Kesi ya Ugaidi ya Kilewo yakatiwa Rufaa na Serikali

Kesi ya Ugaidi ya Kilewo yakatiwa Rufaa na Serikali

CHADEMA ni kama chaka cha wahalifu. maana viongozi wake wengi wanakabiliwa na mashtaka kila kona
 
wewe bi mkubwa mwekundu,

pole sana. buku7 mnazolipwa kwa siku kukaa kwenye mitandao kushambulia cdm zinawasumbua sana.

kimeshanuka.............chadema family ,unacheza na jela wewe, Mandela(RIP) alienda jela akigombea maslahi ya nchi na kuwaunganisha wa SA weupe kwa weusi kileo anaenda jela kwa kugombea maslahi ya kaskazini na chama .!! dah vijana wa MBOWE atawaponza sana BADO YERICKO NYERERE KWENDA KUNYEA DEBE
KWA UPUMBAVU WAO WAKIAMBIWA WAGOMBEE CHAMA NA NCHI WATACHAGUA CHADEMA FAMILY
 
kimeshanuka.............chadema family ,unacheza na jela wewe, Mandela(RIP) alienda jela akigombea maslahi ya nchi na kuwaunganisha wa SA weupe kwa weusi kileo anaenda jela kwa kugombea maslahi ya kaskazini na chama .!! dah vijana wa MBOWE atawaponza sana BADO YERICKO NYERERE KWENDA KUNYEA DEBE
KWA UPUMBAVU WAO WAKIAMBIWA WAGOMBEE CHAMA NA NCHI WATACHAGUA CHADEMA FAMILY

Hivi we unaongeaga vitu vya maana kweli
 
Jaribu kutumia akili vizuri email unayosema mbona haina mantiki hata chembe ilikuwa ya kubumba ili kupata hoja kwa chadema japo haikuwa na maana.

Nyinyi hata iwe kweli vp, hamwezi kukubali
 
kimeshanuka.............chadema family ,unacheza na jela wewe, Mandela(RIP) alienda jela akigombea maslahi ya nchi na kuwaunganisha wa SA weupe kwa weusi kileo anaenda jela kwa kugombea maslahi ya kaskazini na chama .!! dah vijana wa MBOWE atawaponza sana BADO YERICKO NYERERE KWENDA KUNYEA DEBE
KWA UPUMBAVU WAO WAKIAMBIWA WAGOMBEE CHAMA NA NCHI WATACHAGUA CHADEMA FAMILY
Ndiyo mawazo yako?
 
kimeshanuka.............chadema family ,unacheza na jela wewe, Mandela(RIP) alienda jela akigombea maslahi ya nchi na kuwaunganisha wa SA weupe kwa weusi kileo anaenda jela kwa kugombea maslahi ya kaskazini na chama .!! dah vijana wa MBOWE atawaponza sana BADO YERICKO NYERERE KWENDA KUNYEA DEBE
KWA UPUMBAVU WAO WAKIAMBIWA WAGOMBEE CHAMA NA NCHI WATACHAGUA CHADEMA FAMILY
Pole sana ewe Mtanzania uliyepumbaa akili au niseme siwezi au niseme hivi,hakuna hata mtu mmoja atakayekulaumu kwa kuwa hafahamu kile kiitwacho sheria fullstop. Kwa aina ya watu kama nyie nchii bado sana tu kufikia malengo tutasubiri sana wenzetu Kenya,Rwanda,Uganda hadi South Sudan wanachnja mbuga huku Tanzani inafukuzana na sinema za Ugaidi lol ngoja yatokee kama yaliyotokea Westgate Mall hapo sijui itaitwa nini vile.pole sana
 
Back
Top Bottom