua huzaiMimi nasubiria tu akanyee debe nimrithi mke wake yule,anamiliki bastola za kufa mtu
Mimi nasubiria tu akanyee debe nimrithi mke wake yule,anamiliki bastola za kufa mtu,MTOTO MWEUPEEEEEE LOL ANAMUACHA HIVI HIVI KWA KUWAMWAGIA WATU TINDIKALI
Mkuu, umesahau kuwa Katibu Mkuu wako hajawahi kufunga ndoa na kazaa watoto na wanawake tofauti, hiyo ni nini? Umesahau pia kuwa mwenyekiti wako kazaa nje ya ndoa na wabunge wawili wa viti maalum wa chama chako, ni nini hiyo?Uasherati ni suna kwa viongozi wa ccm!!
ikumbukwe ana kesi nyingine ya kujifanya yeye afisa usalama wa taifa na kuutoa ule waraka wa SIRI WA ZZK,historia yake tosha inamfanya anyee debemkuu, umesahau kuwa katibu mkuu wako hajawahi kufunga ndoa na kazaa watoto na wanawake tofauti, hiyo ni nini? Umesahau pia kuwa mwenyekiti wako kazaa nje ya ndoa na wabunge wawili wa viti maalum wa chama chako, ni nini hiyo?
Wana JF, Leo ilikuwa ni kesi ya Kamanda Kilewo na Wenzake katika Mahakama ya Wilaya Igunga.
Kilichojiri Mahakamani
Mwendesha mashtaka wa Serikali PP Mpimbwe amewasilisha nakala ya kukata rufaa mbele ya Mheshimiwa Milanzi, juu ya kesi ya Ugaidi iliyotupiliwa mbali na Mahakama Kuu.
Ni wazi kwamba kesi hii itakuja kwa ajili ya kutajwa, hadi hapo kikao cha Mahakama ya Rufaa kitakapotoa maamuzi.
Kesi hiyo imeahirishwa mpaka tarehe 7/2/2014
Aha, Lissu Anaumwa Kuna Sababu Hapa!
Jaribu kutumia akili vizuri email unayosema mbona haina mantiki hata chembe ilikuwa ya kubumba ili kupata hoja kwa chadema japo haikuwa na maana.Sasa naona yaliyoandikwa kwenye ile Email ya Nchimbi na Mwigulu yanatimia, lengo ni kuipunguzia Bavicha na Chadema nguvu.
Ila hawatoki hata waende wakaikatie rufaa ile kesi ya Rwakatare na nyingine zote. Hao jamaa hawana hoja hapoa zaidi ya kufanya Siasa chafu wakidhani watamsaidia Zitto kumbe ndiyo wanamzamisha
Chadema karibia wote ni waharifu kila kona wanatenda majanga tu.