Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wanasema kwamba acha mvua inyeshe ili tuone panapovuja , Kumbuka miongoni mwa wahudhuriaji wakubwa wa kesi hii ni TITTO MAGOTIHakika Allah akitaka lake hulidhihirisha
Pole mtekaji , jina lako litaanikwa huko mbele leo haumoheading imenifanya nikimbilie kufungua uzi haraka ila ulichoandika ndani ni utopolo
Ndie alie mtapeli Prof Maeda kwa kumsingizia kwamba kumekutwa meno ya tembo nyumbani kwake.Haya yote yamesemwa jana na mawakili wa Utetezi wakati wa cross examination , ambapo walimhusisha SP JUMANNE na kutekwa kwa Erick Kabendera, Titto Magoti, Ben Saanane na kwamba alihusika na Shambulio la Lissu...
Kama haukufuatilia jana wakati akihojiwa utaona ni utopolo, hata hivyo leo ataendelea kuhojiwa.heading imenifanya nikimbilie kufungua uzi haraka ila ulichoandika ndani ni utopolo
sawaKama haukufuatilia jana wakati akihojiwa utaona ni utopolo, hata hivyo leo ataendelea kuhojiwa.
Wasiojulikana kumbe ni kikundi kidogo sana ! wamefahamika wote .Hao sio waliomkamata Waziri Nappe Nauye na kutaka kumuua hazarani
Mkuu usikate tamaaMkuu Erythrocyte mbona mmeacha kutupasha moja kwa moja yanayoendelea mahakamani? Mmechoka? Mwenyekiti anayelala jela hajachoka, nyie mnaolala nyumbani na wake zenu mnachokaje?
Hii kesi ilikuwa inaamsha hisia za watu na kuelimisha elimu ya uraia na sheria. Endeleeni kuleta habari moja kwa moja.
Mkuu kwa nguvu ya albdiri tuliyo ifanya watanzania lazima watajaneHaya yote yamesemwa jana na mawakili wa Utetezi wakati wa cross examination , ambapo walimhusisha SP JUMANNE na kutekwa kwa Erick Kabendera, Titto Magoti, Ben Saanane na kwamba alihusika na Shambulio la Lissu...
Mungu ni mkubwa sanaHakika Allah akitaka lake hulidhihirisha
Allah ndo Nani!! Tutolee hapa majina ya waarabu leta ya kiswahili. Mbona unakuwa slave hivyoHakika Allah akitaka lake hulidhihirisha
Very soon kama taifa tutapata uhuruWanasema kwamba acha mvua inyeshe ili tuone panapovuja , Kumbuka miongoni mwa wahudhuriaji wakubwa wa kesi hii ni TITTO MAGOTI
aminaMungu ni mkubwa sana
Allah ndo Nani!! Tutolee hapa majina ya waarabu leta ya kiswahili. Mbona unakuwa slave hivyo